Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,273
- 6,637
Jana ndio kila picha limeungua hapa nchini. Maana kauli za mkuu wa nchi na mwenyekiti wa CCM zimefunua macho watanzania.
Kumbe mtu kuwa spika lazima uaminiwe na wanaCCM ili kulinda maslahi yao na ya chama chao kwa kuficha makosa yao na madhambi yao. Ila ukifanya kazi ya kusimamia serikali na kueleza makosa ya serikali inakuwa nongwa.
Hii ni dalili mbaya sana na kuonyesha kuwa kumbe bunge la JMT kujaza wanaCCM bungeni ni kwa ajilo ya kulinda ufisadi na maovu ya chama chao.
Kumbe mtu kuwa spika lazima uaminiwe na wanaCCM ili kulinda maslahi yao na ya chama chao kwa kuficha makosa yao na madhambi yao. Ila ukifanya kazi ya kusimamia serikali na kueleza makosa ya serikali inakuwa nongwa.
Hii ni dalili mbaya sana na kuonyesha kuwa kumbe bunge la JMT kujaza wanaCCM bungeni ni kwa ajilo ya kulinda ufisadi na maovu ya chama chao.