Ccm igunga ni huruma baada ya kifo cha mtoto au ni huruma wakati wa uchaguzi.

MAGAMBA MATATU

JF-Expert Member
Jul 2, 2011
646
1,174
HAPA CHINI NI MGOBEA WA UBUNGE WA CCM HUKO IBUNGA, HIVI NI KWELI NI HURUMA KWA KILA TATIZO LA MTANZANIA AU NI HURUMA WAKATI WA KUOMBA KURA?????








MGOMBEA WA CCM IGUNGA AANZA MBIO ZA UBUNGE KWA MKOSI......

3.jpg

MKURUGENZI wa Uchaguzi jimbo la Igunga Magayane Protace (kulia) akimkabidhi fomu za kuwania ubunge wa jimbo hilo, mgombea mteule wa CCM Dk. Dalally Kafumu , jana. Wengine ni Katibu wa CCM wilaya ya Igunga Neema Adamu na Msimamizi wa masuala ya uchaguzi wa CCM, Matson Chiz
2.jpg

MGOMBEA mteule wa CCM jimbo la Igunga Dk. Dalally Kafumu (kushoto) na Mratibu wa Uchaguzi wa CCM jimboni humo, Katibu wa NEC ya CCM, Uchumi na Fedha Mwigulu Nchemba wakiwa katika huzuni kwenye hospitali ya wilaya ya Igunga ambako walisaidia kupeleka mwili wa mtoto Peter Ezekiel ambaye alifariki papo hapo baada ya kugongwa na lori la mizigo katika barabara ya Igunga-Singida akijarbu kuvuka barabara akiwa na mamia ya wananchi wa jimbo hilo waliokuwa wakimsubiri Kafumu na msafara wake, jana. Kulia ni ndugu wa mtoto huo.
18888.jpg

MGOMBEA mteule wa CCM jimbo la Igunga Dk. Dalally Kafumu (kushoto) na Mratibu wa Uchaguzi wa CCM jimboni humo, Katibu wa NEC ya CCM, Uchumi na Fedha Mwigulu Nchemba wakimfariji Kulwa Mpina baada ya kufikisha kwenye chumba cha kuhifadhi maiti mwili wa mtoto Peter Ezekiel ambaye alifariki papo hapo baada ya kugongwa na lori la mizigo katika barabara ya Igunga-Singida akijarbu kuvuka barabara akiwa na mamia ya wananchi wa jimbo hilo waliokuwa wakimsubiri Kafumu na msafara wake, .


 
nafikiri zaidi ni sense of guilty ndio inawapa wao tabu zaidi kwamba wao ndio wamesababisha kifo cha mtoto kwa sababu watoto
hawana vyama isipokuwa CCM siku zote imekuwa ikitumia watoto kama mtaji wao wa kisiasa. CCM walishaonywa siku nyingi
wawaache watoto wasome shule, wakati wa uchaguzi walifikia mahala pa kufunga shule za misingi ili watoto waende kwenye mikutano ya CCM ili waonekane wako wengi hasa wa shule za msingi. CCM iko guilty kwani hawasikii mtoto huyu alibidi awe shuleni au kwao anajisomea kama watoto wa Kafumu na mwigulu na siyo kwenye political rally ambazo haziwasaidii lolote. CCM kimekuwa kikisisitiza wanavyuo kutojiusisha nasiasa vyuoni whenever it is inconvenience to them. mpaka leo hii naona kimya kuhusiana na wahusika wa ajali kutochukuliwa hatuakuanzia dereva wa fuso la CCM lilomgonga mtoto na pia wahusika wote ndani ya CCM walio organize watu wabebwe kwenye fuso kinyume na sheria za usalama barabarani. CCM mkome kutumia innocent kids kama Peter Ezekiel Mungu amlaze pema peponi kama mitaji yenu ya kisiasa.
 
RIP Peter Ezekiel. WanaIgunga fanyeji kweli muwe chanzo cha mabadiriko. Lakini Mmmmmmmmm!! Igunga?
 
HAPA CHINI NI MGOBEA WA UBUNGE WA CCM HUKO IBUNGA, HIVI NI KWELI NI HURUMA KWA KILA TATIZO LA MTANZANIA AU NI HURUMA WAKATI WA KUOMBA KURA?????








MGOMBEA WA CCM IGUNGA AANZA MBIO ZA UBUNGE KWA MKOSI......

