CCM ikigeuka mabadiliko anayoyataka Rais Samia yatatokea aslani...

El Roi

JF-Expert Member
May 29, 2020
263
502
Binafsi, kwa dhati ya moyo wangu, napendezwa na approach ya mheshimiwa Rais wetu namna anavyoyaona mambo na anavyoongoza kwa ujumla. Nafurahia utulivu wake na alivyo juu ya mambo ( over board).

Mtu anapokuwa over board maana yake ni kwamba kayamudu mambo, anafuata mifumo na anakuwa na picha kubwa juu ya anayoyafanya. Anaona mbele kabla hali yenyewe haijatokea ( pro active) na hana mihemuko ( reactive).

Kuna wakati hapo nyuma, baadhi yetu hatukufurahia namna mambo yalivyokuwa yamekaa. Ubabe, vitisho , kukosa mifumo iligeuka kuwa order of the day. Kwa muda huu huoni hiyo. Tunamshukuru sana Mungu. Sasa tunategemea tu kuyaona maendeleo maana sifa kuu za msababisha maendeleo ( Rais) huyu wa sasa anazo.

Baada ya hayo na nia njema ya Rais wetu juu ya kuleta maendeleo mapana( inclusive developments), shida yangu Sasa inabaki kuona kama chama chake kina uwezo wa kujigeuza na ku accomodate falsafa na maono ya Rais. Katika kuongoza nchi.

Kwangu Mimi CCM ni chama kigumu sana kubadilika kwa maana pana . Ni rahisi kubadilika wao kwa wao kama wanataka kufanya jambo lao, lakini mabadiliko mapana yanayoingiza jamii pana au sema nchi, ni wagumu sana kubadilika

Labda kiasi utaona mabadiliko kwenye sughuli za kiuchumi. Wanajitahidi na kiasi kikubwa wanafanya vizuri. Mahali ambapo hawa jamaa nawaona vigumu kubadilika ni katika siasa na uongozi wa nchi.

Namkumbuka Rais msitaafu Jakaya, alivyokuwa na Nia ya dhati ya kutafuta katiba mpya. Ni ukweli uliowazi kwamba Jk alikuwa kiongozi wa wakati, aliyeona mahitaji ya wakati na alipenda demokrasia. Niambieni kama alifaulu katika dhima yake ya kupata katiba mpya. La hasha!

Tunajua jinsi alivyogeuka na akawa self contradictory Kwa mambo ambayo alitaka yawepo.
Angalia jinsi alivyopiga nyundo m apendezo yaliyoratibiwa na timu ya watu nguli na aliowateua m wenyewe.

Unadhani alikuwa yeye? CCM walikuwa nyuma. Hawakutaka mabadiliko yale kwa sababu yalikuwa yanatoa nafasi ya wao kuwa mashakani kuchukua madaraka na uongozi, ambavyo tayari CCM wanaona wao ndo tu wanafaa kuwa hivyo.

Rais wetu ana maono ya Sasa ya namna nchi zinavyotakiwa kuongozwa. Na nadhani mnaona anavyo behave. Swali tata ni kwamba atafanikiwa?

Tangu ameingia madarakani, tumeona jitihada zake mbalimbali za kuunda timu kadhaa za Siri na za wazi ili kufanya nchi itulie na iongozwe kistaarabu( professionally). Kubwa nitakalolisemea ni kamati aliyoiunda ya kuangalia mabadiliko ya katiba. Je atafanikiwa ?

Hivi kweli hii kamati itakapopendekeza mabadiliko yanayopaswa ( Tangible) kama ilivyokuwa tume ya Warioba, CCM watakubaliana na Rais ambaye ndo Mwenyekiti wao?

Mifumo ya nchi na mazoea yanaibeba CCM katika mambo Mengi. CCM hawa ninaowajua watakubali kweli mabadiliko makubwa hasa yanayoleta usawa wa yeyote na chama kingine kushika madaraka??

Nionavyo mie mabadiliko anayoyatafuta Rais yako likely kutopatikana kwa sababu Chama chake hakijajigeuza kabisa kujua wakati huu na kuacha ubinafsi.

Hivi CCM wataridhia usawa katika kufanya siasa, kukubali kushindwa kwenye sanduku la kura, tume huru ya uchaguzi inayowaweka nje wakurugenzi ambao ni turufu yao kwenye uchaguzi?

