The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 15,388
- 12,971
Of course, JK na CCM wana haki ya ku-sympathize na familiana mourn msiba wa Kanumba kama rafiki yao wa karibu. Lakini hili la kuufanyamsiba wa Kitaifa ni joke of the century!!!
Ukiwa politician, unakuwa kama mcheza kamali/draft.
ready to strike is any opportunity appears....
This is why you can not separate politics with social life...
Kama kweli ni hivyo mbona Mzee Kipara alipofariki hakuna aliyejitokeza? Au kwa kuwa Kanumba ni kijana ndio maana wanajipendekeza kwani wanajua vijana hawakipendi chama chao kwa hiyo wanajisogeza karibu ili wapate cha kusema. Hatudanganyiki nyie!!!!!!!!Mkuu pasco umeenda mbali sana,
ni desturi ya watz kuhudhuria misiba na haina uhusiano wa kisiasa kabisa, sidhani kama ni sahihi kila jambo kuliingizia na siasa, hatutafika! kuna masuala ya kijamii na mengine ya kitaalamu!
Acheni hizo
wanabodi,
naangalia msiba wa kanumba live kupitia clouds tv, nimenote viongozi wa ccm wakipewa maximum recognition.
Tangu mwanzo mc akitangaza miongoni mwa wageni mashuhuri akawataja mawaziri na wabunge akamalizia kwa mukama na nape, mhe. Mbilinyi ambae yupo hapo has never been mentioned na siamini kuwa mc hajamuona sugu mahali pale!.
Baadae katika kukusanya maoni ya watu mbali mbali, clouds radio na tv waka zero in mkama na nape tuu, yaani hawakuonekana wengine wowote wa kutoa maoni yao!.
Nilikuwa najiuliza jinsi msiba huu ulivyofanywa wa kitaifa na serikali kutoa ushirikiano mkubwa hivi ikiwemo logistic support kuwezesha kanumba kuzikwa maziko ya kitaifa nikijua ni kuuenzi mchango wa kanumba tuu kumbe nia ni kuwashika wapenzi wa kanumba!.
Politics is very interesting game, japo wengine wanaita is a very dirty game, for me, politics is a game of exploration of opportunities!. For every event hata kama ni msiba, wao kwao they see an opportunity!.
Pasco.
Baadae katika kukusanya maoni ya watu mbali mbali, Clouds radio na TV waka zero in Mkama na Nape tuu, yaani hawakuonekana wengine wowote wa kutoa maoni yao!
Pasco.
clouds, ccm, hovyo tu,
Kama kweli ni hivyo mbona Mzee Kipara alipofariki hakuna aliyejitokeza? Au kwa kuwa Kanumba ni kijana ndio maana wanajipendekeza kwani wanajua vijana hawakipendi chama chao kwa hiyo wanajisogeza karibu ili wapate cha kusema. Hatudanganyiki nyie!!!!!!!!
Binafsi najiuliza; Who is KANUMBA???? hata Bunge lifanye hivyo.
Naona mwisho tutataka na Bendera ipepeee nusu mlingoti, kisha tarehe aliyofariki iwe ni siku ya mapumziko kama zilivyo "Karume Day", na "Nyerere Day"
SHAME ON YOUR BRAIN!!!!!!!!!!!!!!
MIZAMBWA
NABII MTARAJIWA!!!
Leo Pasco umetoa point sana...
Kwanza tujiulize hii haki ya kufanya huu msiba ni wa Clouds radio na Tv imepatikanaje, wameivamia tu kama kawaida yao??
Pili tujiulize kwa nini wamuweke kichaa kuwa MC, kwa jinsi Kibonde anavyopenda kuropoka simtofautishi na kichaa. Ila kikubwa kinachopelekea yote haya kutokea ni ile desturi ya watanzania kupenda kujipendekeza na ku-side na wenye power. Hawataki kabisa kukubaliana na ukweli kuwa Kanumba aliplan siku moja kugombea ubunge kupitia CDM, wanatamani hata kumpa kadi ya chama chao akiwa mfu ili kulitafutia ubani li chama lao la KUVUNDA