SYLLOGIST!
JF-Expert Member
- Dec 28, 2007
- 7,016
- 6,601
Hivi karibuni kumekuwa na matamshi kuhusu CCM na utamaduni wake waku wachagua viongozi wake kwa mihula miwili miwili. Katika kutafakari hayo nilikaa na kujiuliza CCM wana makubaliano na wanachama wake katika chaguzi mbali mbali za viongozi?
Makubaliano ya wanachama wa CCM na chama chao ndio ridhaa ya Wananchi wote?
Piga-Ua jibu nililolipata ni hivi 'CCM haina Makubaliano na Wananchi' ya moja kwa moja bali kupitia kwa wanachama wake na hivyo sio lazima, si lazima kuwachagua kwa muhula mwingine....nasema hivi kwa kuwa wanachama wake wengi waliokuwa na makubaliano na chama chao wameingia makubaliano au mikataba mibovu kwa kutuhadaa- endapo watachaguliwa muhula wa pili wataweza kubatilisha hayo makubaliano/mikataba mibovu?
Nawasilisha
Makubaliano ya wanachama wa CCM na chama chao ndio ridhaa ya Wananchi wote?
Piga-Ua jibu nililolipata ni hivi 'CCM haina Makubaliano na Wananchi' ya moja kwa moja bali kupitia kwa wanachama wake na hivyo sio lazima, si lazima kuwachagua kwa muhula mwingine....nasema hivi kwa kuwa wanachama wake wengi waliokuwa na makubaliano na chama chao wameingia makubaliano au mikataba mibovu kwa kutuhadaa- endapo watachaguliwa muhula wa pili wataweza kubatilisha hayo makubaliano/mikataba mibovu?
Nawasilisha