Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,261
- 7,195
Leo tunashuhudia Mandelea akizikwa na legacy yaka inabaki ktk hili kusamehe maadui zake na kuongoza taifa kuelekea maridhiano.
CCM wanaon ahaya yote ila wanaongeza juhudi za kufanya unandamizaji.Sijui km wanadhani watapa kuponea ktk maridhiano au ?
Niwakumbushe tuu kuwa dunia imebadilika sana na maridhiano watapata huku wakiwajibishwa magerezani.
CCM wanaon ahaya yote ila wanaongeza juhudi za kufanya unandamizaji.Sijui km wanadhani watapa kuponea ktk maridhiano au ?
Niwakumbushe tuu kuwa dunia imebadilika sana na maridhiano watapata huku wakiwajibishwa magerezani.