CCM imegawanyika; CHADEMA wajifunze kutoka Zambia. Mbowe ampishe Tundu Lissu Uenyekiti

CCM mpeni uenyekiti Cyprian Musiba,katibu mkuu Ole Sabaya na Katibu mwenezi Steve Nyerere.
Chama kinanamna nzuri ya kuwapata viongozi wake. Ninyi mnasubiri walionuna baada ya kukosa nafasi huku ndo wawe viongozi wenu.
 
CHADEMA BADO SAN KUSHIKANCHI WANAFANYA SIASA ZENYE UTOTO MWINGI ,MAMBO YA UBINAFSI YAMEWAJAA , KILA SIKU WANALALAMIKA TUME HURU ,KATIBA MPYA ....WASIPOJIFUNZANI HERI CCM IKABAKI KULIKO KUKABIDHI NCHI KWA CHADEMA

sent from HUAWEI
 
Ukiona Rais aliye madarakani analalamika kwamba Uchaguzi haukua huru na haki,basi ujue hakupata fursa ya kuhujumu Uchaguzi;hasa kwa kuiba kura kama ilivyo kwa tawala nyingi barani Afrika.
 
Ampishe Lisu Diaspora?

Chadema tafuteni yeyote aliye ndani ya Nchi sio Hawa akina Lisu na Lema wakiona kimeinuka mbio nje wanasubiri walio ndani wawatengenezee mazingira wait waje kugombea na kula Bata .

Museveni, kagame ,Mandela , Kabila wote walirudi nchini kwao kupambana kuwa part ya society sio Hawa Wala Bata Canada na ubelgiji halafu wanawaza ohh tupeni Sisi Diaspora mmmmmmm

To hell with Lisu
 
Mgombea wa upinzani nchini Zambia Hakainde Hichilema anaongoza katika matokeo ya kura za awali katika uchaguzi mkuu.

Hakainde alionyesha kuongoza siku ya jana huku chama chake cha UPND kikikusanya kura katika majimbo mengi nchini humo.

Raisi alieko madarakani Edgar Lungu mwenye umri wa miaka 64 tayari amelalamika kwamba uchaguzi huo hauko huru na wa haki.

Mgombea Hichilema amewaambia wazambia kuwa wapuuze kauli hizo za raisi Lungu na kwamba huu ndo wakati mwafaka kwa wazambia kuungana na kuimarisha umoja.

Lakini moja ya sababu kubwa ya kura nyingi kwenda kwa bwana Hichilema ni ukosefu wa ajira nchini humo miongoni mwa vijana ambao ndo nguvukazi ambayo serikali imeshindwa kuitumia katika kuijenga Zambia kiuchumi.

Kwa mujibu wa takwimu kutoka tume ya Uchaguzi ya Zambia vijana wengi walojiandikisha kupira kura wana umri wa miaka 34 kwenda chini.

Katika uchaguzi wa mwaka 2016 bwana Hichilema alishindwa na hata baadae kutumiwa vikosi vya usalama nyumbani kwake baada ya kutangaza kuwa matokeo ya uchaguzi ule yalichakachuliwa.

Safari hii wapiga kura wamejitokeza kwa wingi kupita maelezo na wote wameazimia kumpa kura bwana Hichilema mwenye umri wa miaka 59.

Hichilema anajielezea katika video zake Youtube kuwa ni mtoto wa maskini, na amekwenda shule bila viatu hadi kufikia chuo kikuu.

Kitaaluma bwana Hichilema ni mhasibu na alikuwa afisa mtendaji mkuu katika kampuni yake mwenyewe ya uhasibu kabla ya kufikria kuingia kwenye ulingo wa siasa.

Sera za bwana Hichilema ni kutaka kuimarisha uchumi wa nchi hiyo na kuimarisha soko la ajira ambalo limeathiri vijana wengi.

Matatizo yanayoikabili Zambia yanafanana kwa kiasi kikubwa na matatizo ya Tanzania, vitendo vya rushwa, ufisadi, matumizi mabaya ya fedha, maendeleo duni mijini, mazingira mabovu ya biashara na uwekezaji, deni la taifa na mengine lukuki.

CCM ndicho chama kinachoongoza serikali na mpaka sasa kila ishara iko wazi kuwa CCM imegawanyika katika makundi zaidi ya moja.

Miaka mitano imepita tumesikia kuwa CCM iligawanyika kati ya kundi linalojiita CCM asili na CCM mpya, na sasa tunasikia kauli tofautitofauti na zinazokinzana kutoka kwa wanachama waandamizi wa chama hicho.

Pia hata gazeti maarufu linalomilikiwa na chama hicho gazeti la UHURU nalo limetumika katika malumbano yanoendela ndani ya chama hicho na kwa kuandika vichwa vya habari kumhusu mwenyekiti wake na kuzusha fataki ndani ya chama hicho.

