Bams
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 16,224
- 40,459
Mbunge kama yule unashindwa kuelewa kama ni kichaa au mwendawazimu.Wabunge wa Tanzania hawako serious mtu anasimama anasema Saloon ni kiwanda..yaani ni bora unambie Mama Lishe ndio kiwanda maana wanaprocess mchele uwe wali ila sio saloon.kumbe viwanda tulivyoahidiwa na saloon zipo