moto wa kifuu
JF-Expert Member
- Sep 17, 2015
- 390
- 60
Mitanzania ni mijitu ya Ajabu sana duniani.
Wewe ni wale green card nini? Sa huku unatafuta nini?
Mitanzania ni mijitu ya Ajabu sana duniani.
Jamani mimi sioni kosa hapa. Mfano mimi nimezaliwa iringa ni mhehe. Sasa nikienda kujinadi nyumbani kwangu nilikozaliwa nishindwe kutumia lugha yangu niliyozaliwa nayo kisa nitaambiwa makabila. Nafikiri kuzungumza lugha siyo issue, issue ni kutumia ukubwa wa kabila lako kuomba wakuchague wewe kwa favor ya kabila. Lakin pia amepita songea, iringa amekuwa akijaribu kutumia lugha za mahalia lengo kubwa ni kuonyesha yupo karibu na watu wake. So nafikiri tutofautishe hili. Nafikiri mtoa maada utakumbuka style aliyotumia Lowassa alisema wazi video zilisambaa si asemavyo magufuli. So be careful mzee
we taahira kweli kwani kiingeleza ni lugha ya kabila gani wamasai?
Suala siyo kusalimia ni sms na wito wa wasukuma wamchague mgombea kwa sababu anatokea huko, hayo yamesemwa majukwaani Geita, Meatu, Kahama na kwingineko Kanda ya Ziwa. Swali je ingekuwa ni EL nadhani kelele za ukabila zingekuwa zimepamba moto! Kweli EL anastahili huruma, hatendewi Haki na wapinzani wake vinginevyo tuseme wapinzani hao ni washari.Alivyokuwa Mtwara aliwasalimia kimakonde. Kwa hiyo alifanya makosa!! Na hata Tobo lisu akiwa kahama aliwasalimia kwa lugha ya kisukuma. Nae ni mkabila!!
Lol! Jiulize anajua kiingereza ama kiswahili?Jamani magufuli anaongea lugha nyingi mpaka anashangaza lol huyu ndie atakayetuunganisha vizuri..Magufuli ikulu ni yako....wewe ndio chaguo la Mungu..hukutegemea utafika ulipofika,hukuwa na makun nginja nginja hadi,ni kazi tu mpaka ikulu
Mbona ccm karibu wote ni waislam? Wwkiristo wasiichague?
Hoja hiyo haina uzito, ccm tafteni hoja nyingine. Mimi ni mwana ccm na sio mchaga lakini nampa kura lowassa.
Acha ulofa wewe! Upo wapi? Au unabeba boksi ughaibuni?We Great thinker unaongea vitu kama hivyo!? insult to the JF!! Sijioni kama nipo ktk level ya kubishana na wewe! Yaani TZ kuna sehemu kuna lugha kuu kupita Kiswahili?, je hao wanaoishi huko huwa wanasikiliza au kusoma media ipi mkuu? Are we talking abt TZ or???
Umemsingizia, sijamsikia akihamasisha ukabila. Tena kama ukabila basi anakosea kuwaambia wananchi wasiendekeze ukabila. Magufuli msukuma na kama angesema wasukuma wote wampigie kura hiyo nayo ingekuwa kali naamini hakuna mgombea atamsogelea lakini anajua jukumu lake namsifia hajahamasisha ukabila zaidi ya kusalimia kwa kisukuma lakini pia na salam za makabila kibao anatoa. Mimi ni msukuma ningependa pia wasukuma waongoze nchi lakini isiwe kigezo tosha cha kumpima mgombea
Umemsingizia, sijamsikia akihamasisha ukabila. Tena kama ukabila basi anakosea kuwaambia wananchi wasiendekeze ukabila. Magufuli msukuma na kama angesema wasukuma wote wampigie kura hiyo nayo ingekuwa kali naamini hakuna mgombea atamsogelea lakini anajua jukumu lake namsifia hajahamasisha ukabila zaidi ya kusalimia kwa kisukuma lakini pia na salam za makabila kibao anatoa. Mimi ni msukuma ningependa pia wasukuma waongoze nchi lakini isiwe kigezo tosha cha kumpima mgombea
kwani magufuli MSUKUMA AU MZINZA? au MZINZA = MSUKUMA?