Kama si umakini wa wazee wa chama hichi kikongwe kuingilia kati na kumtuma katibu mkuu wake bwana Daniel Songoro kwenda kuzawazisha mambo, basi hali ingeendelea kuwa tete hadi leo hii.

Songoro bado hajajibu masuali makuu mawili kwanza, je CCM imegawanyika au la, na pili je CCM ina msimamo upi wa pamoja kama chama kuhusiana na chanjo ya UVUKO-19 kwa,mba ni lazima watanzania wachanjwe au chanjo hiyo ni hiari?

Mgawanyiko huu ndo ilikuwa nafasi ya pekee kwa chama kikuu cha upinzani cha Chadema kujitengenezea mazingira mazuri ya ushindi katika uchaguzi ujao wa 2025.

Badala yake si viongozi wake wakuu katibu mkuu, wala uenezi ambae amejitokeza kuonyesha angalau Chadema imeanza kujenga stratejia ya ushindi.

Chadema kinahitaji kujindaa kwelikweli na kama kweli chama hiki kina dhamira ya kweli ya kushika dola, basi kina wajibu wa kuachana na siasa za matukio na kujikita katika kujenga hoja zenye tija ili kujijengea imani kwa wapiga kura.

Suala la mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe kuwa na kesi ya ugaidi inayoendelea mahakamani lisiwe sababu ya Chadema kama chama ambacho kina miaka 29 sasa kwenye ulingo wa siasa za vyama vingi kukosa mwelelekeo na kuonekana hakina mikakati.

Huu ndo ulikuwa wakati wa makamu mwenyekiti Tundu Lissu kuwa mastari wa mbele kukiongoza chama hicho na pengine kupewa nafasi ya uenyekiti wa chama hicho ili akiandane uzuri chama kwa uchaguzi ujao.

Ni maoni yangu binafsi kuwa Tundu Lissu kwa sasa amejifunza kuwa mwanasiasa badala ya mwanaharakati na kwa uwezo wake, ujasiri wake na kauli zake ambazo atakuwa sasa amefahamu namna ya kuzipanga uzuri, anafaa kabisa kuwa mwenyekiti wa Chadema.

Ni wakti sasa kwa Tundu Lissu kurudi nyumbani Tanzania na kuanza kazi ambayo nadhani bado hajaimaliza.

Vyombo vyote vya ulinzi na usalama havina budi sasa kujifunza kutoka Zambia na Malawi kuwa kuna wakati wananchi wanaamua kuwa chama kilichopo madarakani kimefikia tamati na wanataka chama mbadala.

Serikali ina wajibu wa kuhakikisha maisha ya Tundu Lissu yanalindwa na wale wote wasio na nia njema kwake na anasimama kwa uhuru katika jukwaa la kisiasa.

Tundu Lissu akiwa mwenyekiti wa Chadema taifa atakipanga chama atakavyoona yeye inafaa, kuteua timu yake ambayo ina watu makini na kutengeneza sera na ilani mpya ya uchaguzi kwa ajili ya uchaguzi wa 2025.

Kama raisi wa Malawi Chikwera na mgombea wa sasa wa uraisi Zambia bwana Hakainde Hichilema waliweza, sioni tatizo Chadema washindwe uchaguzi wa 2025.

Mgombea wa chama cha upinzani akipata kura za kutosha na watu wakijitokeza kwa wingi kama walivyofanya Zambia kiasi cha tume ya Uchaguzi ya Zambia kutia akili kuwa Hichilema anashinda kwa kura za kutosha.
Suala la aidha CCM imegawanyika au LA ni suala la mtazamo wa mtu mmoja mmoja akiongozwa zaidi na upenzi, unazi na hata ushabiki na wakati mwingine chuki tu kwa CCM bila sababu yoyote ya msingi! Hata hivyo, suala la kugawanyika ndani ya chama chohote cha siasa si jambo la kumshangaza mtu au kuleta taharuki ndani ya chama husika au jamii au nchi; haya ni ya kawaida sana as long as kuna watu ndani ya hicho chama, kwani siyo rahisi watu wenye akili zao timamu kukubaliana on any thing kwa asilimia mia moja all the time.

Kupishana, kubishana, kusigana juu ya hoja mbalimbali ndani ya chama husika ni jambo la kawaida. Mambo yakifikia hapo, SIYO KWAMBA HUO NI MGAWANYIKO AU MPASUKO ndani ya hicho chama, HAPANA! Hali kama hiyo mara nyingine ni tiba ya mambo ndani ya chama na hivyo kuleta na kupata muafaka na kusonga mbele as one strong team.
 
