Goliath mfalamagoha
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 602
- 2,505
ESCROW tsh 321bn
EPA tsh 133bn
CIS tsh tsh 200bn
RADA tsh 70bn
MEREMETA tsh 205.9bn
RICHMOND tsh 260bn+
Majengo pacha BOT tsh 600bn
Deep Green Finance tsh 10bn
Hati fungani US$600M
Ununuzi mabehewa Mabovu tsh 230bn
If you think the worst was over, think again, kuna UPOTEVU wa trilioni 1.5 (yaani imepangwa kwenye bajeti, halafu hazijulikani zilipo) kwa mwaka mmoja pekee katika awamu hii ya tano. Pesa zimepeperushwa na upepo. CAG ametueleza.
Aisee... CCM mtupumzishe..hizi ni pesa, sio nyasi arifuu.. Mmetunyonya "vile vyenye inatosha"..., wazungu hao sio wezi.., ninyi ndio zaidi ya wizi wenyewe.., huo wote ni sehemu ufisadi chini ya utawala wenu...
[HASHTAG]#MMM[/HASHTAG]
EPA tsh 133bn
CIS tsh tsh 200bn
RADA tsh 70bn
MEREMETA tsh 205.9bn
RICHMOND tsh 260bn+
Majengo pacha BOT tsh 600bn
Deep Green Finance tsh 10bn
Hati fungani US$600M
Ununuzi mabehewa Mabovu tsh 230bn
If you think the worst was over, think again, kuna UPOTEVU wa trilioni 1.5 (yaani imepangwa kwenye bajeti, halafu hazijulikani zilipo) kwa mwaka mmoja pekee katika awamu hii ya tano. Pesa zimepeperushwa na upepo. CAG ametueleza.
Aisee... CCM mtupumzishe..hizi ni pesa, sio nyasi arifuu.. Mmetunyonya "vile vyenye inatosha"..., wazungu hao sio wezi.., ninyi ndio zaidi ya wizi wenyewe.., huo wote ni sehemu ufisadi chini ya utawala wenu...
[HASHTAG]#MMM[/HASHTAG]