mkafrend
JF-Expert Member
- May 12, 2014
- 3,047
- 1,503
WanaJF, Salaam!
Nimepitia kwenye mitandao ya kijamii kwa ajili ya kupima mwenendo wa matokeo ya uchaguzi Mkuu kwa miaka mitatu ambayo ni 2005, 2010 na 2015. Kwa ujumla nimegunduwa kwamba CCM inapaswa kuongeza nguvu na ushawishi ili kijiweke katika nafasi nzuri ktk chaguzi zijazo. Aidha, hapa chini nawawekea takwimu za Tume ya Uchaguzi kwa chaguzi tatu:-
CHAMA Mwaka
2005 2010 2015
Chama Cha Mapinduzi 9,123,952 (80.28) 5,276,827 (61.17%) 8,882,935 (58.46%)
CHADEMA 668,756 (5.88) 2,271,941 (26.34%) 6,072,848 (39.97%)
CUF 1,327,125 (11.68) 695,667 (8.067%) -
Mawazo ya ufafanuzi:-
(i). Inaonesha kwamba CCM zaidi ya wapiga kura 2M kila uchaguzi - jitihada zinatakiwa kufanyika ikiwa kinapenda kubaki madarakani;
(ii). Uwekezaji kwa vijana (kundi lika) la miaka 18 - 30 unahitajika kwa kuwa huenda vijana wengi hawakiungi CCM - Mwaka 2020 kuna takriban vijana 5M wataongezeka kwenye orodha ya wapiga kura hivyo chama chenye ushawishi kwa kundi hilo kitakuwa ktk nafasi ya kushinda;
(iii). Uimara wa wapinzani unategemea zaidi muungano wa vyama zaidi ya kimoja - hivyo CCM iune muungano wa UKAWA kama threat kwa ushindi wao na ijielekeze kwenye mbinu, mkakati na uwezo. Hali hii inaweza kutumiwa pia na upinzani nchini.
Nitarudisha hii mada baada ya Oktoba, 2020
Nimepitia kwenye mitandao ya kijamii kwa ajili ya kupima mwenendo wa matokeo ya uchaguzi Mkuu kwa miaka mitatu ambayo ni 2005, 2010 na 2015. Kwa ujumla nimegunduwa kwamba CCM inapaswa kuongeza nguvu na ushawishi ili kijiweke katika nafasi nzuri ktk chaguzi zijazo. Aidha, hapa chini nawawekea takwimu za Tume ya Uchaguzi kwa chaguzi tatu:-
CHAMA Mwaka
2005 2010 2015
Chama Cha Mapinduzi 9,123,952 (80.28) 5,276,827 (61.17%) 8,882,935 (58.46%)
CHADEMA 668,756 (5.88) 2,271,941 (26.34%) 6,072,848 (39.97%)
CUF 1,327,125 (11.68) 695,667 (8.067%) -
Mawazo ya ufafanuzi:-
(i). Inaonesha kwamba CCM zaidi ya wapiga kura 2M kila uchaguzi - jitihada zinatakiwa kufanyika ikiwa kinapenda kubaki madarakani;
(ii). Uwekezaji kwa vijana (kundi lika) la miaka 18 - 30 unahitajika kwa kuwa huenda vijana wengi hawakiungi CCM - Mwaka 2020 kuna takriban vijana 5M wataongezeka kwenye orodha ya wapiga kura hivyo chama chenye ushawishi kwa kundi hilo kitakuwa ktk nafasi ya kushinda;
(iii). Uimara wa wapinzani unategemea zaidi muungano wa vyama zaidi ya kimoja - hivyo CCM iune muungano wa UKAWA kama threat kwa ushindi wao na ijielekeze kwenye mbinu, mkakati na uwezo. Hali hii inaweza kutumiwa pia na upinzani nchini.
Nitarudisha hii mada baada ya Oktoba, 2020