Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 1,688
- 5,446
Sisi wana ccm tupo nyuma yako goo goo Membe.Chadema tumchukue membe hakika tutashinda njaa
Sisi wana ccm tupo nyuma yako goo goo Membe.Chadema tumchukue membe hakika tutashinda njaa
Mkuu kwa kosa gani aombe msamaha.....?Ataomba msamaha Mkuu
Mkuu kwa kosa gani aombe msamaha.....?
Sisi wana ccm tupo nyuma yako goo goo Membe.
Kweli kabisa na vile hatuna mgombea atatufaa sanaChadema tumchukue membe hakika tutashinda njaa
Membe hana sifa za kuwa rais wa Wasafi, sembuse Tanzania, huyu jamaa kweli anachekesha siamini kama yupo serious..Chadema tumchukue membe hakika tutashinda njaa
Hii ni kete nzuri sana kwetu sisi Chadema ,lazima tumng'oe Magufuli ,tena mapema sana,Chadema tumchukue membe hakika tutashinda njaa
Kweli kabisa na vile hatuna mgombea atatufaa sana
Membe hana sifa za kuwa rais wa Wasafi, sembuse Tanzania, huyu jamaa kweli anachekesha siamini kama yupo serious..
Mjumbe wa sekretarieti ya CCM kanali Lubinga amesema hatma ya uanachama wa Benard Membe ilishafika mwisho hivyo akitaka kurejea ama aombe upya au asubiri msamaha.
Lubinga amesema Membe ana haki ya kuendelea na shughuli zake nje ya CCM bila kuingiliwa na yoyote na kwamba maneno anayoyaongea CCM hakiyaogopi.
Source The Citizen!
Maendeleo hayana vyama 10 Yatosha!
Hii ni kete nzuri sana kwetu sisi Chadema ,lazima tumng'oe Magufuli ,tena mapema sana,
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Ooh sawa.Ataomba msamaha Mkuu
Sasa alishindwa vipi 2015? Nyie mjazeni upepo tu.Membe hakuna kuondokamo, hakikisha unapambana within, - bado una support kubwa ya wajumbe wa NEC, wanachama na washabiki wa CCM.
Safari hii tutadeki mpaka mitaro ya maji machafuTupo tayari kudeki barabara
Safari hii tutadeki mpaka mitaro ya maji machafu
Naona signature imechenji mkuu...Mjumbe wa sekretarieti ya CCM kanali Lubinga amesema hatma ya uanachama wa Benard Membe ilishafika mwisho hivyo akitaka kurejea ama aombe upya au asubiri msamaha.
Lubinga amesema Membe ana haki ya kuendelea na shughuli zake nje ya CCM bila kuingiliwa na yoyote na kwamba maneno anayoyaongea CCM hakiyaogopi.
Source The Citizen!
Maendeleo hayana vyama 10 Yatosha!