webondo
JF-Expert Member
- Apr 29, 2012
- 1,713
- 382
Hatutaki porojo!Hakika napenda sikuniione CCM mpya,CCM iliyojikita katika misingi yake ya kutetea wanyonge,CCM ya wakulima na wafanyakazi,CCM yenye sera za kweli za kumkomboa Mtanzania kutoka katika lindi la umaskini uliokithiri.Njia moja wapo ya kufikia haponi kurudia miiko na misingi iliyounda chama chetu,kuwatosa makupe (mafisadie),kuwawajibisha wavivu,na kuweka viongozi wenye nia thabiti na uwezo na kuonyesha njia kule tunakotaka kwenda.Tukifanya hivyo hakikia Tanzania yenye maendeleo,amani na utulivu tutaiona.Kamwe sitavaa gwanda na kamwe sitatetea mafisadi.MUNGU IBARIKI TANZANIA.