Elections 2010 CCM demokrasia zaidi 2010 kumekucha!!!

sultani CCM,sultani CCM.Utakalia hayohayo ya Sultani CCM,Sulatni CCM na 2010 ndo hiyoooo inakaribia...Otherwise CCM itaendelea kuwa 'pamwanya'
Hilo ndio jina la kauli mbiu ,Sultani CCM wakitaka wasitake ndilo linalowafaa wafuasi wa CCM ,halina mbadala ,japo nimesikia jana kwenye mkutano wa Tawi wakionya watu eti atakae sikika akisema au akikiita Chama Cha CCM Sultani CCM basi ataishia jela ,mi nikatoa sauti Wacha kutisha watuu ,wahudhuriaji walikuwa wengi hivyo hakuweza kujua sauti imetoka wapi akabakia sawa kama ninatisha watu.
 
Anzeni kampeni jipangeni ,hamna jipya ,wacha watangulie maana kutangulia kwao ni kupanga wizi ,hawana jingine .CUF ni Chama pekee ambacho ndio kinajua kufanya siasa na kinajua wapi pa kushambulia na wakati gani ni mzuri kwa mapambano na ni wakati gani wa kumtega adui.

CUF ina mbinu za kimataifa katika kufanya siasa na ina washauri na wataalamu wa hali ya juu wengine si raia wa hapa lakini wanatoa msaada katika kupambana na Chama Tawala ,ni mwanachama wa vyama vya upinzani ambavyo vingine vimefanikiwa kushinda.

Hivyo mbinu zao za kuelekea Uchaguzi bado zipo na ikifika wakati ndio watakapo vamia na kufanya ile kitu inaitwa ambush ,kisiasa Sultani CCM ameshaanguka hilo halina ubishi yupo chini amelala chali. Au uongo ?

Nimesema msifanye haraka subirini tuone hiyo sera waliyoiiba itakavyowaangusha maana kama alivyosema huyo kilango kuwa mambo ni hatari tupu ,alikwisha ona ,maana itakuwa hakuna tena ile tukae pamoja baada ya kuchaguana kwenye NECK ni mapande tu moja kwa moja.

Unajua kila kitu kina mazoea yake na kujifunza ukubwani ni kutafuta matatizo ,maana kama hukucheza mpira tokea ungali mdogo basi kuucheza ukubwani ni kutafuta kuvunjika na ndio hivyo itakavyotokea kwa Sultani CCM.

CCM imeshaanguka nyie mliopo hapa mlio kwenye ajira za Sultani CCM tafuteni pa kushika kabisa au hatutawaona tena hapa. Asie sikia la mkuu. :D

Hivi wewe,huko kwenu hamna utaratibu wa kumpomgeza/kumsifia mtu mara anapofanya jambo lolote zuri????,wenzio wengi humu wanaipongeza CCM kwa hatua hii ambayo inalenga kurudisha demokrasa ndani ya Chama lakini wewe kama kawaida yako ni lawama tuuuuu..aaaaaarghhh,unaboa sasa.Halafu hivi kwa akili yako unategemea CCM itaanguka katika uchaguzi wa mwakani???,lol(hizo ni ndoto za mchana kweupeeee),katika hali ya kawaida hauwezi kumfananisha/kumpambanisha JK na Lipumba wewe,CCM haijaanguka na itachukua muda kuanguka(kwa upinzani dhaifu uliopo Tanzania,maana ndani ya upinzani tayari kuna upinzani),sanasana CUF ndo inaelekea kufa(kifo chake kitakuwa baada ya matokeo ya uchaguzi wa mwakani),CUF hamna sera zaidi ya vurugu na lawama/visingizio kibaoooo.Halafu unasema CUF ina mbinu za kimataifa(mataifa gani hayo ndugu,ya Amerika,Ulaya ama Arabuni??)!!!!Lol,what is mbinu za kimataifa wewe Sultani MWIBA??,Hizo si ndo zimewafanya mgaragazwe na CCM katika chaguzi zote zilizopita???,ama unazungumzia mbinu za ushindi wa Pembaa,lol....Kalagabaho
 
