Nelson Masaduki
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 346
- 380
Ukifuatilia kauli za Nape Mnauye katika kampeni anazofanya, unaona kabisa kuwa CCM ina hazina ya vijana ambao wakilelewa vizuri ndani ya chama cha mapinduzi, Upinzani utachukua muda sana kusettle. Kama alivyosema mzee mmoja wa CCM (mkongwe) "Vijana kama hawa, CCM iwatunze. Mapungufu yao, waitwe wakosolewe, tuwe na moyo wa huruma kuwasamehe na kuwapa fursa tena wajenge zaidi chama"
Mtazame Mwigulu, January, Nape, Msukuma, Bashe, Kigwangala na wengineo. Hawa naamini wakipikwa vizuri na kuishi katika misingi ya Dr. John Pombe Magufuli, hii itakuwa timu yao ya ushindi miaka michache ijayo. Mh. Magufuli, wasamehe wanapokosea, waite waonye mwenyewe hawa. Unawamudu kabisa. Usiache wachukuliwe na upinzani watachafua hali ya hewa ndani ya chama chako. Binafsi, nawaombea mafanikio, ngoja niendelee kupambana na hali yangu.
Mungu ibariki Tanzania
Mtazame Mwigulu, January, Nape, Msukuma, Bashe, Kigwangala na wengineo. Hawa naamini wakipikwa vizuri na kuishi katika misingi ya Dr. John Pombe Magufuli, hii itakuwa timu yao ya ushindi miaka michache ijayo. Mh. Magufuli, wasamehe wanapokosea, waite waonye mwenyewe hawa. Unawamudu kabisa. Usiache wachukuliwe na upinzani watachafua hali ya hewa ndani ya chama chako. Binafsi, nawaombea mafanikio, ngoja niendelee kupambana na hali yangu.
Mungu ibariki Tanzania