3.jpg

MKURUGENZI wa Uchaguzi jimbo la Igunga Magayane Protace (kulia) akimkabidhi fomu za kuwania ubunge wa jimbo hilo, mgombea mteule wa CCM Dk. Dalally Kafumu , jana. Wengine ni Katibu wa CCM wilaya ya Igunga Neema Adamu na Msimamizi wa masuala ya uchaguzi wa CCM, Matson Chiz
2.jpg

MGOMBEA mteule wa CCM jimbo la Igunga Dk. Dalally Kafumu (kushoto) na Mratibu wa Uchaguzi wa CCM jimboni humo, Katibu wa NEC ya CCM, Uchumi na Fedha Mwigulu Nchemba wakiwa katika huzuni kwenye hospitali ya wilaya ya Igunga ambako walisaidia kupeleka mwili wa mtoto Peter Ezekiel ambaye alifariki papo hapo baada ya kugongwa na lori la mizigo katika barabara ya Igunga-Singida akijarbu kuvuka barabara akiwa na mamia ya wananchi wa jimbo hilo waliokuwa wakimsubiri Kafumu na msafara wake, jana. Kulia ni ndugu wa mtoto huo.
18888.jpg

MGOMBEA mteule wa CCM jimbo la Igunga Dk. Dalally Kafumu (kushoto) na Mratibu wa Uchaguzi wa CCM jimboni humo, Katibu wa NEC ya CCM, Uchumi na Fedha Mwigulu Nchemba wakimfariji Kulwa Mpina baada ya kufikisha kwenye chumba cha kuhifadhi maiti mwili wa mtoto Peter Ezekiel ambaye alifariki papo hapo baada ya kugongwa na lori la mizigo katika barabara ya Igunga-Singida akijarbu kuvuka barabara akiwa na mamia ya wananchi wa jimbo hilo waliokuwa wakimsubiri Kafumu na msafara wake, .




aah SIASA BWANA. CCM HURUMA HII WAKATI WA UCHAGUZI ITAWAPELEKA PABAYA. WANAIGUNGA WANAJUA KUWA HUO NI USANII TU.
 
nafikiri zaidi ni sense of guilty ndio inawapa wao tabu zaidi kwamba wao ndio wamesababisha kifo cha mtoto kwa sababu watoto
hawana vyama isipokuwa CCM siku zote imekuwa ikitumia watoto kama mtaji wao wa kisiasa. CCM walishaonywa siku nyingi
wawaache watoto wasome shule, wakati wa uchaguzi walifikia mahala pa kufunga shule za misingi ili watoto waende kwenye mikutano ya CCM ili waonekane wako wengi hasa wa shule za msingi. CCM iko guilty kwani hawasikii mtoto huyu alibidi awe shuleni au kwao anajisomea kama watoto wa Kafumu na mwigulu na siyo kwenye political rally ambazo haziwasaidii lolote. CCM kimekuwa kikisisitiza wanavyuo kutojiusisha nasiasa vyuoni whenever it is inconvenience to them. mpaka leo hii naona kimya kuhusiana na wahusika wa ajali kutochukuliwa hatuakuanzia dereva wa fuso la CCM lilomgonga mtoto na pia wahusika wote ndani ya CCM walio organize watu wabebwe kwenye fuso kinyume na sheria za usalama barabarani. CCM mkome kutumia innocent kids kama Peter Ezekiel Mungu amlaze pema peponi kama mitaji yenu ya kisiasa.
wakuu hebu tuwekeni sawa hapo. hivi ni gari la ccm limemgonga au lori la mizigo along the way from Igunga to singida? Naona mnatuchanganya hapa.
 
Kungombea uongozi kupita CCM ni lazima uwe na roho kama ya paka mweusi.
 
Palitokea madaktari bingwa kutoka
nchi 3, CHINA, UJERUMANI na
TANZANIA. Wakawa wanajadili
mafanikio yaliyofanywa katika nchi
zao.<br /> MCHINA Akaanza, kwetu alizaliwa
mtoto hana mkono tukamwekea wa
bandia na sasa ni mpiganaji wa
karate.<br />
<br />
MJERUMANI Akasema hiyo kidogo kwetu alizaliwa msichana hana miguu
yote miwili tukamwekea ya bandia na
sasa ni mkimbiaji olimpiki na ana
medali 3 za dhahabu.<br />
<br />
MTANZANIA Akacheka sana akasema kwenu bado hamjafikia rekodi yetu,
sisi hapo BAGAMOYO alizaliwa mvulana
hana kichwa tukamwekea nazi na
sasa ni RAISI WA JAMHURI YA
MUUNGANO WA ......
 
HAPA CHINI NI MGOBEA WA UBUNGE WA CCM HUKO IBUNGA, HIVI NI KWELI NI HURUMA KWA KILA TATIZO LA MTANZANIA AU NI HURUMA WAKATI WA KUOMBA KURA?????