Hivi wewe,huko kwenu hamna utaratibu wa kumpomgeza/kumsifia mtu mara anapofanya jambo lolote zuri????,wenzio wengi humu wanaipongeza CCM kwa hatua hii ambayo inalenga kurudisha demokrasa ndani ya Chama lakini wewe kama kawaida yako ni lawama tuuuuu..aaaaaarghhh,unaboa sasa.Halafu hivi kwa akili yako unategemea CCM itaanguka katika uchaguzi wa mwakani???,lol(hizo ni ndoto za mchana kweupeeee),katika hali ya kawaida hauwezi kumfananisha/kumpambanisha JK na Lipumba wewe,CCM haijaanguka na itachukua muda kuanguka(kwa upinzani dhaifu uliopo Tanzania,maana ndani ya upinzani tayari kuna upinzani),sanasana CUF ndo inaelekea kufa(kifo chake kitakuwa baada ya matokeo ya uchaguzi wa mwakani),CUF hamna sera zaidi ya vurugu na lawama/visingizio kibaoooo.Halafu unasema CUF ina mbinu za kimataifa(mataifa gani hayo ndugu,ya Amerika,Ulaya ama Arabuni??)!!!!Lol,what is mbinu za kimataifa wewe Sultani MWIBA??,Hizo si ndo zimewafanya mgaragazwe na CCM katika chaguzi zote zilizopita???,ama unazungumzia mbinu za ushindi wa Pembaa,lol....Kalagabaho

Kumpongeza Sultani CCM ni mwiko kwa Mtanzania mwenye uchungu na Taifa hili ,unapongeza ,hivi ni kitu gani cha kupongezwa ambacho kitamnufaisha mwananchi wa kawaida ,kama utaratibu mbona sio mpya ,ni vyama vingi tu vyenye kujali maslahi ya mwananchi ndio viinatumia sera hiyo.

Hawa majambazi walikuwa wameshikilia hatamu ya kila kitu ,hata mtu achaguliwae na wananchi kutoka huko vijijini ,wao walikuwa wanapinga na kulitupilia mbali wakitoa sababu hizi na zile ,eti kupongeza baada ya miaka 50 ya utawala ndio unafahamu kama ilikuwa wakitenda zambi ,hivi watu hawakulalamika katika miaka hiyo ? Unataka kuniambia kuwa Demokrasia ndio imemfikia Sultani CCM ?

Hawa ni wa kulaaniwa si wakupongezwa ,hivi huku ndio kujisafisha na mizambi iliyowatapakaa mwili mzima ? Nakushangaa sana unaposema watu wote hapa JF wanapongeza ,hakuna anepongeza ila aliekuwamo humo kwenye ufuasi wa Sultani CCM ,mnapongezana wenyewe kwa wenyewe kama mlivyozoea.

Mwenye akili inayoyatazama mambo yanayotokea Tanzania hawezi kupongeza hatua hiyo ,kwani ni hatua nyingine ya kutaka kufanya aina nyengine ya ufisadi.

Utawala wa Sultani CCM umepotea kabisa katika giza la dhulma ni vigumu kujiweka sawa ,na kuweza kuiongoza nchi hii katika misingi ya sheria inayoheshimu haki za wengine ,ni kuwafanya watu punguani kama hao wanaosema kuwa hatua iliyofikiwa ni muhimu ,muhimu kwa nani ? Lazima ujiulize ? Hakuna Mtanzania yeyote ambae ataichagua CCM na kufaidika na mfumo huo uliokuwa mpya kwao ni kuwalaghai watu tu na kutaka kujionyesha kuwa wanajali maslahi ya wengine ,uwongo mkubwa kuliko yote.

Mwananchi aliefungua na kufunguka akili hawezi kuhadaiwa na janja hii ,njia nyingine ya kuwachota watu akili zao ,huku ni kutaka kuwadanganya watu.

Vinara wa Sultani CCM wanajua wazi kuwa ikiwa system ambayo kwao wao ni mpya itatumika basi ni hatari kuliko mwanzo ,hivyo mbinu na mizengewe itafanywa huko huko kwenye mizizi hukohuko vijijini watawafuata na kufanya ya kufanya ,kijana kaa macho naona wewe si mwenyeji wa siasa za Sultani CCM.

Sultani CCM hatakubali kufanyiwa ujinga wa mnayoyatamani ,hakubali hata siku moja atawaingilia huko huko matawini na kuwachafua ili kuhakikisha wateja wake wanapata ajira ,we unasema tu eti tunapongeza ,ndio maana yake unapongeza kwa habari za juu ,ingia deep uwone siasa ,usifikiri siasa ni kukaa na kuandika ili uonekane na wewe unafurahia demokrasia ya Sultani CCM ,wewe unafurahia wenzako wana hesabu zingine kabisa ,ndio hivyo kama ulivyomsikia Kilango ameona mbali sana kuwa sasa mambo ni hatari ,Sultani CCM anataka kuibuka na wateja tokea chini jambo ambalo litawawacho mbali wananchi kulalamikia ionekane kuwa ni chaguo lao au sivyo ?

