Mtaka Haki
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 492
- 149
Kuna watu wanaogopa kuwa kuvuliwa magamba kunaweza kuleta kifo cha CCM. Lakini kuliko kuweka azimio la kuwataka wenye tuhuma za ufisadi waondoke na wasipoondoka chama kitawaondoa, basi kama kuwaondoa kunaleta kifo basi hicho kitakuwa kifo cha heshima. Kama CCM isipochukua hatua yeyote basi kifo kitatokea kisichokuwa cha heshima.
Itakufa kifo cha fedheha.
Namuomba tena mwenyekiti alinde heshima yake na ya chama na achukue hatua nzito kwa kufuata maamuzi ya chama chake, na hata maazimio/mapendekezo ya BUNGE LA JAMHURI. Heshima ya chama itarudi na hata heshima ya bunge.
Ni muhimu kujua watu wamechoka na wanaendelea kubeba chuki juu ya serikali na chama cha mapinduzi.
Itakufa kifo cha fedheha.
Namuomba tena mwenyekiti alinde heshima yake na ya chama na achukue hatua nzito kwa kufuata maamuzi ya chama chake, na hata maazimio/mapendekezo ya BUNGE LA JAMHURI. Heshima ya chama itarudi na hata heshima ya bunge.
Ni muhimu kujua watu wamechoka na wanaendelea kubeba chuki juu ya serikali na chama cha mapinduzi.