MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
Chama Cha Mapinduzi ( CCM ) Kimempongeza Mwenyekiti wao Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kwa Kupandisha Mishahara kwa Wafanyakazi katika Siku ya Mei Mosi iliyofanyika Kitaifa Mkoani Dodoma.
Taarifa: mwananchi_official
Binafsi kama MINOCYCLINE nilisikiliza Hotuba nzima na Sikusikia Tangazo la Mishahara Kuongezwa au yawezekana Masikio yangu ni Mabovu, Macho hayaoni na pengine labda Nilisinzia hivyo nawaomba wana CCM wote walioko hapa JamiiForums waniwekee hivyo Video / Audio Clip ya Rais akitangaza Nyongeza ya Mishahara kwa Wafanyakazi wote kama Wao Wanavyoshadadia, Jipendekeza Kulikopitiliza na Kutudanganya wenye Akili kuwazidi.
Taarifa: mwananchi_official
Binafsi kama MINOCYCLINE nilisikiliza Hotuba nzima na Sikusikia Tangazo la Mishahara Kuongezwa au yawezekana Masikio yangu ni Mabovu, Macho hayaoni na pengine labda Nilisinzia hivyo nawaomba wana CCM wote walioko hapa JamiiForums waniwekee hivyo Video / Audio Clip ya Rais akitangaza Nyongeza ya Mishahara kwa Wafanyakazi wote kama Wao Wanavyoshadadia, Jipendekeza Kulikopitiliza na Kutudanganya wenye Akili kuwazidi.