Hiki chama kimefika mwisho wa uhai wake na bahati mbaya sana kinazeeka vibaya na mbaya zaidi kimeanza kupoteza kumbukumbuku kabisa na ndio maana hakiishi vituko.
Yaani ni kama kikongwe leo atakwambia hiki kesho ukimuuliza amesahau!Leo atasema nataka hiki kesho anageuka,n.k.
Tatizo ni kuwa hiki chama kilitakiwa kustaafu siku nyingi ila kilidanganya umri kwa ulevi tu wa madaraka na sasa haya ndio matokeo yake!
Kwakweli tuache utani sisiem inazeeka vibaya jamani mpaka aibu!
Ninamashaka salaryslip na ufahamu wako wa siasaHiki chama kimefika mwisho wa uhai wake na bahati mbaya sana kinazeeka vibaya na mbaya zaidi kimeanza kupoteza kumbukumbuku kabisa na ndio maana hakiishi vituko.
Yaani ni kama kikongwe leo atakwambia hiki kesho ukimuuliza amesahau!Leo atasema nataka hiki kesho anageuka,n.k.
Tatizo ni kuwa hiki chama kilitakiwa kustaafu siku nyingi ila kilidanganya umri kwa ulevi tu wa madaraka na sasa haya ndio matokeo yake!
Kwakweli tuache utani sisiem inazeeka vibaya jamani mpaka aibu!
Hapana, hiki chama kinatakiwa kihakikiwe umri nina wasiwasi kimefoji ndioo maana kimeanza kupoteza hata kumbukumbu.Kilitakiwa kustaa miaka ya nyuma.Kwahiyo unamanisha kimekula chumvi nyingi,na hivyo kimejaa hikma,ujuzi na busara?
Hiki chama kwa umri kilchofikia hata kulea wajukuu hakifai bali kinatakiwa kwenda kulelewa kwenye nyumba za kulelea wazee.Na maovu yao wanayoyafanya nchini wakiongozwa na dikteta uchwara wanataka kuyafanya siri kubwa ili yasijulikane na nchi nyingine duniani
Tanzania yajiondoa kwenye Mkakati wa Uwazi, Ushiriki na Uwajibikaji(OGP)
NightCrawler hii mada yangu mkuu umeiua kwa kuiunganisha na uzi wa mwaka 2011 uzi ambao haukupata mchangiaji hata mmoja.Hiki chama kimefika mwisho wa uhai wake na bahati mbaya sana kinazeeka vibaya na mbaya zaidi kimeanza kupoteza kumbukumbuku kabisa na ndio maana hakiishi vituko.
Nii kama kikongwe leo atakwambia hiki kesho ukimuuliza amesahau!Leo atasema nataka hiki kesho anageuka,n.k.Yaani tabu tupu!
Tatizo ni kuwa hiki chama kilitakiwa kustaafu siku nyingi tu(inawezekana 2010 kama sio 2015) ila kilidanganya umri kwa ulevi tu wa madaraka na sasa haya ndio matokeo yake!
Kwakweli tuache utani sisiem inazeeka vibaya jamani mpaka aibu!