Acha umbeya, CCM ni taasisi, subiri uone inavyosiamamia nchi kikomavu...Ukiiacha China Communist Party, inafuatia CCM kwenye uimara wa taasisi kwenye uniqueness in democracy duniani.
UONGO mkubwa, ccm hawana chochote zaidi ya ujanja ujanja wa kutumia vyombo vya usalama na tume baasi
 
Sera za kijamaa ndio zimetufikisha hapa tulipo mkuu

Sifa ya sera hii n uoga na unafiki na hiz sifa kati ya watanzania 10 basi 8 kati yao wanavuashiria vya tabia hizi

La pili ubinafsi uliopo miongoni mwa viongozi wetu mfano kijana wakike anapambania chama kwa nguvu zote lakn mwisho wa siku hapat chochote tumejionea lundo la wabunge wa viti maalum wakipewa ambao hawana sifa hizo ambazo wanatakiwa kuwa nazo

La mwisho TUME HURU YA UCHAGUZI hapa ndipo maslah ya CCM yalipo watacheza kote lakn tume hawawez kubali ibadirishwe MUUNDO WAKE

NINI KIFANYIKE

Vijana ndio wanaoleta mabadiriko katika nchi tuwe tayari kuvuja damu kwa ajili ya vizazi vijavyo tusijiangalie sisi n muda wa kupambana hadi tone la mwisho la damu ili tupate mabadiriko tunayohitaji TUSIOGOPE KUKAMATWA tuweke makongano ambayo yataelezea Hali halisi nchini ilivyo ili kila mtu atambue wajibu wake
Mkuu hivi Zambia waliandika katiba lini?
 
Mgombea wa upinzani nchini Zambia Hakainde Hichilema anaongoza katika matokeo ya kura za awali katika uchaguzi mkuu.

Hakainde alionyesha kuongoza siku ya jana huku chama chake cha UPND kikikusanya kura katika majimbo mengi nchini humo.

Raisi alieko madarakani Edgar Lungu mwenye umri wa miaka 64 tayari amelalamika kwamba uchaguzi huo hauko huru na wa haki.

Mgombea Hichilema amewaambia wazambia kuwa wapuuze kauli hizo za raisi Lungu na kwamba huu ndo wakati mwafaka kwa wazambia kuungana na kuimarisha umoja.

Lakini moja ya sababu kubwa ya kura nyingi kwenda kwa bwana Hichilema ni ukosefu wa ajira nchini humo miongoni mwa vijana ambao ndo nguvukazi ambayo serikali imeshindwa kuitumia katika kuijenga Zambia kiuchumi.

Kwa mujibu wa takwimu kutoka tume ya Uchaguzi ya Zambia vijana wengi walojiandikisha kupira kura wana umri wa miaka 34 kwenda chini.

Katika uchaguzi wa mwaka 2016 bwana Hichilema alishindwa na hata baadae kutumiwa vikosi vya usalama nyumbani kwake baada ya kutangaza kuwa matokeo ya uchaguzi ule yalichakachuliwa.

Safari hii wapiga kura wamejitokeza kwa wingi kupita maelezo na wote wameazimia kumpa kura bwana Hichilema mwenye umri wa miaka 59.

Hichilema anajielezea katika video zake Youtube kuwa ni mtoto wa maskini, na amekwenda shule bila viatu hadi kufikia chuo kikuu.

Kitaaluma bwana Hichilema ni mhasibu na alikuwa afisa mtendaji mkuu katika kampuni yake mwenyewe ya uhasibu kabla ya kufikria kuingia kwenye ulingo wa siasa.

Sera za bwana Hichilema ni kutaka kuimarisha uchumi wa nchi hiyo na kuimarisha soko la ajira ambalo limeathiri vijana wengi.

Matatizo yanayoikabili Zambia yanafanana kwa kiasi kikubwa na matatizo ya Tanzania, vitendo vya rushwa, ufisadi, matumizi mabaya ya fedha, maendeleo duni mijini, mazingira mabovu ya biashara na uwekezaji, deni la taifa na mengine lukuki.

CCM ndicho chama kinachoongoza serikali na mpaka sasa kila ishara iko wazi kuwa CCM imegawanyika katika makundi zaidi ya moja.

Miaka mitano imepita tumesikia kuwa CCM iligawanyika kati ya kundi linalojiita CCM asili na CCM mpya, na sasa tunasikia kauli tofautitofauti na zinazokinzana kutoka kwa wanachama waandamizi wa chama hicho.

Pia hata gazeti maarufu linalomilikiwa na chama hicho gazeti la UHURU nalo limetumika katika malumbano yanoendela ndani ya chama hicho na kwa kuandika vichwa vya habari kumhusu mwenyekiti wake na kuzusha fataki ndani ya chama hicho.

Kama si umakini wa wazee wa chama hichi kikongwe kuingilia kati na kumtuma katibu mkuu wake bwana Daniel Songoro kwenda kuzawazisha mambo, basi hali ingeendelea kuwa tete hadi leo hii.

Songoro bado hajajibu masuali makuu mawili kwanza, je CCM imegawanyika au la, na pili je CCM ina msimamo upi wa pamoja kama chama kuhusiana na chanjo ya UVUKO-19 kwa,mba ni lazima watanzania wachanjwe au chanjo hiyo ni hiari?

