Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 233
CCM haitadumu chaguzi mbili kukiwapo tume ya uchaguzi huru. Hivyo ndivyo inavyoonekana kwa sababu haitaki kata kata kuwapo kwa tume ya aina hiyo. inashinda kwa sababu ya tume hii ya sasa inayochaguliwa na mwenyekiti wa CCM!