ktk pitapita yangu leo dsm nimeshangazwa kukuta mtu amebeba maji yenye nembo ya jembe na nyundo....kiukweli nimeshangazwa kwa kuwa mwenye kiwanda ameamua kujikomba na kutupilia mbali risk zinazoambana na kukampenia chama fulani wakati watu wengi tunakic
hukia chama hicho kuliko kawaida. kwa jinsi nilivyo siwezi kunywa maji hayo hata iweje...maji yenyewe ni Aquasomething,sikumbuki jina vizuri.