Uchaguzi 2020 CCM hamna rekodi nzuri ifikapo wakati huu wa Uchaguzi

kamtesh

JF-Expert Member
Jul 26, 2014
1,395
512
CCM haiaminiki kwenye swala la uchaguzi hii ni FACT tumeona figisu uchaguzi ya serekali za mitaa, engua ilikua nchi nzima tena kwa wapinzani tu. Mpaka wapinzani wakasusia. Wamefanya hivohivo engua engua tena kwa wapinzani tu na wao wengi kupita bila kupingwa Lengo ilikua waengue wapinzani wote tena ili waendelee na hujuma ile ya uchaguzi za serekali za mitaa. Kwahiyo CCM Hana credibility ya kuendesha uchaguzi huru. Hata rais naye anafurahia sana hujuma hizi. Hakukemea kwennye serekali za mitaa kama kiongozi, kinyume chake alifurahi sana.

Leo kuna tuhuma kuhusu wakurugenzi, Polepole tayari kaitisha waandishi wahabari kujibu. Tumesema whistle blower kafanya kanzi nzuri. Na itakua kweli, maana ndivyo mulivyo. Wamegundu, walivyo panga haiendi sasa kuna walakini na muda unaenda na mambo hayaendi according to plan. Typical ya African Leadership. Kuleta uchaguzi huru kwao ni shida hawawezi. Sasa anacho tafutia huru kwa wananchi Polepole ni nini? Wakati udanganyifu na njama za kuiba kura ndo jadi yao. SIKU YAKUFA NYANI, KILA MTI HUTELEZA.
CHEATING DOES NOT PAY ALWAYS.

Walitamba 2020 kutakua hamna upinzani, wakaweka mkawakuzuia mikutano yote ya kisiasa mpaka 2020. Watu wamefukutia na dukuduku for 5 years, huku wapa nafasi, mpaka na kuwapitishia visheria kandamizi ikiwemo kuwazuia kuungana. Leo wanaongea yote uliowazuia wasisema ndani ya miaka 5, munaanza kulalamika.

Wangewaruhusu, Leo wapinzani wasinge kua na mambo mengi yakusema na wananchi. Sasa ccm itabidi mpambane na halo yenu.
Ila ipo siku sheria hizihizi mulizopitisha kwa hira, zitakuja kuwaumiza na nie muda si mrefu.

WHAT GOES ARROUND COME ARROUND
 
Hakuna mwaka mzuri wa kuing’oa ccm kama huu, watu wamechoka sana sababu zipo hata kwa mawe ccm waondoke.
 
Kwa 'tone' ya slow slow ya leo ni dhahiri shahiri mwenyekiti anakaribia kupasuka kwa hasira.
 
Watulie dawa iwaingie vizuri. Walifikiri upinzani umekwisha. Walidhani, bwawa, Barbara, ndege, reli ya SGR vitawabeba. Kumbe sivyo wanaona mawenge sana. Maana wanaona wanagharamia sana mikutano ya muheshimiwa jiwe bila mafanikio. Imekuala kwao!
 
Hivi kwanini yule Mwanyika wa Njombe mjini CCM imeamuwa kusimamia avunje katiba?.
 
Wakifanya wao, nisawa hakuna press conference yaani mikutano na waandishi wa habari. Wakifanya wao, ni sahihi. Angekua wa upinzani, ungemsikia Ali Hapo akibwabwaja kukemea.
Ilo ndo tatizo la ccm ila wanapofanya wengine ndipo huonekana kua kosa. Nikama last week, jiwe alikua anahutubia kwenye moja ya mikutano, akifurahi kuungwa mkono na TLP na John Cheo. Kwao nisawa kuwaunga mkono na ni jambo safi. Lakini Wapinzani kuungana mkono, ni uvunjifu wa sheria haikubariki povu nyingi toka time na ofisi ya msajiri. Mbona hawakukemea kuungwa mkono kwake na akina Mrema na John Cheo. Double standards, ndo hapo tunaposema hivi vyombo havipo huru, ni matawi ya ccm.
Hivi kwanini yule Mwanyika wa Njombe mjini CCM imeamuwa kusimamia avunje katiba?.
 
Back
Top Bottom