Kuna maandiko katika msaafu wa wakristo yanayosema" huwezi kuweka divai mpya katika kiriba ( chupa) ya zamani.

Naiona CCM kama kiriba Cha kale ambacho hakiwezi kukubali kabisa, usasa katika kuongoza nchi. Je dhamira njema ninayoiona kwa Rais wetu itafanikiwa? Anaweza kisimamia mambo mwenyewe wakati CCM wanapinga?

Tujipe muda, ingawa maombi yangu ni kwamba CCM ibadilike ili ku accomodate mabadiliko chanya katika uongozi wa nchi na kuifanya nchi kuchanua.


Wasalaam.
 
Binafsi, kwa dhati ya moyo wangu, napendezwa na approach ya mheshimiwa Rais wetu namna anavyoyaona mambo na anavyoongoza kwa ujumla. Nafurahia utulivu wake na alivyo juu ya mambo ( over board).

Mtu anapokuwa over board maana yake ni kwamba kayamudu mambo, anafuata mifumo na anakuwa na picha kubwa juu ya anayoyafanya. Anaona mbele kabla hali yenyewe haijatokea ( pro active) na hana mihemuko ( reactive).

Kuna wakati hapo nyuma, baadhi yetu hatukufurahia namna mambo yalivyokuwa yamekaa. Ubabe, vitisho , kukosa mifumo iligeuka kuwa order of the day. Kwa muda huu huoni hiyo. Tunamshukuru sana Mungu. Sasa tunategemea tu kuyaona maendeleo maana sifa kuu za msababisha maendeleo ( Rais) huyu wa sasa anazo.

Baada ya hayo na nia njema ya Rais wetu juu ya kuleta maendeleo mapana( inclusive developments), shida yangu Sasa inabaki kuona kama chama chake kina uwezo wa kujigeuza na ku accomodate falsafa na maono ya Rais. Katika kuongoza nchi.

Kwangu Mimi CCM ni chama kigumu sana kubadilika kwa maana pana . Ni rahisi kubadilika wao kwa wao kama wanataka kufanya jambo lao, lakini mabadiliko mapana yanayoingiza jamii pana au sema nchi, ni wagumu sana kubadilika

Labda kiasi utaona mabadiliko kwenye sughuli za kiuchumi. Wanajitahidi na kiasi kikubwa wanafanya vizuri. Mahali ambapo hawa jamaa nawaona vigumu kubadilika ni katika siasa na uongozi wa nchi.

Namkumbuka Rais msitaafu Jakaya, alivyokuwa na Nia ya dhati ya kutafuta katiba mpya. Ni ukweli uliowazi kwamba Jk alikuwa kiongozi wa wakati, aliyeona mahitaji ya wakati na alipenda demokrasia. Niambieni kama alifaulu katika dhima yake ya kupata katiba mpya. La hasha!

Tunajua jinsi alivyogeuka na akawa self contradictory Kwa mambo ambayo alitaka yawepo.
Angalia jinsi alivyopiga nyundo m apendezo yaliyoratibiwa na timu ya watu nguli na aliowateua m wenyewe.

Unadhani alikuwa yeye? CCM walikuwa nyuma. Hawakutaka mabadiliko yale kwa sababu yalikuwa yanatoa nafasi ya wao kuwa mashakani kuchukua madaraka na uongozi, ambavyo tayari CCM wanaona wao ndo tu wanafaa kuwa hivyo.

Rais wetu ana maono ya Sasa ya namna nchi zinavyotakiwa kuongozwa. Na nadhani mnaona anavyo behave. Swali tata ni kwamba atafanikiwa?

Tangu ameingia madarakani, tumeona jitihada zake mbalimbali za kuunda timu kadhaa za Siri na za wazi ili kufanya nchi itulie na iongozwe kistaarabu( professionally). Kubwa nitakalolisemea ni kamati aliyoiunda ya kuangalia mabadiliko ya katiba. Je atafanikiwa ?

Hivi kweli hii kamati itakapopendekeza mabadiliko yanayopaswa ( Tangible) kama ilivyokuwa tume ya Warioba, CCM watakubaliana na Rais ambaye ndo Mwenyekiti wao?

Mifumo ya nchi na mazoea yanaibeba CCM katika mambo Mengi. CCM hawa ninaowajua watakubali kweli mabadiliko makubwa hasa yanayoleta usawa wa yeyote na chama kingine kushika madaraka??

