CCM Dodoki ni Chimbuko la Ufisadi...?

Bill

JF-Expert Member
Oct 5, 2007
8,277
8,492
Taratibu CCM imebadilika kutoka Chama cha Wakulima na Wafanyakazi kinachopigania maslahi na usawa wa Wananchi wote bila kujali dini, rangi wala kabila. Badala ya kuwa Chama sasa kimekuwa ni genge la wezi na madalali wa nchi na mali asili ya nchi huku ikiweka kando misingi ilyoanzishwa na kuwekwa katika Azimio la Arusha.

Nchi imekosa dira, Viongozi hawajui taifa linakoelekea kila kukicha wako busy na ukuwadi wa kuuza nchi kwa maslahi binafsi.

Ufisadi tunaoushudia leo ulianza siku nyingi mara mwalimu JK Nyerere alipotoka Ikulu. CCM ikaanza kupoteza mwelekeo.

Mafisadi walianza na vyama vya ushirika, wakaja kwenye Viwanda vyetu, Wakaanzisha SUKITA wakaila, wakageukia mashirika ya UMMA wakala, wakaja kwenye mikataba ya Ujenzi wa Barabara, IPTL nk, Ikaja benki kuu (EPA), wakaanzisha mashirika fake kama Richmond ili kuchota fedha.

Nyerere alisema kuwa CCM imekuwa ni Dodoki linalobeba Uchafu na limebeba uchafu kwelikweli. Mafisadi wote wako Ndani yake na ndio wanatoa maamuzi katika CC na NEC.

JF katika hili CCM itakana kuwa ndio chimbuko la Ufisadii na Kinara wa ufisadi hapa nchini?
 
Taratibu CCM imebadilika kutoka Chama cha Wakulima na Wafanyakazi kinachopigania maslahi na usawa wa Wananchi wote bila kujali dini, rangi wala kabila. Badala ya kuwa Chama sasa kimekuwa ni genge la wezi na madalali wa nchi na mali asili ya nchi huku ikiweka kando misingi ilyoanzishwa na kuwekwa katika Azimio la Arusha.

Nchi imekosa dira, Viongozi hawajui taifa linakoelekea kila kukicha wako busy na ukuwadi wa kuuza nchi kwa maslahi binafsi.

Ufisadi tunaoushudia leo ulianza siku nyingi mara mwalimu JK Nyerere alipotoka Ikulu. CCM ikaanza kupoteza mwelekeo.

Mafisadi walianza na vyama vya ushirika, wakaja kwenye Viwanda vyetu, Wakaanzisha SUKITA wakaila, wakageukia mashirika ya UMMA wakala, wakaja kwenye mikataba ya Ujenzi wa Barabara, IPTL nk, Ikaja benki kuu (EPA), wakaanzisha mashirika fake kama Richmond ili kuchota fedha.

Nyerere alisema kuwa CCM imekuwa ni Dodoki linalobeba Uchafu na limebeba uchafu kwelikweli. Mafisadi wote wako Ndani yake na ndio wanatoa maamuzi katika CC na NEC.

JF katika hili CCM itakana kuwa ndio chimbuko la Ufisadii na Kinara wa ufisadi hapa nchini?


huu uzi tangu uanzishwe haujawahi kujadiliwa
 
Back
Top Bottom