Mbinu hizi ni vizuri kuzijua na mapema hivyo lakufanywa ni kwa wananchi kumkwepa Sultani CCM kwa njia zote anazo kuja nazo.
Hiki Chama kimeshakufa hakuna ambae ana kifurahikia hata mmoja isipokuwa wache ambao hupatiwa ajira za kufagia kwenye maofisi ya serikali na ya Chama chao ,Mwananchi ambae hana hisa katika Chama hiki basi ujue hana imani nacho maana ni Chama kinacho jali maslahi binafsi.
 
Hivi wewe,huko kwenu hamna utaratibu wa kumpomgeza/kumsifia mtu mara anapofanya jambo lolote zuri????,wenzio wengi humu wanaipongeza CCM kwa hatua hii ambayo inalenga kurudisha demokrasa ndani ya Chama lakini wewe kama kawaida yako ni lawama tuuuuu..aaaaaarghhh,unaboa sasa.Halafu hivi kwa akili yako unategemea CCM itaanguka katika uchaguzi wa mwakani???,lol(hizo ni ndoto za mchana kweupeeee),katika hali ya kawaida hauwezi kumfananisha/kumpambanisha JK na Lipumba wewe,CCM haijaanguka na itachukua muda kuanguka(kwa upinzani dhaifu uliopo Tanzania,maana ndani ya upinzani tayari kuna upinzani),sanasana CUF ndo inaelekea kufa(kifo chake kitakuwa baada ya matokeo ya uchaguzi wa mwakani),CUF hamna sera zaidi ya vurugu na lawama/visingizio kibaoooo.Halafu unasema CUF ina mbinu za kimataifa(mataifa gani hayo ndugu,ya Amerika,Ulaya ama Arabuni??)!!!!Lol,what is mbinu za kimataifa wewe Sultani MWIBA??,Hizo si ndo zimewafanya mgaragazwe na CCM katika chaguzi zote zilizopita???,ama unazungumzia mbinu za ushindi wa Pembaa,lol....Kalagabaho

Kumpongeza Sultani CCM ni mwiko kwa Mtanzania mwenye uchungu na Taifa hili ,unapongeza ,hivi ni kitu gani cha kupongezwa ambacho kitamnufaisha mwananchi wa kawaida ,kama utaratibu mbona sio mpya ,ni vyama vingi tu vyenye kujali maslahi ya mwananchi ndio viinatumia sera hiyo.

Hawa majambazi walikuwa wameshikilia hatamu ya kila kitu ,hata mtu achaguliwae na wananchi kutoka huko vijijini ,wao walikuwa wanapinga na kulitupilia mbali wakitoa sababu hizi na zile ,eti kupongeza baada ya miaka 50 ya utawala ndio unafahamu kama ilikuwa wakitenda zambi ,hivi watu hawakulalamika katika miaka hiyo ? Unataka kuniambia kuwa Demokrasia ndio imemfikia Sultani CCM ?

Hawa ni wa kulaaniwa si wakupongezwa ,hivi huku ndio kujisafisha na mizambi iliyowatapakaa mwili mzima ? Nakushangaa sana unaposema watu wote hapa JF wanapongeza ,hakuna anepongeza ila aliekuwamo humo kwenye ufuasi wa Sultani CCM ,mnapongezana wenyewe kwa wenyewe kama mlivyozoea.

Mwenye akili inayoyatazama mambo yanayotokea Tanzania hawezi kupongeza hatua hiyo ,kwani ni hatua nyingine ya kutaka kufanya aina nyengine ya ufisadi.

Utawala wa Sultani CCM umepotea kabisa katika giza la dhulma ni vigumu kujiweka sawa ,na kuweza kuiongoza nchi hii katika misingi ya sheria inayoheshimu haki za wengine ,ni kuwafanya watu punguani kama hao wanaosema kuwa hatua iliyofikiwa ni muhimu ,muhimu kwa nani ? Lazima ujiulize ? Hakuna Mtanzania yeyote ambae ataichagua CCM na kufaidika na mfumo huo uliokuwa mpya kwao ni kuwalaghai watu tu na kutaka kujionyesha kuwa wanajali maslahi ya wengine ,uwongo mkubwa kuliko yote.

Mwananchi aliefungua na kufunguka akili hawezi kuhadaiwa na janja hii ,njia nyingine ya kuwachota watu akili zao ,huku ni kutaka kuwadanganya watu.