Nionavyo mie mabadiliko anayoyatafuta Rais yako likely kutopatikana kwa sababu Chama chake hakijajigeuza kabisa kujua wakati huu na kuacha ubinafsi.

Hivi CCM wataridhia usawa katika kufanya siasa, kukubali kushindwa kwenye sanduku la kura, tume huru ya uchaguzi inayowaweka nje wakurugenzi ambao ni turufu yao kwenye uchaguzi?

Kuna maandiko katika msaafu wa wakristo yanayosema" huwezi kuweka divai mpya katika kiriba ( chupa) ya zamani.

Naiona CCM kama kiriba Cha kale ambacho hakiwezi kukubali kabisa, usasa katika kuongoza nchi. Je dhamira njema ninayoiona kwa Rais wetu itafanikiwa? Anaweza kisimamia mambo mwenyewe wakati CCM wanapinga?

Tujipe muda, ingawa maombi yangu ni kwamba CCM ibadilike ili ku accomodate mabadiliko chanya katika uongozi wa nchi na kuifanya nchi kuchanua.


Wasalaam.
Mkuu! El Roi

Nianze kwa kukupongeza kwa maoni yako,ambayo umeyafafanua vizuri na kuleweka.
Uandishi huu umekuwa ukitoweka taratibu kwenye majukwaa mbalimbali humu JF.

Mnapoendelea kurudi taratibu,tunaona faraja kubwa.sababu kilichopaswa kuwa humu,imekuwa ni adimu kuwemo kwenye mada nyingi.
Kumekuwa na topic zenye mistari michache,bila uchambuzi yakinifu.

Kuhusu Rais Samia.....

Mimi maoni yangu ni tofauti kidogo na wewe.
Nitkubaliana na wewe kwamba Samia ameleta Political Stability ndani ya nchi,Pale ambapo ameonekana kuwasikiliza watu walioko nje ya chama chake,na hstimae kukubali kukaa nao meza moja na kutafuta suluhisho.

Naliita "suluhisho" na sio "Maridhiano" kwa sababu hapakuwahi kuwa na ugomvi au civil comflict ndani ya nchi hii.
Wala hakukuwahi kuwa na Political Clashes baina ya wafuasi wa vyama vya kisiasa ndani ya nchi hii....na hivyo kuweza kuzalisha neno Maridhiano.

Ambacho kimekuwepo nchini kwa muda wote,ni "Opposition Politician's clashes with State Police Force"

Kwa hiyo kama ilikuwa ni maridhiano,basi ilipaswa kuwa ni kati ya Polisi na wanasiasa wa uponzani.

Kwa sababu hao ndio tumewashuhudia mara zote wakifukuzana,wakipigana mabomu ya machozi,na hata saa ingine risasi za moto kutumika.
Na kuna wengi wamepoteza maisha katika matukio mbalimbali kama hayo.

Lakini sasa...ninaelewa kabisa kwamba technically,hao "State Police" wanatimiza maelekezo ya serikali,ambayo iko chini CCM.

Kwa hiyo kinachotafutwa ni suluhisho la kuondoa haya ni kutafuta suluhisho kupitia meza ya mazungumzo.
Na hicho ndio anachokifanya Samia kwa sasa.Ili chama chake kiiamuru serikali yake,iwaambie Polisi na vikosi vingine kwamba sasa stop this.

Kuhusu utashi wa katiba mpya ndani ya cicle ya Cartel wa CCM.
Hilo uko sahihi,lakini nadhani safari hii watakubali kwa sababu Rais anataka kujisafisha kwenye mataifa ya nje pamoja na taasisi kubwa za kimataifa.
Kama World Bamk na IMF,ili kuendelea kupata mikopo.kwa sababu hayo ni mojawapo ya masharti yao makuu.

Na kuhusu kuruhusu usawa wa kufanya siasa majukwaani.
Nadhani umeiona mbinu inayotumika kumzungusha Samia huku Bara,ambapo CCM bado haina uhakika na kukubalika kwake pale wananchi watakapopata fursa ya kupiga kura 2025.

Hivyo CCM wanacheza faulo kwa kuanza kampeni mapema,huku wapinzani wakiwa bado wamefungwa midomo,katika kufanya kama CCM wanavyofanya wao.

