Ulimbo
JF-Expert Member
- Aug 14, 2009
- 3,767
- 4,035
TUME YA UCHAGUZI IFANYE HIVYO KWENYE CHAGUZI ZA URAIS, WABUGE NA MADIWANI. Ili kuepuka usumbufu na malalamiko ya kuibwa kwa kura.
Ingekuwa vizuri kuwepo na sheria kuwa kura zote zihesabiwe kwa uwazi kwenye vituo vya kupigia kura na matokeo ya kila kituo yatangazwe pale pale kwenye kituo husika.
Kama kweli serikali ya CCM pamoja na CCM yenyewe wakikubali hili, basi watu watazidi kuiamini serikali pamoja na CCM yenyewe. Vinginevyo itakuwa CCM wametupiga change la macho tu
Ingekuwa vizuri kuwepo na sheria kuwa kura zote zihesabiwe kwa uwazi kwenye vituo vya kupigia kura na matokeo ya kila kituo yatangazwe pale pale kwenye kituo husika.
Kama kweli serikali ya CCM pamoja na CCM yenyewe wakikubali hili, basi watu watazidi kuiamini serikali pamoja na CCM yenyewe. Vinginevyo itakuwa CCM wametupiga change la macho tu