CCM: Igeni hili kwa CHADEMA

MBURE JASHA

JF-Expert Member
May 7, 2011
200
46
SALAAM KWA WANAJF WOTE
Chama cha Mapinduzi mnabweteka na vitu vidogo sana ambavyo mwisho wa siku mtaingiza nchi kunako vita vya wenyewe kwa wenyewe au vita kali ya udini. Dalili zipo wazi. Lakini yote haya yanatokana na siasa za kitoto mnazofanya.
Kuna mambo ya misimamo ambayo mnapoamua kuisimamia inazidi kwabomoa siku hadi siku kwa Mfano:-
1. panatokea hoja nzito yenye maslahi kwa WATZ. Wabunge wenu wa CCM ambao wengi wao ni wanachama wa kawaida wa ccm. Wanaburuzwa na viongozi wa chama na maafisa wa Chama waliopo DODOMA (ambao kimsingi sio wabunge)kusimamia misimamo hasi kwa manufaa ya Chama na si Taifa kupitia kamati a wabunge wa CHAMA(kulinda watuhumiwa). Tofauti na wenzao CDM akisimama mbunge mmoja kuchangia anasimama badala ya Masalahi ya Nchi, na Chama chake. Kamati ya wabunge wa CDM ni Genuine kwani wao wanaongozwa na wabunge wenzao, wabunge wao ndio viongozi wao kitaifa kwa maana akisimama anaua ndege wawili wa jiwe moja.
2. Embu niambieni wenzangu kuna afisa mmoja pale mkao makuu ya CCM anaitwa CHIZII . Cheo chake cha Mwisho ninachokifahamu kabla ya kwenda Makao makuu alikuwa Katibu wa CCM wilaya ya Same. LAkini mtu huyu ndio akiona wabunge wa CCM na Serilkali yao imeng'ang'aniwa Bungeni yeye ndio anaandika memo kwenda kwa Spika kuwaita haraka kurekebisha mambo. Ndie anaemkoromea Spika na waziri mkuu kwamba kwanini mnaruhusu hili lijadiliwe! mtu ambaye uteuzi wake umetokana na sifa kubwa ya kuimba kwenye mikutano!
 
SALAAM KWA WANAJF WOTE
Chama cha Mapinduzi mnabweteka na vitu vidogo sana ambavyo mwisho wa siku mtaingiza nchi kunako vita vya wenyewe kwa wenyewe au vita kali ya udini. Dalili zipo wazi. Lakini yote haya yanatokana na siasa za kitoto mnazofanya.
Kuna mambo ya misimamo ambayo mnapoamua kuisimamia inazidi kwabomoa siku hadi siku kwa Mfano:-
1. panatokea hoja nzito yenye maslahi kwa WATZ. Wabunge wenu wa CCM ambao wengi wao ni wanachama wa kawaida wa ccm. Wanaburuzwa na viongozi wa chama na maafisa wa Chama waliopo DODOMA (ambao kimsingi sio wabunge)kusimamia misimamo hasi kwa manufaa ya Chama na si Taifa kupitia kamati a wabunge wa CHAMA(kulinda watuhumiwa). Tofauti na wenzao CDM akisimama mbunge mmoja kuchangia anasimama badala ya Masalahi ya Nchi, na Chama chake. Kamati ya wabunge wa CDM ni Genuine kwani wao wanaongozwa na wabunge wenzao, wabunge wao ndio viongozi wao kitaifa kwa maana akisimama anaua ndege wawili wa jiwe moja.
2. Embu niambieni wenzangu kuna afisa mmoja pale mkao makuu ya CCM anaitwa CHIZII . Cheo chake cha Mwisho ninachokifahamu kabla ya kwenda Makao makuu alikuwa Katibu wa CCM wilaya ya Same. LAkini mtu huyu ndio akiona wabunge wa CCM na Serilkali yao imeng'ang'aniwa Bungeni yeye ndio anaandika memo kwenda kwa Spika kuwaita haraka kurekebisha mambo. Ndie anaemkoromea Spika na waziri mkuu kwamba kwanini mnaruhusu hili lijadiliwe! mtu ambaye uteuzi wake umetokana na sifa kubwa ya kuimba kwenye mikutano!

mimi nahisi inawahusu magamba tuu au!
huyo chizi anatekeleza majukumu yake, kama angekuwa anakosea wangekuchua hatua wahusika, ila wameridhika na hali ilivyo.
 
Nadhani wao chama kwanza maslahi ya taifa yanafuata. Lakinu sioni umuhimu wa CCM kuiga kila mfumo wa CDM kutakuwa hakuna utofauti na kutapunguza ladha ya uchaguzi. Hoja ya msingi ni wabunge wa CCM kuacha kusimamia maslahi ya chama zaidi badala yake waweke maslahi ya Taifa mbele kwanza.
 
