CCM ilishinda Arumeru siku ya ufunguzi wa kampeni za chadema

jingalao

JF-Expert Member
Oct 12, 2011
35,053
28,245
makada wa ccm wanaeleza mbinu makini waliyotumia kuishinda chadema kabla ya uchaguzi wa arumeru mashariki.
Ile siku ya jumamosi ambapo chadema walizindua kampeni zao pale leganga kulikuwa na kundi kubwa la makada wa ccm walioenda kupiga kampeni ya nyumba kwa nyumba huko vijijini.ccm walihakikisha wazee na kina mama waliobaki majumbani wanashawishiwa kwa mbinu zozote zile kuichagua ccm.hii ilikuwa ni fursa muhimu kwa ccm kuchukua ushindi kwani uwepo wa vijana majumbani ungesababisha resistance kubwa.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
 
makada wa ccm wanaeleza mbinu makini waliyotumia kuishinda chadema kabla ya uchaguzi wa arumeru mashariki.
Ile siku ya jumamosi ambapo chadema walizindua kampeni zao pale leganga kulikuwa na kundi kubwa la makada wa ccm walioenda kupiga kampeni ya nyumba kwa nyumba huko vijijini.ccm walihakikisha wazee na kina mama waliobaki majumbani wanashawishiwa kwa mbinu zozote zile kuichagua ccm.hii ilikuwa ni fursa muhimu kwa ccm kuchukua ushindi kwani uwepo wa vijana majumbani ungesababisha resistance kubwa.

Kwa hisani ya mtu wa tanzania

wewe unafikiria kwa kutumia masaburi
 
Kweli wewe ni Jingalao.
Aliyekuambia wana Arumeru wanasubiri kuambiwa nani wa kumchagua ni nani.

Kinachofanyika sasa Arumeru ni kuwatangazia watu kwamba kuna Fursa nyingine imejitokeza Mapema ya kufanya maamuzi kwa ajili ya mustakabali wa maisha yao. Wanajua Fika wanachokitaka, cha zaidi
wanatajiwa Majina tu.

Wana Arumeru wanajua kwamba sio Joshua wala Sioi mwenye uwezo Binafsi wa kutatua Matatizo,Lakini wanatambua kwamba kama Jamii wanalazimika kuwa na kiongozi, na wanajua sifa za kiongozi wanayemtaka.

Kwa kifupi, Mwanaadamu yeyete yule, Hata Akija Obama hapa akagombea Udiwani kwa ticketi ya CCM popote pale katika ardhi ya nchi hii, tofauti pekee itakayokuwapo ni kwamba wakati wa kampeni watu watapewa rushwa in Dollas lakini imani kwa wananchi juu yake itakuwa ni single digit percent.

Watanzania hatuwezi kukaa kila siku tunachambua sifa za watu, tumeishafanya uamuzi mmoja tu, this time around tuchagua viongozi wetu kutoka CHADEMA Period. CHADEMA is our political BRAND
 
Nadhani kunahaja ya kutafuta jina zuri kwa watu wenye kuleta thread kama hii maana huyu kumwambia anafikiria kwa kutumia masaburi tutakuwa tumempa hadhi ya juu sana kifikra maana inabidi tuangalie ufahamu, mitizamo, uelewa, ushawishi na fikra za waliowahi kuambiwa wanafikiri kwa kutumia makalio then tufananishe na sifa za mleta uzi je wako kwenye level moja? Kwangu mimi hapana! Sasa huyu atakuwa anafikiri kwa kutumia nini?
 
atakuwa anafikiri kwa kutumiaaaaa! Aaaah! Nmekumbuka ngoja nkamulize mwanaasha huwa anafikiri kwa ku2mia nn then ntawaletea jibu faster!
 
Kiukweli nassari ameshindwa kuwaambia wana Arumeru atawafanyia nini akichaguliwa kuwa mbunge. Amebakia kuongelea ufisadi badala ya kuongea namna ya kutatua matatizo ya wanaarumeru. Hii itamletea shida.
 
Kweli wewe ni Jingalao.
Aliyekuambia wana Arumeru wanasubiri kuambiwa nani wa kumchagua ni nani.

Kinachofanyika sasa Arumeru ni kuwatangazia watu kwamba kuna Fursa nyingine imejitokeza Mapema ya kufanya maamuzi kwa ajili ya mustakabali wa maisha yao. Wanajua Fika wanachokitaka, cha zaidi
wanatajiwa Majina tu.

Wana Arumeru wanajua kwamba sio Joshua wala Sioi mwenye uwezo Binafsi wa kutatua Matatizo,Lakini wanatambua kwamba kama Jamii wanalazimika kuwa na kiongozi, na wanajua sifa za kiongozi wanayemtaka.

Kwa kifupi, Mwanaadamu yeyete yule, Hata Akija Obama hapa akagombea Udiwani kwa ticketi ya CCM popote pale katika ardhi ya nchi hii, tofauti pekee itakayokuwapo ni kwamba wakati wa kampeni watu watapewa rushwa in Dollas lakini imani kwa wananchi juu yake itakuwa ni single digit percent.

Watanzania hatuwezi kukaa kila siku tunachambua sifa za watu, tumeishafanya uamuzi mmoja tu, this time around tuchagua viongozi wetu kutoka CHADEMA Period. CHADEMA is our political BRAND

wewe endelea kuzunguka mbuyu tu badala ya kuongelea kinachotokea arumeru vijijini.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
 
Kiukweli nassari ameshindwa kuwaambia wana Arumeru atawafanyia nini akichaguliwa kuwa mbunge. Amebakia kuongelea ufisadi badala ya kuongea namna ya kutatua matatizo ya wanaarumeru. Hii itamletea shida.