Hayo ni maoni yangu binafsi.
Alamsikhi!
 
Voicer.
We almost read from the same script.
Naukubali uchambuzi wako maadam wote tunaiona shida hiyo fiche

Mchango safi.
 
Binafsi, kwa dhati ya moyo wangu, napendezwa na approach ya mheshimiwa Rais wetu namna anavyoyaona mambo na anavyoongoza kwa ujumla. Nafurahia utulivu wake na alivyo juu ya mambo ( over board).

Mtu anapokuwa over board maana yake ni kwamba kayamudu mambo, anafuata mifumo na anakuwa na picha kubwa juu ya anayoyafanya. Anaona mbele kabla hali yenyewe haijatokea ( pro active) na hana mihemuko ( reactive).

Kuna wakati hapo nyuma, baadhi yetu hatukufurahia namna mambo yalivyokuwa yamekaa. Ubabe, vitisho , kukosa mifumo iligeuka kuwa order of the day. Kwa muda huu huoni hiyo. Tunamshukuru sana Mungu. Sasa tunategemea tu kuyaona maendeleo maana sifa kuu za msababisha maendeleo ( Rais) huyu wa sasa anazo.

Baada ya hayo na nia njema ya Rais wetu juu ya kuleta maendeleo mapana( inclusive developments), shida yangu Sasa inabaki kuona kama chama chake kina uwezo wa kujigeuza na ku accomodate falsafa na maono ya Rais. Katika kuongoza nchi.

Kwangu Mimi CCM ni chama kigumu sana kubadilika kwa maana pana . Ni rahisi kubadilika wao kwa wao kama wanataka kufanya jambo lao, lakini mabadiliko mapana yanayoingiza jamii pana au sema nchi, ni wagumu sana kubadilika

Labda kiasi utaona mabadiliko kwenye sughuli za kiuchumi. Wanajitahidi na kiasi kikubwa wanafanya vizuri. Mahali ambapo hawa jamaa nawaona vigumu kubadilika ni katika siasa na uongozi wa nchi.

Namkumbuka Rais msitaafu Jakaya, alivyokuwa na Nia ya dhati ya kutafuta katiba mpya. Ni ukweli uliowazi kwamba Jk alikuwa kiongozi wa wakati, aliyeona mahitaji ya wakati na alipenda demokrasia. Niambieni kama alifaulu katika dhima yake ya kupata katiba mpya. La hasha!

Tunajua jinsi alivyogeuka na akawa self contradictory Kwa mambo ambayo alitaka yawepo.
Angalia jinsi alivyopiga nyundo m apendezo yaliyoratibiwa na timu ya watu nguli na aliowateua m wenyewe.

Unadhani alikuwa yeye? CCM walikuwa nyuma. Hawakutaka mabadiliko yale kwa sababu yalikuwa yanatoa nafasi ya wao kuwa mashakani kuchukua madaraka na uongozi, ambavyo tayari CCM wanaona wao ndo tu wanafaa kuwa hivyo.

Rais wetu ana maono ya Sasa ya namna nchi zinavyotakiwa kuongozwa. Na nadhani mnaona anavyo behave. Swali tata ni kwamba atafanikiwa?

Tangu ameingia madarakani, tumeona jitihada zake mbalimbali za kuunda timu kadhaa za Siri na za wazi ili kufanya nchi itulie na iongozwe kistaarabu( professionally). Kubwa nitakalolisemea ni kamati aliyoiunda ya kuangalia mabadiliko ya katiba. Je atafanikiwa ?

Hivi kweli hii kamati itakapopendekeza mabadiliko yanayopaswa ( Tangible) kama ilivyokuwa tume ya Warioba, CCM watakubaliana na Rais ambaye ndo Mwenyekiti wao?

Mifumo ya nchi na mazoea yanaibeba CCM katika mambo Mengi. CCM hawa ninaowajua watakubali kweli mabadiliko makubwa hasa yanayoleta usawa wa yeyote na chama kingine kushika madaraka??

Nionavyo mie mabadiliko anayoyatafuta Rais yako likely kutopatikana kwa sababu Chama chake hakijajigeuza kabisa kujua wakati huu na kuacha ubinafsi.