Kilichobakia kwa magamba ni politics of survival, hawajali wanasurvive vipi, iwe kwa udini au ukabila na matajiri...
 
ccm ni chama kisicho na muelekeo kuweza kutambua sisi watanzania tupo ktk nyakati zipi na mwamko tulio nao
 
SALAAM KWA WANAJF WOTE
Chama cha Mapinduzi mnabweteka na vitu vidogo sana ambavyo mwisho wa siku mtaingiza nchi kunako vita vya wenyewe kwa wenyewe au vita kali ya udini. Dalili zipo wazi. Lakini yote haya yanatokana na siasa za kitoto mnazofanya.
Kuna mambo ya misimamo ambayo mnapoamua kuisimamia inazidi kwabomoa siku hadi siku kwa Mfano:-
1. panatokea hoja nzito yenye maslahi kwa WATZ. Wabunge wenu wa CCM ambao wengi wao ni wanachama wa kawaida wa ccm. Wanaburuzwa na viongozi wa chama na maafisa wa Chama waliopo DODOMA (ambao kimsingi sio wabunge)kusimamia misimamo hasi kwa manufaa ya Chama na si Taifa kupitia kamati a wabunge wa CHAMA(kulinda watuhumiwa). Tofauti na wenzao CDM akisimama mbunge mmoja kuchangia anasimama badala ya Masalahi ya Nchi, na Chama chake. Kamati ya wabunge wa CDM ni Genuine kwani wao wanaongozwa na wabunge wenzao, wabunge wao ndio viongozi wao kitaifa kwa maana akisimama anaua ndege wawili wa jiwe moja.
2. Embu niambieni wenzangu kuna afisa mmoja pale mkao makuu ya CCM anaitwa CHIZII . Cheo chake cha Mwisho ninachokifahamu kabla ya kwenda Makao makuu alikuwa Katibu wa CCM wilaya ya Same. LAkini mtu huyu ndio akiona wabunge wa CCM na Serilkali yao imeng'ang'aniwa Bungeni yeye ndio anaandika memo kwenda kwa Spika kuwaita haraka kurekebisha mambo. Ndie anaemkoromea Spika na waziri mkuu kwamba kwanini mnaruhusu hili lijadiliwe! mtu ambaye uteuzi wake umetokana na sifa kubwa ya kuimba kwenye mikutano!

Mkuu unawashauri CCM wanaosubiri kuzikwa siku chache zijazo?
CCM wamezidiwa na virusi vimechachamaa hawataweza kupona tena!
 
Ukiwaambia utasikia kama kawaida yetu. Kawaida kwao ndiyo mwongozo wa chama. Subiri, tutakizika siku si nyingi, ukiwashauri, wanatumia ubabe. Maamuzi yao ya kibabe na kila jambo wanalofanya si kwa masilahi ya taifa bali kwa maslahi ya wachache walioweka mizizi chamani. Mmetutesa mno! Bora chama kife.
 
tatizo wakikubali hoja za upinzani wataonekana dhaifu na legelege kama mkuu wao.
 
CCM hawajui kusoma lakini hata picha nazo hawawezi kutafsiri.

mkuu vp mbona kale kaposho ketu kaliko baki ujanipa au nape ajafata benki maana sridi zinatupita tu afu mkuu alituambia tusiwaache magwanda watambe mbna umekiuka kiapo?
 
Siasa ni ujanja na mmoja anapo kosa ujanja wa kisiasa ndo anapopigwa mweleka.. so CDM wamekuwa wajanja kisiasa japo Magamba wamekuwa wajanja kwenye uchakachuaji (chakachulism) so kwa mtaji walionao CDM unapaswa usiigwe na Magamba ili tuwa-do mwaka 2015... au sio wadau...?
 
SALAAM KWA WANAJF WOTE
Chama cha Mapinduzi mnabweteka na vitu vidogo sana ambavyo mwisho wa siku mtaingiza nchi kunako vita vya wenyewe kwa wenyewe au vita kali ya udini. Dalili zipo wazi. Lakini yote haya yanatokana na siasa za kitoto mnazofanya.
Kuna mambo ya misimamo ambayo mnapoamua kuisimamia inazidi kwabomoa siku hadi siku kwa Mfano:-
1. panatokea hoja nzito yenye maslahi kwa WATZ. Wabunge wenu wa CCM ambao wengi wao ni wanachama wa kawaida wa ccm. Wanaburuzwa na viongozi wa chama na maafisa wa Chama waliopo DODOMA (ambao kimsingi sio wabunge)kusimamia misimamo hasi kwa manufaa ya Chama na si Taifa kupitia kamati a wabunge wa CHAMA(kulinda watuhumiwa). Tofauti na wenzao CDM akisimama mbunge mmoja kuchangia anasimama badala ya Masalahi ya Nchi, na Chama chake. Kamati ya wabunge wa CDM ni Genuine kwani wao wanaongozwa na wabunge wenzao, wabunge wao ndio viongozi wao kitaifa kwa maana akisimama anaua ndege wawili wa jiwe moja.
2. Embu niambieni wenzangu kuna afisa mmoja pale mkao makuu ya CCM anaitwa CHIZII . Cheo chake cha Mwisho ninachokifahamu kabla ya kwenda Makao makuu alikuwa Katibu wa CCM wilaya ya Same. LAkini mtu huyu ndio akiona wabunge wa CCM na Serilkali yao imeng'ang'aniwa Bungeni yeye ndio anaandika memo kwenda kwa Spika kuwaita haraka kurekebisha mambo. Ndie anaemkoromea Spika na waziri mkuu kwamba kwanini mnaruhusu hili lijadiliwe! mtu ambaye uteuzi wake umetokana na sifa kubwa ya kuimba kwenye mikutano!

Kama viongozi wenyewe ndio akina Nape,Mukama nk...wategemea nini? Lakini ni bora hao,kuna chizi mmoja anaitwa Lusinde,huyu kama kuna siku atakuwa kiongozi wa CCM naamini ndio siku ya kuizika CCM...very bogus!!!
 
CCM hawajui kusoma lakini hata picha nazo hawawezi kutafsiri.

Ha ha ha ha ha ha ha..Wakuu jamaa nasikia wakati anapost hii comment alikuwa baa chakari...kwa hiyo msishangae akirudi baadae akabadilika...
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom