Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,633
- 697,784
Upepo wa kisiasa umeikataa kabisa CCM, hawafurukuti, hawahemi
Tangu kuruhusiwa kwa mikutano ya kisiasa na mengine yote yaliyofuatia ni kama vile sasa CHADEMA ndio chama tawala na CCM ndio chama cha upinzani.
Kila kinachofanywa na CHADEMA ama viongozi wake mmoja mmoja kwasasa ni habari kubwa na gumzo kwenye jamii. CHADEMA infuatiliwa kwa karibu mbo na wana CCM kuliko hata wana CHADEMA wenyewe.
Kila kinachofanywa na CHADEMA kwasasa wa kwanza kukianzishia mijadala mirefu ni wana CCM.. Si kwamba hakuna habari za CCM zipo nyingi tu lakini hazipewi kipaumbele wala umuhimu tena
Kinachoonekana kwasasa ni kama vile CHADEMA ndio muongoza njia jasiri kisha CCM ndio anafuata kwa nyuma, maana CHADEMA na viongozi wake kwa miezi hii michache wamekuwa hawakauki midomoni mwa wana CCM!
Tafsiri yake ninini? CCM imekuwa mateka wa CHADEMA na wanapelekwa vyovyote vile CHADEMA itakavyo
Tangu kuruhusiwa kwa mikutano ya kisiasa na mengine yote yaliyofuatia ni kama vile sasa CHADEMA ndio chama tawala na CCM ndio chama cha upinzani.
Kila kinachofanywa na CHADEMA ama viongozi wake mmoja mmoja kwasasa ni habari kubwa na gumzo kwenye jamii. CHADEMA infuatiliwa kwa karibu mbo na wana CCM kuliko hata wana CHADEMA wenyewe.
Kila kinachofanywa na CHADEMA kwasasa wa kwanza kukianzishia mijadala mirefu ni wana CCM.. Si kwamba hakuna habari za CCM zipo nyingi tu lakini hazipewi kipaumbele wala umuhimu tena
Kinachoonekana kwasasa ni kama vile CHADEMA ndio muongoza njia jasiri kisha CCM ndio anafuata kwa nyuma, maana CHADEMA na viongozi wake kwa miezi hii michache wamekuwa hawakauki midomoni mwa wana CCM!
Tafsiri yake ninini? CCM imekuwa mateka wa CHADEMA na wanapelekwa vyovyote vile CHADEMA itakavyo