Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 234
Kwa maoni yangu, CCM haiwezi kushinda uchaguzi bila ya kukupua tena mabilioni ya umma. Na hii ndiyo imekuwa siri kubwa kwa ushindi wa CCM hasa tangu uchaguzi wa 2000. Ni bahati mbaya tu siri ilikuja kufichuka baada ya uchaguzi wa 2005, maana siku za mwizi ni 40. Safari hii watatumnia njia nyingine, siyo BoT tena. JAMAA HAWA NI SUGU KWELIKWELI KATIKA MABO HAYO.