Wa Ndima
JF-Expert Member
- Aug 13, 2010
- 1,526
- 323
Siku chache baada ya Uchaguzi kumalizika na sisi wana Kawe kumchagua Mbunge wetu Halima MDEE, Dawasco wameamua kutukomoa kwa kutukatia maji mfululizo.
Sio kawaida huku kwetu maji kukatika kiasi hiki hasa siku mfululizo bila taarifa lakini hii imekuwa sasa kama tunakomolewa, maji yanaweza kutoka kwa robo saa tu yanakatwa tena, hiki ni nini jamani CCM?
Dawasco mkumbuke hata mkiendelea kutukatia maji ndo mnazidisha chuki kwetu wana Kawe juu ya Serikali yetu na hakika chuki inaongezeka ipo siku mtaiona dhahiri machoni penu. Mlaaniwe nyie na CCM yenu mnayoisujudia!!!
Sio kawaida huku kwetu maji kukatika kiasi hiki hasa siku mfululizo bila taarifa lakini hii imekuwa sasa kama tunakomolewa, maji yanaweza kutoka kwa robo saa tu yanakatwa tena, hiki ni nini jamani CCM?
Dawasco mkumbuke hata mkiendelea kutukatia maji ndo mnazidisha chuki kwetu wana Kawe juu ya Serikali yetu na hakika chuki inaongezeka ipo siku mtaiona dhahiri machoni penu. Mlaaniwe nyie na CCM yenu mnayoisujudia!!!