Manjagata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 11,630
- 11,975
Mkuu jamaa liko kwangu ni lishemeji langu namgonga dadake na lenyewe linasikilizia!Vipi umepata ajira?
Mkuu jamaa liko kwangu ni lishemeji langu namgonga dadake na lenyewe linasikilizia!Vipi umepata ajira?
Shemeji uelewa wako mdogo sana! Hivi umeona kwenye ilani za wapinzani hakuna kitu miundombinu? Yaani wewe unaona ni fadhila ya CCM hiyo? Hovyo kabisa shemeji!Yaani Leo ninaletewa barabara ya lami Isongole Kasumulu km 90.7 nishabikie Ilani za kulalamika?
Yaani Leo ninaletewa barabara ya Lami KK-Luswisi-Lubanda-Sange-Ubungu Km 56 nishabikie Ilani za kulialia?
Yaani Leo ninaletewa barabara ya lami mbalizi Shigamba nishabikie ilani za kulialia?
Ni kweli ni ache kushangilia barabara ya Iyula-Mlale- Itumba nianze kununu?
Lakini kweli hujaona mapinduzi makubwa ya Hospital zetu za Ibaba, Lubanda, Isoko na Itumba?
Hujaona mapinduzi ya Elimu Wilayani kwetu?
Leo acha nishabikie CCM kwani Wilaya yetu sasa naona tunakimbia. Vijiji 64 kati ya 71 vimeshawashwa Umeme.
Au utaghendite nakamu mukaya?
Ukweli mchungu huu.Tume ikiwa huru, CCM hata ikisimama na gunia la viazi mbatata ambalo halina ilani na kampeni haliwezi piga bado tu gunia la viazi mbatata litaibuka kidedea!
Yaaah ni vizuri kupata commets kama hizi humu JF ili kusaidia kuelewana na kuondoa seriousness all the time. Asante Blac kid lete vichekesho vingine.Tume ikiwa huru, CCM hata ikisimama na gunia la viazi mbatata ambalo halina ilani na kampeni haliwezi piga bado tu gunia la viazi mbatata litaibuka kidedea!
Tume huru ikoje?
Yaaah ni vizuri kupata commets kama hizi humu JF ili kusaidia kuelewana na kuondoa seriousness all the time. Asante Blac kid lete vichekesho vingine.
We unaona ni vichekesho lkn ndugai Leo akisikia NEC wamebandika jina lolote hata kama viazi ili ashindane nalo, nakwambia hivi ataanguka na presha yule MzeeYaaah ni vizuri kupata commets kama hizi humu JF ili kusaidia kuelewana na kuondoa seriousness all the time. Asante Blac kid lete vichekesho vingine.
Hapa umekili kuwa ndani ya miaka 43 toka Chama hiki kizaliwe na kishike hatamu hivi vyote havijawahi kuletwa ila ni ahadi tu.kiswahili chako kingekua tuliletewa na sio ninaletewa...hizo ni ahadi ndani ya 43 years!!utanyelite Ubhukomu gwenyachala kujugashe ubhumiashe!! Baada ya kuwapa kura watasepa kama walivyoahidi 50m kila kijiji Sasa walipeleka?Yaani Leo ninaletewa barabara ya lami Isongole Kasumulu km 90.7 nishabikie Ilani za kulalamika?
Yaani Leo ninaletewa barabara ya Lami KK-Luswisi-Lubanda-Sange-Ubungu Km 56 nishabikie Ilani za kulialia?
Yaani Leo ninaletewa barabara ya lami mbalizi Shigamba nishabikie ilani za kulialia?
Ni kweli ni ache kushangilia barabara ya Iyula-Mlale- Itumba nianze kununu?
Lakini kweli hujaona mapinduzi makubwa ya Hospital zetu za Ibaba, Lubanda, Isoko na Itumba?
Hujaona mapinduzi ya Elimu Wilayani kwetu?
Leo acha nishabikie CCM kwani Wilaya yetu sasa naona tunakimbia. Vijiji 64 kati ya 71 vimeshawashwa Umeme.
Au utaghendite nakamu mukaya?
Kwa nini hebu fafanua Blac kid?We unaona ni vichekesho lkn ndugai Leo akisikia NEC wamebandika jina lolote hata kama viazi ili ashindane nalo, nakwambia hivi ataanguka na presha yule Mzee