Muke Ya Muzungu
JF-Expert Member
- Jun 17, 2009
- 3,444
- 264
Wakuu kuna mtu amenitonya kwa chama changu CCM, inajaribu kuweka dream team kuelekea 2015. Wanaotajwa sana ni hawa hapa chini ambao wanaonekana ni watu wasafi sana ndani ya CHAMA wasio na tuhuma ya iana yoyote. Hawa watahakikisha CCM inabakia madarakani
1.Livingstone Lusinde, (Kibajaj)
2.Makongoro Mahanga, (Mzee wa Masanduku)
3.Adam Malima, (AK-47)
4.Mwigulu Nchemba (Mzee Wa Vimwana)
5.William Malechela (Sisemi)
6.Stepehen Wassira,(Sijasema Kitu)
7.January Makamba, (Presidaa Wa AKudo Impact) Mmliki wa V8 Aka Bajaj
8.Shophia Simba, (Mama Wa Mipasho)
9.Vicky Kamata (CCM)
10.Bernard Membe (Rais Mtarajiwa)
11.Kapteni Komba
12.Bashe
13.A. Kinana
1.Livingstone Lusinde, (Kibajaj)
2.Makongoro Mahanga, (Mzee wa Masanduku)
3.Adam Malima, (AK-47)
4.Mwigulu Nchemba (Mzee Wa Vimwana)
5.William Malechela (Sisemi)
6.Stepehen Wassira,(Sijasema Kitu)
7.January Makamba, (Presidaa Wa AKudo Impact) Mmliki wa V8 Aka Bajaj
8.Shophia Simba, (Mama Wa Mipasho)
9.Vicky Kamata (CCM)
10.Bernard Membe (Rais Mtarajiwa)
11.Kapteni Komba
12.Bashe
13.A. Kinana