Mgawanyiko huu ndo ilikuwa nafasi ya pekee kwa chama kikuu cha upinzani cha Chadema kujitengenezea mazingira mazuri ya ushindi katika uchaguzi ujao wa 2025.

Badala yake si viongozi wake wakuu katibu mkuu, wala uenezi ambae amejitokeza kuonyesha angalau Chadema imeanza kujenga stratejia ya ushindi.

Chadema kinahitaji kujindaa kwelikweli na kama kweli chama hiki kina dhamira ya kweli ya kushika dola, basi kina wajibu wa kuachana na siasa za matukio na kujikita katika kujenga hoja zenye tija ili kujijengea imani kwa wapiga kura.

Suala la mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe kuwa na kesi ya ugaidi inayoendelea mahakamani lisiwe sababu ya Chadema kama chama ambacho kina miaka 29 sasa kwenye ulingo wa siasa za vyama vingi kukosa mwelelekeo na kuonekana hakina mikakati.

Huu ndo ulikuwa wakati wa makamu mwenyekiti Tundu Lissu kuwa mastari wa mbele kukiongoza chama hicho na pengine kupewa nafasi ya uenyekiti wa chama hicho ili akiandane uzuri chama kwa uchaguzi ujao.

Ni maoni yangu binafsi kuwa Tundu Lissu kwa sasa amejifunza kuwa mwanasiasa badala ya mwanaharakati na kwa uwezo wake, ujasiri wake na kauli zake ambazo atakuwa sasa amefahamu namna ya kuzipanga uzuri, anafaa kabisa kuwa mwenyekiti wa Chadema.

Ni wakti sasa kwa Tundu Lissu kurudi nyumbani Tanzania na kuanza kazi ambayo nadhani bado hajaimaliza.

Vyombo vyote vya ulinzi na usalama havina budi sasa kujifunza kutoka Zambia na Malawi kuwa kuna wakati wananchi wanaamua kuwa chama kilichopo madarakani kimefikia tamati na wanataka chama mbadala.

Serikali ina wajibu wa kuhakikisha maisha ya Tundu Lissu yanalindwa na wale wote wasio na nia njema kwake na anasimama kwa uhuru katika jukwaa la kisiasa.

Tundu Lissu akiwa mwenyekiti wa Chadema taifa atakipanga chama atakavyoona yeye inafaa, kuteua timu yake ambayo ina watu makini na kutengeneza sera na ilani mpya ya uchaguzi kwa ajili ya uchaguzi wa 2025.

Kama raisi wa Malawi Chikwera na mgombea wa sasa wa uraisi Zambia bwana Hakainde Hichilema waliweza, sioni tatizo Chadema washindwe uchaguzi wa 2025.

Mgombea wa chama cha upinzani akipata kura za kutosha na watu wakijitokeza kwa wingi kama walivyofanya Zambia kiasi cha tume ya Uchaguzi ya Zambia kutia akili kuwa Hichilema anashinda kwa kura za kutosha.
Tundu Lissu anayo nafasi yote wakati wote! Anayo hata mandate yote ya kukiongoza chama siyo mpaka itangazwe kuwa amepishwa uenyekiti ambalo ndio kilio cha taasisi zote za chama cha mboga mboga!
 
Mgombea wa upinzani nchini Zambia Hakainde Hichilema anaongoza katika matokeo ya kura za awali katika uchaguzi mkuu.

Hakainde alionyesha kuongoza siku ya jana huku chama chake cha UPND kikikusanya kura katika majimbo mengi nchini humo.

Raisi alieko madarakani Edgar Lungu mwenye umri wa miaka 64 tayari amelalamika kwamba uchaguzi huo hauko huru na wa haki.

Mgombea Hichilema amewaambia wazambia kuwa wapuuze kauli hizo za raisi Lungu na kwamba huu ndo wakati mwafaka kwa wazambia kuungana na kuimarisha umoja.

Lakini moja ya sababu kubwa ya kura nyingi kwenda kwa bwana Hichilema ni ukosefu wa ajira nchini humo miongoni mwa vijana ambao ndo nguvukazi ambayo serikali imeshindwa kuitumia katika kuijenga Zambia kiuchumi.

Kwa mujibu wa takwimu kutoka tume ya Uchaguzi ya Zambia vijana wengi walojiandikisha kupira kura wana umri wa miaka 34 kwenda chini.

Katika uchaguzi wa mwaka 2016 bwana Hichilema alishindwa na hata baadae kutumiwa vikosi vya usalama nyumbani kwake baada ya kutangaza kuwa matokeo ya uchaguzi ule yalichakachuliwa.

Safari hii wapiga kura wamejitokeza kwa wingi kupita maelezo na wote wameazimia kumpa kura bwana Hichilema mwenye umri wa miaka 59.