Hivi CCM wataridhia usawa katika kufanya siasa, kukubali kushindwa kwenye sanduku la kura, tume huru ya uchaguzi inayowaweka nje wakurugenzi ambao ni turufu yao kwenye uchaguzi?

Kuna maandiko katika msaafu wa wakristo yanayosema" huwezi kuweka divai mpya katika kiriba ( chupa) ya zamani.

Naiona CCM kama kiriba Cha kale ambacho hakiwezi kukubali kabisa, usasa katika kuongoza nchi. Je dhamira njema ninayoiona kwa Rais wetu itafanikiwa? Anaweza kisimamia mambo mwenyewe wakati CCM wanapinga?

Tujipe muda, ingawa maombi yangu ni kwamba CCM ibadilike ili ku accomodate mabadiliko chanya katika uongozi wa nchi na kuifanya nchi kuchanua.


Wasalaam.
HONGERA SANA KWA ANDIKO MKUU
 
Mkuu! El Roi

Nianze kwa kukupongeza kwa maoni yako,ambayo umeyafafanua vizuri na kuleweka.
Uandishi huu umekuwa ukitoweka taratibu kwenye majukwaa mbalimbali humu JF.

Mnapoendelea kurudi taratibu,tunaona faraja kubwa.sababu kilichopaswa kuwa humu,imekuwa ni adimu kuwemo kwenye mada nyingi.
Kumekuwa na topic zenye mistari michache,bila uchambuzi yakinifu.

Kuhusu Rais Samia.....

Mimi maoni yangu ni tofauti kidogo na wewe.
Nitkubaliana na wewe kwamba Samia ameleta Political Stability ndani ya nchi,Pale ambapo ameonekana kuwasikiliza watu walioko nje ya chama chake,na hstimae kukubali kukaa nao meza moja na kutafuta suluhisho.

Naliita "suluhisho" na sio "Maridhiano" kwa sababu hapakuwahi kuwa na ugomvi au civil comflict ndani ya nchi hii.
Wala hakukuwahi kuwa na Political Clashes baina ya wafuasi wa vyama vya kisiasa ndani ya nchi hii....na hivyo kuweza kuzalisha neno Maridhiano.

Ambacho kimekuwepo nchini kwa muda wote,ni "Opposition Politician's clashes with State Police Force"

Kwa hiyo kama ilikuwa ni maridhiano,basi ilipaswa kuwa ni kati ya Polisi na wanasiasa wa uponzani.

Kwa sababu hao ndio tumewashuhudia mara zote wakifukuzana,wakipigana mabomu ya machozi,na hata saa ingine risasi za moto kutumika.
Na kuna wengi wamepoteza maisha katika matukio mbalimbali kama hayo.

Lakini sasa...ninaelewa kabisa kwamba technically,hao "State Police" wanatimiza maelekezo ya serikali,ambayo iko chini CCM.

Kwa hiyo kinachotafutwa ni suluhisho la kuondoa haya ni kutafuta suluhisho kupitia meza ya mazungumzo.
Na hicho ndio anachokifanya Samia kwa sasa.Ili chama chake kiiamuru serikali yake,iwaambie Polisi na vikosi vingine kwamba sasa stop this.

Kuhusu utashi wa katiba mpya ndani ya cicle ya Cartel wa CCM.
Hilo uko sahihi,lakini nadhani safari hii watakubali kwa sababu Rais anataka kujisafisha kwenye mataifa ya nje pamoja na taasisi kubwa za kimataifa.
Kama World Bamk na IMF,ili kuendelea kupata mikopo.kwa sababu hayo ni mojawapo ya masharti yao makuu.

Na kuhusu kuruhusu usawa wa kufanya siasa majukwaani.
Nadhani umeiona mbinu inayotumika kumzungusha Samia huku Bara,ambapo CCM bado haina uhakika na kukubalika kwake pale wananchi watakapopata fursa ya kupiga kura 2025.

Hivyo CCM wanacheza faulo kwa kuanza kampeni mapema,huku wapinzani wakiwa bado wamefungwa midomo,katika kufanya kama CCM wanavyofanya wao.

Hayo ni maoni yangu binafsi.
Alamsikhi!
Andiko safi lina Afya hongera sana mkuu
 
Kama ni hitaji la wakati tuwe na katiba mpya itakuwa na ikiwa itazuia Nina hofu kuwa kutakua na gharama ya kulipa hapo baadae.
 
Back
Top Bottom