Wahusika wawajibike au wajitokeza kuomba radhi kwa Mwenyekiti wa Chama,wanachama na wananchi kwa ujumla.Kukaa kimya ni kudhihirisha kuwa walipanga au tumwa.
 
Mkuu chadema wengi bado wanahisi anaewaonea sasa hivi Magufuli!

Sasa ukiona wanavyosema wateule wa tokea Magu wanamuangusha mama unajiuliza yeye mama ni mteule wa nani?
Aiseeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!! :) Nacheka kama mabaya haya!!! :) :) :)
 
Naona ni zilezile surprise za Bi Mkubwa, kama kwenye teuzi zake --- leo anafanya hivi, kesho anagundua hakuwa amewaza kwa kina, anabadilisha. Hapa tumepigwa!!!
 
Tunaposema ndani ya CCM kuna watu wanahujumiana au wanamhujumu Rais Samia hamtuelewi mambo yanaanza kuwa wazi sasa. Gazeti mama la chama haliwezi kuandika habari hii bila kuwa na mkono wa viongozi wakubwa ndani ya chama...

CCM in total disarray!

Kama mouthpiece ya chama haimwelewi mama Samia, nani anamuelewa?
 
Tuliwambia nyie Magufuli aliwachalaza akiwa hai na bado atawachalaza akiwa mfu!

Kwenye suala la miamala mlisema Mwigulu kafanya vile ili kumuangusha mama, lakini rais akaja akasema kwa mdomo wake kwamba waliweka huzo tozo kwa nia njema tu.

Juzi kahojiwa mambo mbalimbali na kutolea ufafanuzi ila nyie bado mnafikiri ni Magufuli ndio anaefanya kazi pale ikulu

Yani hata baada ya Maguli kufariki bado mnahisi mnaonewa na Magufuli.

Basi tuseme hata Mbowe kakamatwa na Magufuli

..tunachotaka ni haki sawa kwa watanzania wote.

..masuala ya " kuchalazana " ndio uonevu tunaouzungumzia.

..masuala ya tozo serikali inatakiwa kujifunga mkanda na kupunguza matumizi mabaya yasiyo ya lazima.

..moja ya matumizi mabaya ni ununuzi wa magari ya kifahari. Manunuzi hayo ya kifahari ni mzigo kwa walipakodi.

..Pia kuna utitiri wa watumishi wateule ambao hawahitajiki, kwa mfano, ma-dc. Majukumu ya dc yanaweza kutekelezwa na das.

..baada ya serikali kukaza mkanda ndipo itakapokuwa na uhalali wa kuweka tozo ktk miamala. Na tozo za miamala ziwe ktk kiwango ambacho wananchi watamudu.
 
..tunachotaka ni haki sawa kwa watanzania wote.

..masuala ya " kuchalazana " ndio uonevu tunaouzungumzia.

..masuala ya tozo serikali inatakiwa kujifunga mkanda na kupunguza matumizi mabaya yasiyo ya lazima.

..moja ya matumizi mabaya ni ununuzi wa magari ya kifahari. Manunuzi hayo ya kifahari ni mzigo kwa walipakodi.

..Pia kuna utitiri wa watumishi wateule ambao hawahitajiki, kwa mfano, ma-dc. Majukumu ya dc yanaweza kutekelezwa na das.

..baada ya serikali kukaza mkanda ndipo itakapokuwa na uhalali wa kuweka tozo ktk miamala. Na tozo za miamala ziwe ktk kiwango ambacho wananchi watamudu.
Umeongea sahihi kabisa!

Lakini mimi nilikukoti kulingana na hoja yako kwamba wateule waliokuwepo toka enzi za Magu ndio wanamhujumu mama!

Yani mnaamini kuanzia kodi, kukamtwa kwa mbowe na kuzuiliwa kufanya siasa ni hujuma toka kwa wateule wa magufuli kwenda kwa mama!

Hivi Majaliwa amhujumu Samia ili apate nini kwa mfano?

Kwanza team nzima inayomsadia pale ikulu ukiacha mawaziri aliiteua yeye baada ya kuondoa wale wa Magufuli.

Yani bado manaamini manonewa na Magufuli hata baada ya Magufuli kufariki
 
Ila kweli Rais ni mweupe sana... Kuna taarifa nyingi sana nafikiri hazimfikii inavyostahili.
 
Umeongea sahihi kabisa!

Lakini mimi nilikukoti kulingana na hoja yako kwamba wateule waliokuwepo toka enzi za Magu ndio wanamhujumu mama!

Yani mnaamini kuanzia kodi, kukamtwa kwa mbowe na kuzuiliwa kufanya siasa ni hujuma toka kwa wateule wa magufuli kwenda kwa mama!

Hivi Majaliwa amhujumu Samia ili apate nini kwa mfano?

Kwanza team nzima inayomsadia pale ikulu ukiacha mawaziri aliiteua yeye baada ya kuondoa wale wa Magufuli.

Yani bado manaamini manonewa na Magufuli hata baada ya Magufuli kufariki

..hoja yangu ni kwamba kuna watu ndani ya serikali na ccm hawataki nchi ichukue muelekeo mpya wa mapatano na maridhiano.

..kuna watu wakati wa Magufuli kazi yao ilikuwa ni " kucharaza " wapinzani. Sasa watu hao watakula wapi ikiwa Watanzania tutarudisha utu na ubinadamu kwa kuridhiana?

..Nadhani mpaka hapo utakuwa umenielewa kwa yale niliyasema ktk post zangu za awali.

..Kuhusu suala la Mbowe, ninachosisitiza mimi ni haki itendeke. Na moja ya viashiria vya haki kutendeka ni kesi kuendeshwa kwa uwazi bila kusuasua.Wazungu wanasema, " justice delayed is justice denied. "

..Mwisho, ingependeza kama ugaidi dhidi ya wapinzani nao ungekuwa unachunguzwa na wahusika kufikishwa mahakamani.

..Wapinzani wanajisikia wanyonge ktk nchi yao kwani kuna matukio ya kigaidi dhidi ya wapinzani lakini hawaoni kama serikali inachukua hatua kuwabaini na kuwakamata waliohusika.
 
Hii habari ingeandikwa na Tanzania daima leo leo waziri angelifungia kwa muda usiojulikana

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
Nina hakika hata Uhuru litafungiwa tu...hamna namna...serikali isipolifungia Uhuru itakuwa a bad precedent kwa media nyingine zote ambazo zitakuwa zikifa zikifanya makosa na kutaka zisifungiwe....
 
12 Reactions
Reply
Back
Top Bottom