Hichilema anajielezea katika video zake Youtube kuwa ni mtoto wa maskini, na amekwenda shule bila viatu hadi kufikia chuo kikuu.

Kitaaluma bwana Hichilema ni mhasibu na alikuwa afisa mtendaji mkuu katika kampuni yake mwenyewe ya uhasibu kabla ya kufikria kuingia kwenye ulingo wa siasa.

Sera za bwana Hichilema ni kutaka kuimarisha uchumi wa nchi hiyo na kuimarisha soko la ajira ambalo limeathiri vijana wengi.

Matatizo yanayoikabili Zambia yanafanana kwa kiasi kikubwa na matatizo ya Tanzania, vitendo vya rushwa, ufisadi, matumizi mabaya ya fedha, maendeleo duni mijini, mazingira mabovu ya biashara na uwekezaji, deni la taifa na mengine lukuki.

CCM ndicho chama kinachoongoza serikali na mpaka sasa kila ishara iko wazi kuwa CCM imegawanyika katika makundi zaidi ya moja.

Miaka mitano imepita tumesikia kuwa CCM iligawanyika kati ya kundi linalojiita CCM asili na CCM mpya, na sasa tunasikia kauli tofautitofauti na zinazokinzana kutoka kwa wanachama waandamizi wa chama hicho.

Pia hata gazeti maarufu linalomilikiwa na chama hicho gazeti la UHURU nalo limetumika katika malumbano yanoendela ndani ya chama hicho na kwa kuandika vichwa vya habari kumhusu mwenyekiti wake na kuzusha fataki ndani ya chama hicho.

Kama si umakini wa wazee wa chama hichi kikongwe kuingilia kati na kumtuma katibu mkuu wake bwana Daniel Songoro kwenda kuzawazisha mambo, basi hali ingeendelea kuwa tete hadi leo hii.

Songoro bado hajajibu masuali makuu mawili kwanza, je CCM imegawanyika au la, na pili je CCM ina msimamo upi wa pamoja kama chama kuhusiana na chanjo ya UVUKO-19 kwa,mba ni lazima watanzania wachanjwe au chanjo hiyo ni hiari?

Mgawanyiko huu ndo ilikuwa nafasi ya pekee kwa chama kikuu cha upinzani cha Chadema kujitengenezea mazingira mazuri ya ushindi katika uchaguzi ujao wa 2025.

Badala yake si viongozi wake wakuu katibu mkuu, wala uenezi ambae amejitokeza kuonyesha angalau Chadema imeanza kujenga stratejia ya ushindi.

Chadema kinahitaji kujindaa kwelikweli na kama kweli chama hiki kina dhamira ya kweli ya kushika dola, basi kina wajibu wa kuachana na siasa za matukio na kujikita katika kujenga hoja zenye tija ili kujijengea imani kwa wapiga kura.

Suala la mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe kuwa na kesi ya ugaidi inayoendelea mahakamani lisiwe sababu ya Chadema kama chama ambacho kina miaka 29 sasa kwenye ulingo wa siasa za vyama vingi kukosa mwelelekeo na kuonekana hakina mikakati.

Huu ndo ulikuwa wakati wa makamu mwenyekiti Tundu Lissu kuwa mastari wa mbele kukiongoza chama hicho na pengine kupewa nafasi ya uenyekiti wa chama hicho ili akiandane uzuri chama kwa uchaguzi ujao.

Ni maoni yangu binafsi kuwa Tundu Lissu kwa sasa amejifunza kuwa mwanasiasa badala ya mwanaharakati na kwa uwezo wake, ujasiri wake na kauli zake ambazo atakuwa sasa amefahamu namna ya kuzipanga uzuri, anafaa kabisa kuwa mwenyekiti wa Chadema.

Ni wakti sasa kwa Tundu Lissu kurudi nyumbani Tanzania na kuanza kazi ambayo nadhani bado hajaimaliza.

Vyombo vyote vya ulinzi na usalama havina budi sasa kujifunza kutoka Zambia na Malawi kuwa kuna wakati wananchi wanaamua kuwa chama kilichopo madarakani kimefikia tamati na wanataka chama mbadala.

Serikali ina wajibu wa kuhakikisha maisha ya Tundu Lissu yanalindwa na wale wote wasio na nia njema kwake na anasimama kwa uhuru katika jukwaa la kisiasa.

Tundu Lissu akiwa mwenyekiti wa Chadema taifa atakipanga chama atakavyoona yeye inafaa, kuteua timu yake ambayo ina watu makini na kutengeneza sera na ilani mpya ya uchaguzi kwa ajili ya uchaguzi wa 2025.

Kama raisi wa Malawi Chikwera na mgombea wa sasa wa uraisi Zambia bwana Hakainde Hichilema waliweza, sioni tatizo Chadema washindwe uchaguzi wa 2025.

