Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,273
- 6,637
Kwanza natoa pongezi kwa chama cha CCM kwa kazi nzuri ambayo kimekuwa kikiifanya tangu kilipokadhiwa kukamata dola. Ccm imekuwa mstari wa mbele kuhakikisha inawatumikia watanzania na kuwaletea maendekeo.
Kila Mtanzania ni shahidi maana karibu kila sekta imeimarishwa na imekuwa imara. Miundombinu, elimu, afya , ulinzi na
salama wa raia na mali zao.
Hii ni kwa sababu Ccm imekuwa ikitumia dola vizuri kwa manufaa ya taifa letu. Tumeona jinsi polisi wanavyopambana na uhalifu kila siku. Na sasa takwimu za unyag'anyi wa kutumia siraha zimepungua hii ni kwa sababu serikali ya CCM inajali usalama wa raia wake na mali zao na imeimarisha jeshi la polisi.
Pia tumeona Takukuru jinsi wanavyopambana na rushwa na ubadhirifu na hii kuzuia wizi wa pesa na mali za umma na sasa miradi mingi imetekelezwa kwa muda mfupi sabau Serikali imeweza kuwa na pesa za kutekeleza miradi hiyo. Pia, kwa upande wa ulinzi wa mipaka yetu tumeona jinsi jeshi letu linavyoilinda na Watanzania wanaishi bila hofu ya kuvamiwa na adui yoyote.
Hivyo CCM iendelee kutumia dola kwa manufaa ya taifa letu ili iweze kubaki madarakani maana ndio chama pekee kinachowajali Watanzania. Sio kama vibaraka wa mabeberu ambao sidhani wanaweza kutumia dola vizuri kama CCM.
Kila Mtanzania ni shahidi maana karibu kila sekta imeimarishwa na imekuwa imara. Miundombinu, elimu, afya , ulinzi na
salama wa raia na mali zao.
Hii ni kwa sababu Ccm imekuwa ikitumia dola vizuri kwa manufaa ya taifa letu. Tumeona jinsi polisi wanavyopambana na uhalifu kila siku. Na sasa takwimu za unyag'anyi wa kutumia siraha zimepungua hii ni kwa sababu serikali ya CCM inajali usalama wa raia wake na mali zao na imeimarisha jeshi la polisi.
Pia tumeona Takukuru jinsi wanavyopambana na rushwa na ubadhirifu na hii kuzuia wizi wa pesa na mali za umma na sasa miradi mingi imetekelezwa kwa muda mfupi sabau Serikali imeweza kuwa na pesa za kutekeleza miradi hiyo. Pia, kwa upande wa ulinzi wa mipaka yetu tumeona jinsi jeshi letu linavyoilinda na Watanzania wanaishi bila hofu ya kuvamiwa na adui yoyote.
Hivyo CCM iendelee kutumia dola kwa manufaa ya taifa letu ili iweze kubaki madarakani maana ndio chama pekee kinachowajali Watanzania. Sio kama vibaraka wa mabeberu ambao sidhani wanaweza kutumia dola vizuri kama CCM.