CCM imefanya uhuni wa kuengua baadhi ya wagombea wa vyama vya upinzani. Uhuni huu umepitwa na wakati. Wananchi kupitia vyama vyao vya siasa, wamechoka na uhuni huu.
Kwa wale ambao tunajua jinsi ambavyo mataifa mengi barani Africa yaliingia kwenye matatizo mazito sana, tuwaomba washauri wa Rais, mwambieni kwamba huko anakotaka kutupeleka ni giza nene.
Ndugu zangu, katika siasa, siku moja yaweza kuwa sawa na siku mia moja.
CCM na Mwenyekiti wake, mbinu za mwaka jana hazitofaa tena. Isitoshe, wananchi waliowengi, wameisha elimika.
Kwa wale ambao tunajua jinsi ambavyo mataifa mengi barani Africa yaliingia kwenye matatizo mazito sana, tuwaomba washauri wa Rais, mwambieni kwamba huko anakotaka kutupeleka ni giza nene.
Ndugu zangu, katika siasa, siku moja yaweza kuwa sawa na siku mia moja.
CCM na Mwenyekiti wake, mbinu za mwaka jana hazitofaa tena. Isitoshe, wananchi waliowengi, wameisha elimika.