Mgombea wa chama cha upinzani akipata kura za kutosha na watu wakijitokeza kwa wingi kama walivyofanya Zambia kiasi cha tume ya Uchaguzi ya Zambia kutia akili kuwa Hichilema anashinda kwa kura za kutosha.
Well said
 
Mbowe ataondoka tu kama wanachama wataridhia na si vinginevyo.

Chama kinamuhitaji kuliko yeye anavyokihitaji .
 
Mgombea wa upinzani nchini Zambia Hakainde Hichilema anaongoza katika matokeo ya kura za awali katika uchaguzi mkuu.

Hakainde alionyesha kuongoza siku ya jana huku chama chake cha UPND kikikusanya kura katika majimbo mengi nchini humo.

Raisi alieko madarakani Edgar Lungu mwenye umri wa miaka 64 tayari amelalamika kwamba uchaguzi huo hauko huru na wa haki.

Mgombea Hichilema amewaambia wazambia kuwa wapuuze kauli hizo za raisi Lungu na kwamba huu ndo wakati mwafaka kwa wazambia kuungana na kuimarisha umoja.

Lakini moja ya sababu kubwa ya kura nyingi kwenda kwa bwana Hichilema ni ukosefu wa ajira nchini humo miongoni mwa vijana ambao ndo nguvukazi ambayo serikali imeshindwa kuitumia katika kuijenga Zambia kiuchumi.

Kwa mujibu wa takwimu kutoka tume ya Uchaguzi ya Zambia vijana wengi walojiandikisha kupira kura wana umri wa miaka 34 kwenda chini.

Katika uchaguzi wa mwaka 2016 bwana Hichilema alishindwa na hata baadae kutumiwa vikosi vya usalama nyumbani kwake baada ya kutangaza kuwa matokeo ya uchaguzi ule yalichakachuliwa.

Safari hii wapiga kura wamejitokeza kwa wingi kupita maelezo na wote wameazimia kumpa kura bwana Hichilema mwenye umri wa miaka 59.

Hichilema anajielezea katika video zake Youtube kuwa ni mtoto wa maskini, na amekwenda shule bila viatu hadi kufikia chuo kikuu.

Kitaaluma bwana Hichilema ni mhasibu na alikuwa afisa mtendaji mkuu katika kampuni yake mwenyewe ya uhasibu kabla ya kufikria kuingia kwenye ulingo wa siasa.

Sera za bwana Hichilema ni kutaka kuimarisha uchumi wa nchi hiyo na kuimarisha soko la ajira ambalo limeathiri vijana wengi.

Matatizo yanayoikabili Zambia yanafanana kwa kiasi kikubwa na matatizo ya Tanzania, vitendo vya rushwa, ufisadi, matumizi mabaya ya fedha, maendeleo duni mijini, mazingira mabovu ya biashara na uwekezaji, deni la taifa na mengine lukuki.

CCM ndicho chama kinachoongoza serikali na mpaka sasa kila ishara iko wazi kuwa CCM imegawanyika katika makundi zaidi ya moja.

Miaka mitano imepita tumesikia kuwa CCM iligawanyika kati ya kundi linalojiita CCM asili na CCM mpya, na sasa tunasikia kauli tofautitofauti na zinazokinzana kutoka kwa wanachama waandamizi wa chama hicho.

Pia hata gazeti maarufu linalomilikiwa na chama hicho gazeti la UHURU nalo limetumika katika malumbano yanoendela ndani ya chama hicho na kwa kuandika vichwa vya habari kumhusu mwenyekiti wake na kuzusha fataki ndani ya chama hicho.

Kama si umakini wa wazee wa chama hichi kikongwe kuingilia kati na kumtuma katibu mkuu wake bwana Daniel Songoro kwenda kuzawazisha mambo, basi hali ingeendelea kuwa tete hadi leo hii.

Songoro bado hajajibu masuali makuu mawili kwanza, je CCM imegawanyika au la, na pili je CCM ina msimamo upi wa pamoja kama chama kuhusiana na chanjo ya UVUKO-19 kwa,mba ni lazima watanzania wachanjwe au chanjo hiyo ni hiari?

Mgawanyiko huu ndo ilikuwa nafasi ya pekee kwa chama kikuu cha upinzani cha Chadema kujitengenezea mazingira mazuri ya ushindi katika uchaguzi ujao wa 2025.

Badala yake si viongozi wake wakuu katibu mkuu, wala uenezi ambae amejitokeza kuonyesha angalau Chadema imeanza kujenga stratejia ya ushindi.

Chadema kinahitaji kujindaa kwelikweli na kama kweli chama hiki kina dhamira ya kweli ya kushika dola, basi kina wajibu wa kuachana na siasa za matukio na kujikita katika kujenga hoja zenye tija ili kujijengea imani kwa wapiga kura.

