My Son drink water
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 4,932
- 13,283
Kilichowakuta wasanii wa Bongo movie ni fundisho kubwa kwa wenzao wote wanaopenda hiyo sanaa ili kufanikiwa kimaisha.
Wasanii wa Bongo movie walisahau kuwa watanzania wapo matabaka tofauti. Wapo wasio na vyama, wapo walio CCM na wapo Wapinzani pia. Badala ya kufanya biashara, Bongo movie walianza siasa tena kwa kulalia CCM utadhani CCM ndo huwa inanunua kazi zao pekee...
Na hasa ikizingatiwa kwamba Watanzania 85% hawaipendi kabisa CCM kwa kuwaletea umaskini mkubwa, na CCM wanalijua hilo ndo maana inawapasa kuishi kwa kupumulia Police Kama Oksijen yao na TISS Kama dripu zao.
Watanzania kwa hasira waliamua kususa kununua kazi za Bongo movie baada ya baadhi ya wasanii wa Bongo movie kuanza kutoa kashfa kwa watanzania wasio CCM.
Njaa iliwapiga wasanii wakakosa mwelekeo na kuanza kuweweseka,ndipo wakamlilia mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, Mh Makonda, naye kwa kukosa Hekima akajaribu kuzindua Kampeni ya kuzuia watanzania wasinunue filamu za nje, bali wanunue filamu za Tanzania tu, ili kuwanusuru Bongo movie wasife njaa.
Kampeni ya Makonda haikufanikiwa, njaa ikaendelea kuwatesa Bongo movie kwa filamu zao kukosa mvuto kwa jamii kwa sababu ya U CCM wao.
Mwisho wa siku Bongo movie ikafa kifo cha mende, Viongozi wa Bongo movie kina Steve Nyerere ndo waliponza wenzao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wasanii wa Bongo movie walisahau kuwa watanzania wapo matabaka tofauti. Wapo wasio na vyama, wapo walio CCM na wapo Wapinzani pia. Badala ya kufanya biashara, Bongo movie walianza siasa tena kwa kulalia CCM utadhani CCM ndo huwa inanunua kazi zao pekee...
Na hasa ikizingatiwa kwamba Watanzania 85% hawaipendi kabisa CCM kwa kuwaletea umaskini mkubwa, na CCM wanalijua hilo ndo maana inawapasa kuishi kwa kupumulia Police Kama Oksijen yao na TISS Kama dripu zao.
Watanzania kwa hasira waliamua kususa kununua kazi za Bongo movie baada ya baadhi ya wasanii wa Bongo movie kuanza kutoa kashfa kwa watanzania wasio CCM.
Njaa iliwapiga wasanii wakakosa mwelekeo na kuanza kuweweseka,ndipo wakamlilia mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, Mh Makonda, naye kwa kukosa Hekima akajaribu kuzindua Kampeni ya kuzuia watanzania wasinunue filamu za nje, bali wanunue filamu za Tanzania tu, ili kuwanusuru Bongo movie wasife njaa.
Kampeni ya Makonda haikufanikiwa, njaa ikaendelea kuwatesa Bongo movie kwa filamu zao kukosa mvuto kwa jamii kwa sababu ya U CCM wao.
Mwisho wa siku Bongo movie ikafa kifo cha mende, Viongozi wa Bongo movie kina Steve Nyerere ndo waliponza wenzao.
Sent using Jamii Forums mobile app