Wana-Arumeru kama Watanzania wengine wote ufisadi pia ni tatizo lao. Hii dhana yako ya mgombea kuwaambia watu atakachowafanyia ndiyo imetufikisha hapa tulipo. Hivi kweli mpaka leo hii wewe unaamini kabisa kwamba mbunge atawafanyia wananchi kitu fulani? Maswala ya maendeleo ni jukumu na mchango wa kila mwananchi mwenye nguvu, akili timamu na afya njema, si jukumu la mtu mmoja aitwaye mbunge.
Watanzania tunatakiwa kuelewa dhana ya kuwajibika kwa pamoja kuleta mabadiliko na hatimaye maendeleo.
 
Wana-Arumeru kama Watanzania wengine wote ufisadi pia ni tatizo lao. Hii dhana yako ya mgombea kuwaambia watu atakachowafanyia ndiyo imetufikisha hapa tulipo. Hivi kweli mpaka leo hii wewe unaamini kabisa kwamba mbunge atawafanyia wananchi kitu fulani? Maswala ya maendeleo ni jukumu na mchango wa kila mwananchi mwenye nguvu, akili timamu na afya njema, si jukumu la mtu mmoja aitwaye mbunge.
Watanzania tunatakiwa kuelewa dhana ya kuwajibika kwa pamoja kuleta mabadiliko na hatimaye maendeleo.

unadhani wana arumeru hawajawahi kusikia issue za ufisadi?mbona walimchagua sumari pamoja na ugonjwa aliokuwa nao?sera ya ufisadi haileti ushindi bali ushindi unahitahi mikakati na hapo ndipo ccm inaposhindia.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
 
It is not true bucho and others who think like you. Just anyone at arumeru east. He/she will tell you that is not expecting any contestant to transfer money to his/her account, or give that and that. what they are voting for is the messenger who they can easily give their complaints to the necessary authorities. basi!
This does not, by any means, discourage and your party from continuing distributing money and kangas to voter as they already know who they want to elect as their messenger.
Nawasilisha
 
It is not true bucho and others who think like you. Just tell anyone at arumeru east. He/she will tell you that is not expecting any contestant to transfer money to his/her account, or give that and that. what they are voting for is the messenger who they can easily give their complaints to the necessary authorities. basi!
This does not, by any means, discourage and your party from continuing distributing money and kangas to voter as they already know who they want to elect as their messenger.
Nawasilisha
 
Kweli wewe jinga sana,unabadilisha gari kuwa meli,ccm wamepotea arumeru
kampeni za ccm sio majukwaani,ccm wanajua nguvu yao ilipo na wanaitumi vilivyo.wameru ni watu wa kujishughulisha sana kwa hiyo kwenda kwenye kampeni hawana muda.ccm inajua kutafuta kura,inaenda majumbani kunyenyekea nyie mnabaki majukwaani kumuongelea mkapa.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
 
kampeni za ccm sio majukwaani,ccm wanajua nguvu yao ilipo na wanaitumi vilivyo.wameru ni watu wa kujishughulisha sana kwa hiyo kwenda kwenye kampeni hawana muda.ccm inajua kutafuta kura,inaenda majumbani kunyenyekea nyie mnabaki majukwaani kumuongelea mkapa.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA[ tunakosea sana kuingia kwenye marumbano na watu wa aina hii kwanza jina linajieleza hata km akiona mtu anakuny.a hapo bado atabisha njoo Arumeru uone acha kusimuliwa ccm nguo imedondoka mbele ya watoto ..aibu tupu hawaonekani ...
 
kampeni za ccm sio majukwaani,ccm wanajua nguvu yao ilipo na wanaitumi vilivyo.wameru ni watu wa kujishughulisha sana kwa hiyo kwenda kwenye kampeni hawana muda.ccm inajua kutafuta kura,inaenda majumbani kunyenyekea nyie mnabaki majukwaani kumuongelea mkapa.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA[ tunakosea sana kuingia kwenye marumbano na watu wa aina hii kwanza jina linajieleza hata km akiona mtu anakuny.a hapo bado atabisha njoo Arumeru uone acha kusimuliwa ccm nguo imedondoka mbele ya watoto ..aibu tupu hawaonekani ...

mimi niko maeneo ya kipande nkuavere huku arumeru,wewe uko wapi?unaleta mbwembwe kwenye keyboard

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
 
unadhani wana arumeru hawajawahi kusikia issue za ufisadi?mbona walimchagua sumari pamoja na ugonjwa aliokuwa nao?sera ya ufisadi haileti ushindi bali ushindi unahitahi mikakati na hapo ndipo ccm inaposhindia.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA

Sumari na ugonjwa wake alichaguliwa saa 6 usiku! Muulize Mzee Makamba aliwahi kukimbia Kule kwa akina Mura usiku wa manane. This time Mwigulu ataondoka saa 5 usiku maana aibu ni kwake! Kwanza keshashindwa maana hajapata mke wa mtu mpaka saa hii! Wanawake wa Kimerudi hawahadaiki na VIJISENTI bana!
 
Kwa nini mulimuua
Nyerere
kina nani hao walimuua nyerere?
Rudi kwenye topic ya msingi hayo ya nyerere yana thread yake nenda huko ukapost huu ushabiki

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
 
Back
Top Bottom