Suala la mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe kuwa na kesi ya ugaidi inayoendelea mahakamani lisiwe sababu ya Chadema kama chama ambacho kina miaka 29 sasa kwenye ulingo wa siasa za vyama vingi kukosa mwelelekeo na kuonekana hakina mikakati.

Huu ndo ulikuwa wakati wa makamu mwenyekiti Tundu Lissu kuwa mastari wa mbele kukiongoza chama hicho na pengine kupewa nafasi ya uenyekiti wa chama hicho ili akiandane uzuri chama kwa uchaguzi ujao.

Ni maoni yangu binafsi kuwa Tundu Lissu kwa sasa amejifunza kuwa mwanasiasa badala ya mwanaharakati na kwa uwezo wake, ujasiri wake na kauli zake ambazo atakuwa sasa amefahamu namna ya kuzipanga uzuri, anafaa kabisa kuwa mwenyekiti wa Chadema.

Ni wakti sasa kwa Tundu Lissu kurudi nyumbani Tanzania na kuanza kazi ambayo nadhani bado hajaimaliza.

Vyombo vyote vya ulinzi na usalama havina budi sasa kujifunza kutoka Zambia na Malawi kuwa kuna wakati wananchi wanaamua kuwa chama kilichopo madarakani kimefikia tamati na wanataka chama mbadala.

Serikali ina wajibu wa kuhakikisha maisha ya Tundu Lissu yanalindwa na wale wote wasio na nia njema kwake na anasimama kwa uhuru katika jukwaa la kisiasa.

Tundu Lissu akiwa mwenyekiti wa Chadema taifa atakipanga chama atakavyoona yeye inafaa, kuteua timu yake ambayo ina watu makini na kutengeneza sera na ilani mpya ya uchaguzi kwa ajili ya uchaguzi wa 2025.

Kama raisi wa Malawi Chikwera na mgombea wa sasa wa uraisi Zambia bwana Hakainde Hichilema waliweza, sioni tatizo Chadema washindwe uchaguzi wa 2025.

Mgombea wa chama cha upinzani akipata kura za kutosha na watu wakijitokeza kwa wingi kama walivyofanya Zambia kiasi cha tume ya Uchaguzi ya Zambia kutia akili kuwa Hichilema anashinda kwa kura za kutosha.
Napendekeza kwa CCM Rais Samiya ampishe uenyekiti wa CCM Gwajima. Hii imekaa powa kabisa.
 
Mgombea wa upinzani nchini Zambia Hakainde Hichilema anaongoza katika matokeo ya kura za awali katika uchaguzi mkuu.

Hakainde alionyesha kuongoza siku ya jana huku chama chake cha UPND kikikusanya kura katika majimbo mengi nchini humo.

Raisi alieko madarakani Edgar Lungu mwenye umri wa miaka 64 tayari amelalamika kwamba uchaguzi huo hauko huru na wa haki.

Mgombea Hichilema amewaambia wazambia kuwa wapuuze kauli hizo za raisi Lungu na kwamba huu ndo wakati mwafaka kwa wazambia kuungana na kuimarisha umoja.

Lakini moja ya sababu kubwa ya kura nyingi kwenda kwa bwana Hichilema ni ukosefu wa ajira nchini humo miongoni mwa vijana ambao ndo nguvukazi ambayo serikali imeshindwa kuitumia katika kuijenga Zambia kiuchumi.

Kwa mujibu wa takwimu kutoka tume ya Uchaguzi ya Zambia vijana wengi walojiandikisha kupira kura wana umri wa miaka 34 kwenda chini.

Katika uchaguzi wa mwaka 2016 bwana Hichilema alishindwa na hata baadae kutumiwa vikosi vya usalama nyumbani kwake baada ya kutangaza kuwa matokeo ya uchaguzi ule yalichakachuliwa.

Safari hii wapiga kura wamejitokeza kwa wingi kupita maelezo na wote wameazimia kumpa kura bwana Hichilema mwenye umri wa miaka 59.

Hichilema anajielezea katika video zake Youtube kuwa ni mtoto wa maskini, na amekwenda shule bila viatu hadi kufikia chuo kikuu.

Kitaaluma bwana Hichilema ni mhasibu na alikuwa afisa mtendaji mkuu katika kampuni yake mwenyewe ya uhasibu kabla ya kufikria kuingia kwenye ulingo wa siasa.

Sera za bwana Hichilema ni kutaka kuimarisha uchumi wa nchi hiyo na kuimarisha soko la ajira ambalo limeathiri vijana wengi.

Matatizo yanayoikabili Zambia yanafanana kwa kiasi kikubwa na matatizo ya Tanzania, vitendo vya rushwa, ufisadi, matumizi mabaya ya fedha, maendeleo duni mijini, mazingira mabovu ya biashara na uwekezaji, deni la taifa na mengine lukuki.

CCM ndicho chama kinachoongoza serikali na mpaka sasa kila ishara iko wazi kuwa CCM imegawanyika katika makundi zaidi ya moja.

