jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,053
- 28,245
makada wa ccm wanaeleza mbinu makini waliyotumia kuishinda chadema kabla ya uchaguzi wa arumeru mashariki.
Ile siku ya jumamosi ambapo chadema walizindua kampeni zao pale leganga kulikuwa na kundi kubwa la makada wa ccm walioenda kupiga kampeni ya nyumba kwa nyumba huko vijijini.ccm walihakikisha wazee na kina mama waliobaki majumbani wanashawishiwa kwa mbinu zozote zile kuichagua ccm.hii ilikuwa ni fursa muhimu kwa ccm kuchukua ushindi kwani uwepo wa vijana majumbani ungesababisha resistance kubwa.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
Ile siku ya jumamosi ambapo chadema walizindua kampeni zao pale leganga kulikuwa na kundi kubwa la makada wa ccm walioenda kupiga kampeni ya nyumba kwa nyumba huko vijijini.ccm walihakikisha wazee na kina mama waliobaki majumbani wanashawishiwa kwa mbinu zozote zile kuichagua ccm.hii ilikuwa ni fursa muhimu kwa ccm kuchukua ushindi kwani uwepo wa vijana majumbani ungesababisha resistance kubwa.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA