Kalunguine
JF-Expert Member
- Jul 27, 2010
- 2,543
- 134
Habari za uhakika nilizopata kwa jamaa aliyekariibu na mtandao wa CCM anasema CCM imejiandaa kupora ushindi wa Chadema huko Igunga. Njia watakazotumia kupora ushindi ni pamoja na kuingiza kura feki au kulazimisha kutangaza ushindi wa CCM.
Matayarisho ya uporaji uporaji huo wa ushindi wa Chadema unaenda sambamba na kupeleka makamamnda wa polisi huko Igunga pamoja na maafisa usalama wa taifa ambao anawaita ni makada wa CCM wala si usalama wa Taifa. Sijui ni kwa namna gani Chadema watazuia uporaji huo. Anasema kama Chadema hawatagangamaa kama watu wa Mwanza na Arusha kwa hakika ni lazima CCM itapora ushindi huo.
Ninahisi harufu mbaya huko igunga na Mungu awalinde Chadema na watu wa Igunga dhidi ya dhuluma zilizopangwa na CCM, kupora ushindi wa chadema.
Matayarisho ya uporaji uporaji huo wa ushindi wa Chadema unaenda sambamba na kupeleka makamamnda wa polisi huko Igunga pamoja na maafisa usalama wa taifa ambao anawaita ni makada wa CCM wala si usalama wa Taifa. Sijui ni kwa namna gani Chadema watazuia uporaji huo. Anasema kama Chadema hawatagangamaa kama watu wa Mwanza na Arusha kwa hakika ni lazima CCM itapora ushindi huo.
Ninahisi harufu mbaya huko igunga na Mungu awalinde Chadema na watu wa Igunga dhidi ya dhuluma zilizopangwa na CCM, kupora ushindi wa chadema.