Miaka mitano imepita tumesikia kuwa CCM iligawanyika kati ya kundi linalojiita CCM asili na CCM mpya, na sasa tunasikia kauli tofautitofauti na zinazokinzana kutoka kwa wanachama waandamizi wa chama hicho.

Pia hata gazeti maarufu linalomilikiwa na chama hicho gazeti la UHURU nalo limetumika katika malumbano yanoendela ndani ya chama hicho na kwa kuandika vichwa vya habari kumhusu mwenyekiti wake na kuzusha fataki ndani ya chama hicho.

Kama si umakini wa wazee wa chama hichi kikongwe kuingilia kati na kumtuma katibu mkuu wake bwana Daniel Songoro kwenda kuzawazisha mambo, basi hali ingeendelea kuwa tete hadi leo hii.

Songoro bado hajajibu masuali makuu mawili kwanza, je CCM imegawanyika au la, na pili je CCM ina msimamo upi wa pamoja kama chama kuhusiana na chanjo ya UVUKO-19 kwa,mba ni lazima watanzania wachanjwe au chanjo hiyo ni hiari?

Mgawanyiko huu ndo ilikuwa nafasi ya pekee kwa chama kikuu cha upinzani cha Chadema kujitengenezea mazingira mazuri ya ushindi katika uchaguzi ujao wa 2025.

Badala yake si viongozi wake wakuu katibu mkuu, wala uenezi ambae amejitokeza kuonyesha angalau Chadema imeanza kujenga stratejia ya ushindi.

Chadema kinahitaji kujindaa kwelikweli na kama kweli chama hiki kina dhamira ya kweli ya kushika dola, basi kina wajibu wa kuachana na siasa za matukio na kujikita katika kujenga hoja zenye tija ili kujijengea imani kwa wapiga kura.

Suala la mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe kuwa na kesi ya ugaidi inayoendelea mahakamani lisiwe sababu ya Chadema kama chama ambacho kina miaka 29 sasa kwenye ulingo wa siasa za vyama vingi kukosa mwelelekeo na kuonekana hakina mikakati.

Huu ndo ulikuwa wakati wa makamu mwenyekiti Tundu Lissu kuwa mastari wa mbele kukiongoza chama hicho na pengine kupewa nafasi ya uenyekiti wa chama hicho ili akiandane uzuri chama kwa uchaguzi ujao.

Ni maoni yangu binafsi kuwa Tundu Lissu kwa sasa amejifunza kuwa mwanasiasa badala ya mwanaharakati na kwa uwezo wake, ujasiri wake na kauli zake ambazo atakuwa sasa amefahamu namna ya kuzipanga uzuri, anafaa kabisa kuwa mwenyekiti wa Chadema.

Ni wakti sasa kwa Tundu Lissu kurudi nyumbani Tanzania na kuanza kazi ambayo nadhani bado hajaimaliza.

Vyombo vyote vya ulinzi na usalama havina budi sasa kujifunza kutoka Zambia na Malawi kuwa kuna wakati wananchi wanaamua kuwa chama kilichopo madarakani kimefikia tamati na wanataka chama mbadala.

Serikali ina wajibu wa kuhakikisha maisha ya Tundu Lissu yanalindwa na wale wote wasio na nia njema kwake na anasimama kwa uhuru katika jukwaa la kisiasa.

Tundu Lissu akiwa mwenyekiti wa Chadema taifa atakipanga chama atakavyoona yeye inafaa, kuteua timu yake ambayo ina watu makini na kutengeneza sera na ilani mpya ya uchaguzi kwa ajili ya uchaguzi wa 2025.

Kama raisi wa Malawi Chikwera na mgombea wa sasa wa uraisi Zambia bwana Hakainde Hichilema waliweza, sioni tatizo Chadema washindwe uchaguzi wa 2025.

Mgombea wa chama cha upinzani akipata kura za kutosha na watu wakijitokeza kwa wingi kama walivyofanya Zambia kiasi cha tume ya Uchaguzi ya Zambia kutia akili kuwa Hichilema anashinda kwa kura za kutosha.
Hoja yako inataka kuonyesha kwamba una nia njema, lakini ukweli unaujua kwamba tatizo ni TUME HURU YA UCHAGUZI. Tume huru ya uchaguzi inahitajika ambayo muundo au kuundwa kwake lazima kusemwe kwenye KATIBA MPYA. Katiba tuliyonayo inakubaliana wajumbe wa tume ya uchaguzi wateuliwe na Rais aliyeko madarakani, yaani mwenyekiti wa chama tawala. Katiba mpya itakayounda muundo tofauti wa tume ya uchaguzi (TUME HURU YA UCHAGUZI, wajumbe wake wasiteuliwe na Rais) ndiyo muarobaini wa hili gonjwa la uchaguzi Tanzania.
 
Back
Top Bottom