Jelavic
Senior Member
- Dec 28, 2016
- 180
- 380
Leo katika uzidunzi wa ilani ya ACT-Wazalendo nimemsikia Zitto akitaja mambo zaidi ya kumi ambayo CCM waliahidi kwenye ilani yao na hawakutekeleza hata kidogo, na sio tu kutekeleza bali hata kuanza japo kwa hatua za awali hawakufanya.
Nimekua najiuliza huku kusifusifu kulikovuka mipaka kunatokana na nini?
Je, Magufuli alikuwa anatoa wapi anayoyatekeleza, katumwa na nani kwa maslahi ya nani ikiwa chama kinacho wakilisha wananchi kimeisha toa mahitaji ya wananchi kwenye ilani?
Nimekuwa najiuliza: je, hao CCM wanauhakika gani tena kama Magufuli atasimamia ilani anayotaka kuanza kuinadi sasa hivi ikiwa ndani ya miaka mitano alifanya mambo mengi bila kufata ilani ya chama chake.
Hivi CCM ya Mafuguli mnahitaji ilani au ndio hakuna namna inabidi tu mchapishe ilan sababu ni chama cha siasa ila mnajua haitafuatwa?
Nimekua najiuliza huku kusifusifu kulikovuka mipaka kunatokana na nini?
Je, Magufuli alikuwa anatoa wapi anayoyatekeleza, katumwa na nani kwa maslahi ya nani ikiwa chama kinacho wakilisha wananchi kimeisha toa mahitaji ya wananchi kwenye ilani?
Nimekuwa najiuliza: je, hao CCM wanauhakika gani tena kama Magufuli atasimamia ilani anayotaka kuanza kuinadi sasa hivi ikiwa ndani ya miaka mitano alifanya mambo mengi bila kufata ilani ya chama chake.
Hivi CCM ya Mafuguli mnahitaji ilani au ndio hakuna namna inabidi tu mchapishe ilan sababu ni chama cha siasa ila mnajua haitafuatwa?