Vinara wa Sultani CCM wanajua wazi kuwa ikiwa system ambayo kwao wao ni mpya itatumika basi ni hatari kuliko mwanzo ,hivyo mbinu na mizengewe itafanywa huko huko kwenye mizizi hukohuko vijijini watawafuata na kufanya ya kufanya ,kijana kaa macho naona wewe si mwenyeji wa siasa za Sultani CCM.

Sultani CCM hatakubali kufanyiwa ujinga wa mnayoyatamani ,hakubali hata siku moja atawaingilia huko huko matawini na kuwachafua ili kuhakikisha wateja wake wanapata ajira ,we unasema tu eti tunapongeza ,ndio maana yake unapongeza kwa habari za juu ,ingia deep uwone siasa ,usifikiri siasa ni kukaa na kuandika ili uonekane na wewe unafurahia demokrasia ya Sultani CCM ,wewe unafurahia wenzako wana hesabu zingine kabisa ,ndio hivyo kama ulivyomsikia Kilango ameona mbali sana kuwa sasa mambo ni hatari ,Sultani CCM anataka kuibuka na wateja tokea chini jambo ambalo litawawacho mbali wananchi kulalamikia ionekane kuwa ni chaguo lao au sivyo ?

Mbinu hizi ni vizuri kuzijua na mapema hivyo lakufanywa ni kwa wananchi kumkwepa Sultani CCM kwa njia zote anazo kuja nazo.
Hiki Chama kimeshakufa hakuna ambae ana kifurahikia hata mmoja isipokuwa wache ambao hupatiwa ajira za kufagia kwenye maofisi ya serikali na ya Chama chao ,Mwananchi ambae hana hisa katika Chama hiki basi ujue hana imani nacho maana ni Chama kinacho jali maslahi binafsi.
 
Mimi nadhani uamuzi huu wa CCM una faida nyingi japokuwa pia una madhara makubwa kwa CCM yenyewe.

Faida kubwa zilizopo ni kama zifuatazo:

1. CCM itapata picha ya support ya mgombea itakaempitisha kwa kiti cha Ubunge au Udiwani katika Jimbo au Kata inayohusika
2. Wataweza kupata ushiriki wa wanaCCM wengi zaidi katika Kampeni, kwa kuwa wanaCCM hao watakuwa wameshiriki kumpata mgombea huyo tangu mwanzo (hivyo wanachama watakuwa na ownership ya mgombea)
3. Itapunguza kazi za NEC kupitisha majina ya wagombea Ubunge na hivyo kuweza kujadili mambo mengine, ikiwemo la mgombea Urais (hii itasaidia kupunguza matumizi ya vikao vya NEC)
4. Itapunguza wigo wa Rushwa kwa wapiga kura (kimtazamo tu)
5. Watoa rushwa kwa wapiga kura wataonekana bayana endapo watajaribu kuhonga wapiga kura
6. Watu wengi watachukua kadi za CCM (kwa kujiunga kwa nia njema au sababu nyingine zozote)

Madhara ambayo utaratibu huu unaweza kuyasababisha ni kama ifuatavo:

1. Rushwa itahamia kwa viongozi wa Kata, Wilaya na Mkoa wanaochuja majina ya waliochaguliwa (hivyo rushwa kutokuwa bayana sana, ila kuwepo kwa urahisi zaidi)
2. Wagombea wenye ngebe watachujwa mapema katika vikao vya Mkoa (hii itasababisha tatizo la 3 hapo chini)
3. Wagombea wengi watakaochujwa hasa wakiamini kuwa wana uwezo wa kushinda watahamia upinzani na kukomboa nafasi zao
4. Ni rahisi kwa Upinzani kuweka watu (pandikizi) wa kuchagua wagombea dhaifu (hasa wa Udiwani), ili waweze kushinda uchaguzi mkuu. Hii itatokana na sababu ya 6 hapo juu. Sababu ya uwezekano huu itatokana na kutofahamika kwa watakaopiga kura, kupatikana kwa kadi mpya kwa urahisi, wapiga kura kutowafahamu vyema wagombea.

CCM inabidi iwe makini sana na utaratibu huu ili uweze kuzaa matunda yanayokusudiwa. Sina uhakika wa tathmini iliyofanyika ili kufikia maamuzi haya. Naomba wenye kujua watufahamishe.
 
Hakuna chochote ni wizi tu,kama ulivyozoeleka kwenye ngazi za juu ndio hivyohivyo ulivyozoeleka ngazi za chini. Ufisadi nambari one.
 
Back
Top Bottom