Alfred Daud Pigangoma
JF-Expert Member
- Mar 30, 2009
- 1,826
- 966
Nakumbuka ule wimbo
"tarehe tano februari thamanini na nane, wananchi wa tabora njoni tushangilie.
twakumbuka, miaka kumi na moja leo ya chama chetu"
Duh, ya mwaka huu kali sijui waliimbaje???!!!!!! wajameni maCCM mmetupa jongoo na mti wake?????!!!!!
"tarehe tano februari thamanini na nane, wananchi wa tabora njoni tushangilie.
twakumbuka, miaka kumi na moja leo ya chama chetu"
Duh, ya mwaka huu kali sijui waliimbaje???!!!!!! wajameni maCCM mmetupa jongoo na mti wake?????!!!!!