MAGEUZI KWELI
JF-Expert Member
- Jul 16, 2011
- 1,947
- 253
Sioni Sababu ya watu kuongea bungeni, Sijui Chadema kafanya nini au lile, Hoja mbazo kweli zinaonekana kama ni mtaji kwenu CCM lakini kweli ni hasara na kujishusha kwa Hali ya Juu.
Mara ngapi Chadema kinatamkika kwenye baadhi ya vichwa vya watanzania?
Kama ingekuwa ni Maradhi kweli Muhimbili ingekuwa ndogo kutibu wanaougua Maradhi yaitwayo Chadema.
Yaacheni ya Chadema yabakie chadema na ya CCM mubebe wenyewe kama wenye dola.
Nimechoka ..Daily Mbowe, Daily Zitto, Daily Slaa, Why....?
I am proud to be Chadema as i do believe the same, People don't like me at all.
Mods, Please Keep this...
Mara ngapi Chadema kinatamkika kwenye baadhi ya vichwa vya watanzania?
Kama ingekuwa ni Maradhi kweli Muhimbili ingekuwa ndogo kutibu wanaougua Maradhi yaitwayo Chadema.
Yaacheni ya Chadema yabakie chadema na ya CCM mubebe wenyewe kama wenye dola.
Nimechoka ..Daily Mbowe, Daily Zitto, Daily Slaa, Why....?
I am proud to be Chadema as i do believe the same, People don't like me at all.
Mods, Please Keep this...