Kamanda wa police mkoa wa Geita Anaitwa Nani........??!!
Time will tell!Njaa hainaga mbabe!kwa maoni yangu chama changu kipenzi kinaendelea kupoteza ushawishi wa makundi muhimu kijamii.
Ilianza kwa kugombana na wafanyakazi wote kwa kuwaita mbayuwayu,ikifuatia madaktari kwa kumteka na kumtesa Ulimboka,ikaendelea kwa kukwakurazana na walimu na kuamua kuwanyima kusimamia zoezi la sensa na baadaye imeingia kubaya kwa kufungia gazeti la mwanahalisi na kumuua mwandishi wa chanel ten.
Ni hakika sasa ccm imefikia nyakati za mwisho.mwenye macho na ajionee,mwenye masikio...
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
kwahiyo tunavyosema ccm bila polisi ni wepesi kuliko pamba tuko sahihi ?hala hala tusije poteza udhibiti wa majeshi yetu!
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
.....kwa maoni yangu chama changu kipenzi kinaendelea kupoteza ushawishi wa makundi muhimu kijamii.
Ilianza kwa kugombana na wafanyakazi wote kwa kuwaita mbayuwayu,ikifuatia madaktari kwa kumteka na kumtesa Ulimboka,ikaendelea kwa kukwakurazana na walimu na kuamua kuwanyima kusimamia zoezi la sensa na baadaye imeingia kubaya kwa kufungia gazeti la mwanahalisi na kumuua mwandishi wa chanel ten.
Ni hakika sasa ccm imefikia nyakati za mwisho.mwenye macho na ajionee,mwenye masikio...
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
Una matatizo makubwa sana!bora nchi ipinduliwe tujue moja tu!
kwa maoni yangu chama changu kipenzi kinaendelea kupoteza ushawishi wa makundi muhimu kijamii.
Ilianza kwa kugombana na wafanyakazi wote kwa kuwaita mbayuwayu,ikifuatia madaktari kwa kumteka na kumtesa Ulimboka,ikaendelea kwa kukwakurazana na walimu na kuamua kuwanyima kusimamia zoezi la sensa na baadaye imeingia kubaya kwa kufungia gazeti la mwanahalisi na kumuua mwandishi wa chanel ten.
Ni hakika sasa ccm imefikia nyakati za mwisho.mwenye macho na ajionee,mwenye masikio...
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
Miaka inakimbia haraka.Jingalao siku hizi ameingizwa kwenye pay roll ya buku 7 ya Lumumba.Kesha jitoa ufahamu tayari!