flayboy
Senior Member
- Apr 8, 2017
- 175
- 95
Kwani kaskazini kuna kabila moja tu?Kasalimia zaid ya makabila 15 hiyo yote n kuonesha umoja wa kitaifa, mbona hulalamik kuona mwenyekit wa ukawa, mgombea urais na mkuu wa kampein wote n wakaskazini?
Sent from my K-KOOL using JamiiForums mobile app