Gosbertgoodluck
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 2,855
- 401
Chondechonde viongozi wa ccm tumieni busara kupokea matokeo ya uchaguzi ili kuepusha vurugu zisizo za lazima. kwa nini hamuamini kwamba wananchi wamewachoka. kubalini matokeo nchi ipite kipindi hiki kwa amani. mmekula jasho la watanzania tangu nchi ilipoachwa na Baba wa Taifa Mwl. Nyerere hamjashiba sasa mnataka kunywa damu. Ole wenu viongozi wa ccm msidiriki kunywa damu ya wananchi wanyonge hamtadumu hata mwezi mmoja.