kmbwembwe
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 10,418
- 7,202
Kama kuna jambo la kusikitisha awamu ya mama ni hili la kuwapa watu wameorodheshwa kama wezi wa mali za chama nafasi za uongozi kwenye awamu yake.
Watu wameorodheshwa kama wezi wa mali za chama halafu mtu anawaamini uongozi wa chama😂. Tusisahau awamu ya mama ni sawa mtu kuokota dodo.
Tafuta orodha ya wale waliyoorodheshwa kwa ukwapuzi wa mali za chama utastaajabu. Ndio utakuta wale waliyomsengenya vibaya magufuli wote wapo.
Wanafiki hawa baada ya kujulikana wakajidai kumwangukia kuomba msamaha. Ndio hao hao wako mstari wa mbele kumpiga vijembe na kumsema vibaya baada ya kufa.
Mama naye haishi kumpiga magufuli vijembe. Sijui ni unafiki gani alikua nao. Si muda watafanya hila kuwarejeshea mali kina nape na shaka et al waliyokua wamepiga mali za chama. Hadi channel 10 tv walipora.
Tunalomuomba mwenyezi mungu amjalie mama busara ya kutokua king'ang'anizi wa madaraka maana kashakubali viatu vya rais mzalendo na jasiri na aliyekua kipenzi cha watanzania Magufuli havimtoshi.
Wanaccm na wananchi kwa ujumla 2025 tuungane kuhakikisha tunapata Magufulu mpya.
Tumuombee mama aweze kutuvusha kwa amani.
Watu wameorodheshwa kama wezi wa mali za chama halafu mtu anawaamini uongozi wa chama😂. Tusisahau awamu ya mama ni sawa mtu kuokota dodo.
Tafuta orodha ya wale waliyoorodheshwa kwa ukwapuzi wa mali za chama utastaajabu. Ndio utakuta wale waliyomsengenya vibaya magufuli wote wapo.
Wanafiki hawa baada ya kujulikana wakajidai kumwangukia kuomba msamaha. Ndio hao hao wako mstari wa mbele kumpiga vijembe na kumsema vibaya baada ya kufa.
Mama naye haishi kumpiga magufuli vijembe. Sijui ni unafiki gani alikua nao. Si muda watafanya hila kuwarejeshea mali kina nape na shaka et al waliyokua wamepiga mali za chama. Hadi channel 10 tv walipora.
Tunalomuomba mwenyezi mungu amjalie mama busara ya kutokua king'ang'anizi wa madaraka maana kashakubali viatu vya rais mzalendo na jasiri na aliyekua kipenzi cha watanzania Magufuli havimtoshi.
Wanaccm na wananchi kwa ujumla 2025 tuungane kuhakikisha tunapata Magufulu mpya.
Tumuombee mama aweze kutuvusha kwa amani.