MGOMBEA WA CCM IGUNGA AANZA MBIO ZA UBUNGE KWA MKOSI......

3.jpg

MKURUGENZI wa Uchaguzi jimbo la Igunga Magayane Protace (kulia) akimkabidhi fomu za kuwania ubunge wa jimbo hilo, mgombea mteule wa CCM Dk. Dalally Kafumu , jana. Wengine ni Katibu wa CCM wilaya ya Igunga Neema Adamu na Msimamizi wa masuala ya uchaguzi wa CCM, Matson Chiz
2.jpg

MGOMBEA mteule wa CCM jimbo la Igunga Dk. Dalally Kafumu (kushoto) na Mratibu wa Uchaguzi wa CCM jimboni humo, Katibu wa NEC ya CCM, Uchumi na Fedha Mwigulu Nchemba wakiwa katika huzuni kwenye hospitali ya wilaya ya Igunga ambako walisaidia kupeleka mwili wa mtoto Peter Ezekiel ambaye alifariki papo hapo baada ya kugongwa na lori la mizigo katika barabara ya Igunga-Singida akijarbu kuvuka barabara akiwa na mamia ya wananchi wa jimbo hilo waliokuwa wakimsubiri Kafumu na msafara wake, jana. Kulia ni ndugu wa mtoto huo.
18888.jpg

MGOMBEA mteule wa CCM jimbo la Igunga Dk. Dalally Kafumu (kushoto) na Mratibu wa Uchaguzi wa CCM jimboni humo, Katibu wa NEC ya CCM, Uchumi na Fedha Mwigulu Nchemba wakimfariji Kulwa Mpina baada ya kufikisha kwenye chumba cha kuhifadhi maiti mwili wa mtoto Peter Ezekiel ambaye alifariki papo hapo baada ya kugongwa na lori la mizigo katika barabara ya Igunga-Singida akijarbu kuvuka barabara akiwa na mamia ya wananchi wa jimbo hilo waliokuwa wakimsubiri Kafumu na msafara wake, .











Wanga wakubwa nyie magamba mnajifanya mna masikitiko usoni kumbe rohoni mnachekelea kuwa kafara limekubalika.Fix sana nyie CCM na uroho wenu wa madaraka ndiyo kaburi lenu. ILAANIWE CCM MILELE NA MILELE
 
Palitokea madaktari bingwa kutokanchi 3, CHINA, UJERUMANI naTANZANIA. Wakawa wanajadilimafanikio yaliyofanywa katika nchizao.
MCHINA Akaanza, kwetu alizaliwamtoto hana mkono tukamwekea wabandia na sasa ni mpiganaji wakarate.

MJERUMANI Akasema hiyo kidogo kwetu alizaliwa msichana hana miguuyote miwili tukamwekea ya bandia nasasa ni mkimbiaji olimpiki na anamedali 3 za dhahabu.

MTANZANIA Akacheka sana akasema kwenu bado hamjafikia rekodi yetu,sisi hapo BAGAMOYO alizaliwa mvulanahana kichwa tukamwekea nazi nasasa ni RAISI WA JAMHURI YAMUUNGANO WA ......
Huo ndoo ukweli kwani ni nazi tena iliyokunwa tayari.
 
Palitokea madaktari bingwa kutoka
nchi 3, CHINA, UJERUMANI na
TANZANIA. Wakawa wanajadili
mafanikio yaliyofanywa katika nchi
zao.<br /> MCHINA Akaanza, kwetu alizaliwa
mtoto hana mkono tukamwekea wa
bandia na sasa ni mpiganaji wa
karate.<br />
<br />
MJERUMANI Akasema hiyo kidogo kwetu alizaliwa msichana hana miguu
yote miwili tukamwekea ya bandia na
sasa ni mkimbiaji olimpiki na ana
medali 3 za dhahabu.<br />
<br />
MTANZANIA Akacheka sana akasema kwenu bado hamjafikia rekodi yetu,
sisi hapo BAGAMOYO alizaliwa mvulana
hana kichwa tukamwekea nazi na
sasa ni RAISI WA JAMHURI YA
MUUNGANO WA ......
huu ni uchochezi, dharau, kejeli, chuki na usongombwingo kwa rais wetu mpendwa jmk! unstahili ukamatwe na usweke ndani!!!
 
Na amini sio wao waliouwa kama kawaida ya wanasiasa wetu kwa ushirikina!
 
Unafiki tu kuwatumia hao maskini kama mtaji wa kura mbona hawachangii wagonjwa wa moyo na magonjwa mengine wanotakiwa kupelekwa india kwa upasuaji na wanatangazwa kila siku
 
Back
Top Bottom