Angel Msoffe
JF-Expert Member
- Jun 21, 2011
- 6,781
- 1,639
Shusha verse baba
Hakika napenda sikuniione CCM mpya,CCM iliyojikita katika misingi yake ya kutetea wanyonge,CCM ya wakulima na wafanyakazi,CCM yenye sera za kweli za kumkomboa Mtanzania kutoka katika lindi la umaskini uliokithiri.Njia moja wapo ya kufikia haponi kurudia miiko na misingi iliyounda chama chetu,kuwatosa makupe (mafisadie),kuwawajibisha wavivu,na kuweka viongozi wenye nia thabiti na uwezo na kuonyesha njia kule tunakotaka kwenda.Tukifanya hivyo hakikia Tanzania yenye maendeleo,amani na utulivu tutaiona.Kamwe sitavaa gwanda na kamwe sitatetea mafisadi.MUNGU IBARIKI TANZANIA.
Hakika napenda sikuniione CCM mpya,CCM iliyojikita katika misingi yake ya kutetea wanyonge,CCM ya wakulima na wafanyakazi,CCM yenye sera za kweli za kumkomboa Mtanzania kutoka katika lindi la umaskini uliokithiri.Njia moja wapo ya kufikia haponi kurudia miiko na misingi iliyounda chama chetu,kuwatosa makupe (mafisadie),kuwawajibisha wavivu,na kuweka viongozi wenye nia thabiti na uwezo na kuonyesha njia kule tunakotaka kwenda.Tukifanya hivyo hakikia Tanzania yenye maendeleo,amani na utulivu tutaiona.Kamwe sitavaa gwanda na kamwe sitatetea mafisadi.MUNGU IBARIKI TANZANIA.
1. Msilipize kisasa kwa viongozi wa ccm kwa madhambi yao bali jiweke kuwa mfano ili watanzania wajifunze na kubaini
jinsi ambavyo viongozi wao walikuwa chanzo cha matatizo yao kwa kuona mabadiliko kutoka kwenu.
[/b]2. Mtusaidie kuziba pengo la walionacho na wasionacho ili kuleta mshikamano wa kitaifa.
3. Amsha ari ya watanzania katika kuipenda nchi yao ili watu wajivunie kuitwa watanzania.
4. Msijenge tabaka la kifalme kama walivyojijengea viongozi wa ccm maana sasa kinachochukua nafasi si uwezo wa
mtu bali ni mtoto wa nani.
5.naomba mtakapo ingia madarakani jaribu kila liwezekanavyo kupunuza garama za serikali, kwa kuanzia punguza
wizara ikiwezekana kwa kuanzia zisizidi 10 na baada ya hapo kufikia mwaka 2020 iwe wilaya moja jimbo la uchaguzi
moja.
6. Viwanja vyote vya michezo vyote viwe mali ya serikali maana ccm ilifanya kujimilikisha lakini vilijengwa kwa fedha
za watanzania wote.
Naomba wana jf muongezee mengine ambayo mnataka cdm itufanyie pale itakaposhika uongozi wa nchi ili waanze kuona nini wanachi wanataka kungali mapema.:spit::spit:
Uchunguzi wa karibuni kabisa unaonyesha dalili zifuatazo:-
1/Zaidi ya 50% ya mtandao wake nchi nzima umekufa (eg. kufa kwa miradi,mwitikio mdogo kwenye chaguzi za ndani na kukosekana kwa pesa za kutosha kujiendesha kwenye jumuiya, mashina na matawi)
2/Kushindwa kwa secretarieti ya chama mara mbili mfululizo ndani ya miaka sita tu (Ilianza ya Makamba Senior sasa ya Mukama).
3/Kasi ya kukimbiwa na wanachama wake nchi nzima inayoendelea sasa.
4/Kuongezeka kwa idadi kubwa ya makada mamluki ndani ya chama (wako kusaka vyeo na ulaji na hawana mapenzi ya dhati kwa CCM)
5/Kuzidi kupoteza mvuto kwa wananchi wa kawaida (eg. matokeo ya chaguzi ndogo,idadi na hamasa ndogo kwenye mikutano)
6/Vita sugu za makundi ndani ya chama kuwania vyeo (eg. Urais,ubunge,ujumbe wa vikao vikuu vya chama,uongozi wa chama)
7/Kukua kwa kasi kwa chama pinzani hususani Chadema.
8/Kuongezeka kwa uolewa wa wananchi kunakochangiwa na vyombo vya habari na mitandao.
9/Hatua za CCM kujiandaa kuwa chama cha upinzani siku zijazo (eg.mapendekezo ya NEC ya CCM kwenye mchakato wa sasa wa katiba mpya kuhusu mgombea binafsi,kupingwa kwa matokeo ya urais mahakamani)
10/Kutokuaminiana tena baina ya viongozi waandamizi wa chama (eg. Kuvujisha siri za vikao,fununu za kulishana sumu na ushirikina, siasa za kupakana matope, tishio la mauaji ya kutengeneza, kitisho cha kuvuana magamba, fununu za kuhamia upinzani)
*SOURCE: Ripoti ya kikao cha NEC ya CCM (May 2012) ,Maoni ya baadhi ya wahadhiri wa vyuo vikuu, wadadisi na wachambuzi kadhaa wa kisiasa Tanzania.
Mimi si mtoto wa kigogo,si mtoto wa fisadi bali ni mtoto wa mfanyakazi mstaafu,CCM haina mwenyewe,ngoja nikuulize; hv ulishawahi kuangalia muundo wa kiuongozi wa cdm?je umewahi kuangalia viongozi waliopo ndani yake?na kama ulifanya hvyo unajua uhusiano mwingi uluiopo kati ya viongozi hao?naomba majibuNakapanya kumbe na wwe nimwa sisiem?wwe nimtoto wakigogo yupi?sisiem niya matariji,vigogo,watoto wao,wake zao.ssa wwe upo kundi lipi?wakati mnaendelea namchakato wakukijenga upya chama chenu,inabdi mbadirishe nembo yachama.toa jembe na nyundo weka kisu na kijiko mpaka mkimaliza ujenzi.