DIZZO MTAWALA
JF-Expert Member
- Aug 22, 2015
- 240
- 767
Ndugu zangu watanzania ninayasema haya sio kwa sababu huwa na mtizamo tofauti na ujamaa wa CCM la hasha! CCM waliomba kura kwa jambo kuu la ustawi wa watu sio vitu sasa leo tuko kwenye mlipuko wa ugonjwa wa Covid19 ccm bado wanaimba mapambio ya vitu ohhh reli mara madaraja mara vituo vya afya.
Taifa lolote duniani huanza na watu kwanza ndio maana umeona nchi nyingi zimejizatiti kwenye Corona kwetu kipaumbele umeme na reli na ununuzi wa ndege huku watu wake wakifa kwa njaa na magonjwa ukiwasukiliza watu wa CCM utafikiri tumejizatiti kweli kumbe wanalinda madaraka kuliko utu wa mtanzania.
Jana bajeti ya afya iliwasilishwa wabunge wa opposition wakata mkakati wa serikali ni upi wa kupambana na Corona wabunge wa chama tawala wakiitetea serikali muda wote wengine wakasema vipimo ni bei kwa ameona bora tufe ilimradi CCM ikae madarakani. Shame on CCM mnatakiwa muondeke kivyovyote mmewadharau sana watanzania
2020 fanya maamuzi juu ya familia yako na Taifa lako
Sent using Jamii Forums mobile app
Taifa lolote duniani huanza na watu kwanza ndio maana umeona nchi nyingi zimejizatiti kwenye Corona kwetu kipaumbele umeme na reli na ununuzi wa ndege huku watu wake wakifa kwa njaa na magonjwa ukiwasukiliza watu wa CCM utafikiri tumejizatiti kweli kumbe wanalinda madaraka kuliko utu wa mtanzania.
Jana bajeti ya afya iliwasilishwa wabunge wa opposition wakata mkakati wa serikali ni upi wa kupambana na Corona wabunge wa chama tawala wakiitetea serikali muda wote wengine wakasema vipimo ni bei kwa ameona bora tufe ilimradi CCM ikae madarakani. Shame on CCM mnatakiwa muondeke kivyovyote mmewadharau sana watanzania
2020 fanya maamuzi juu ya familia yako na Taifa lako
Sent using Jamii Forums mobile app