Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,273
- 6,637
Wananchi wanafanya tathmini ya chama kilichopo madarakani kimewafanyia nini, kisha wanatoa majibu.
Wananchi wanafanya tathmini ya chama kinachoomba ridhaa ya kukamata Dola, je kina uwezo huo? Kisha wanatoa majibu.
Kwa maoni yangu, CHADEMA ilishadharauliwa na wananchi kwa kuwa na itikadi ya kupinga maendeleo ya wananchi, wao wanapinga kila kitu, mfano kwa wakazi wa ziwa Nyasa nani atachagua mgombea wa CHADEMA ambae ujenzi wa meli mbili za abiria na mizigo umekuja kuwa mkombozi kwa watu wa eneo hilo?
Kutumia nguvu nyingi na kutumia pesa nyingi kupambana na chama ambacho hakina sifa ya kutawala na kuwaletea maendeleo wananchi ni sawa na kumuua Ngedere kwa SMG.
Kama chama kinakuwa na viongozi ambao walikuwa wanatafuna ruzuku kama vile pesa zao, wakati ni mali ya umma. Je, kulikuwa na haja ya kupambana nacho kwa nguvu kama inayotumika sasa? Hawa walitakiwa waachiwe makatibu wa Ccm wa kata wapambane nao kuliko kutumia nguvu kama ilivyofanyika.
Wananchi wanafanya tathmini ya chama kinachoomba ridhaa ya kukamata Dola, je kina uwezo huo? Kisha wanatoa majibu.
Kwa maoni yangu, CHADEMA ilishadharauliwa na wananchi kwa kuwa na itikadi ya kupinga maendeleo ya wananchi, wao wanapinga kila kitu, mfano kwa wakazi wa ziwa Nyasa nani atachagua mgombea wa CHADEMA ambae ujenzi wa meli mbili za abiria na mizigo umekuja kuwa mkombozi kwa watu wa eneo hilo?
Kutumia nguvu nyingi na kutumia pesa nyingi kupambana na chama ambacho hakina sifa ya kutawala na kuwaletea maendeleo wananchi ni sawa na kumuua Ngedere kwa SMG.
Kama chama kinakuwa na viongozi ambao walikuwa wanatafuna ruzuku kama vile pesa zao, wakati ni mali ya umma. Je, kulikuwa na haja ya kupambana nacho kwa nguvu kama inayotumika sasa? Hawa walitakiwa waachiwe makatibu wa Ccm wa kata wapambane nao kuliko kutumia nguvu kama ilivyofanyika.