mtoto wa mchungaji
JF-Expert Member
- Oct 24, 2020
- 279
- 480
Hili neno CCM YA KIJANI lilianza kutumika rasmi kwa mara ya kwanza baada ya uchaguzi wa 2015 wakati CCM ikishuhudia kichapo kikali kutoka upinzani ambacho hakijawai tokea tangia kuasisiwa kwa chama hicho.
Kwa mfano hapa Dar kati ya majimbo ya uchaguzi 10 CCM iliambulia jimbo 1 la Segerea tu halkadhalika na udiwani pia.
Ukiliangalia hili neno unaweza kugundua kuwa lilitumika kama uchungu lakini CCM ina siri pia katika sipiriti kwasababu ulimi unaumba. Unaweza jiuliza kwanini huko nyuma CCM haikulitumia hili neno CCM YA KIJANI mpaka baada ya kupata kichapo ndiyo ilianza kutumia neno hilo.
Tulianza kuona slogani mpya kila mkoa, kila wilaya, kila tarafa, kila kata, kila kijiji, kila mtaa, kila kitongoji na kila shina neno CCM ya KIJANI lilitumika kama tai.
Hivyo kuvunja nguvu upinzani ulikuwa mkakati ambao roho za kusababisha zilialikwa kusababisha swala hilo.
Hivyo wapinzani wa Tanzania wawe makini wanaposhindana na CCM kwani wenzao wanashirikisha na roho pia.
Huko nyuma CCM ilitumia KIDUMU CHA CHA MAPINDUZI na kinadumu, mimi najaribu kuwadadavulia wapinzani haya mambo ya kiroho na kama wanataka kufanya kweli waje kwangu na sadaka wataweza kuwa wapinzani kweli kwa sababu ni ngumu kushindana na mtu anayetumia silaha ya roho, wewe unakuja na mwili tupu lazima uumie.
Mtoto wa mchungaji.
Kwa mfano hapa Dar kati ya majimbo ya uchaguzi 10 CCM iliambulia jimbo 1 la Segerea tu halkadhalika na udiwani pia.
Ukiliangalia hili neno unaweza kugundua kuwa lilitumika kama uchungu lakini CCM ina siri pia katika sipiriti kwasababu ulimi unaumba. Unaweza jiuliza kwanini huko nyuma CCM haikulitumia hili neno CCM YA KIJANI mpaka baada ya kupata kichapo ndiyo ilianza kutumia neno hilo.
Tulianza kuona slogani mpya kila mkoa, kila wilaya, kila tarafa, kila kata, kila kijiji, kila mtaa, kila kitongoji na kila shina neno CCM ya KIJANI lilitumika kama tai.
Hivyo kuvunja nguvu upinzani ulikuwa mkakati ambao roho za kusababisha zilialikwa kusababisha swala hilo.
Hivyo wapinzani wa Tanzania wawe makini wanaposhindana na CCM kwani wenzao wanashirikisha na roho pia.
Huko nyuma CCM ilitumia KIDUMU CHA CHA MAPINDUZI na kinadumu, mimi najaribu kuwadadavulia wapinzani haya mambo ya kiroho na kama wanataka kufanya kweli waje kwangu na sadaka wataweza kuwa wapinzani kweli kwa sababu ni ngumu kushindana na mtu anayetumia silaha ya roho, wewe unakuja na mwili tupu lazima uumie.
Mtoto wa mchungaji.