Vp ile konyagi yako imeisha?Sio lazima kila mpinzani ashikwe masaburi na Chadema! CUF wana haki ya kutafsiri maslahi ya taifa kulingana na muono wao! Sio lazima wapokee amri kutoka Moshi!!!!!!!!!!!
Vp ile konyagi yako imeisha?Sio lazima kila mpinzani ashikwe masaburi na Chadema! CUF wana haki ya kutafsiri maslahi ya taifa kulingana na muono wao! Sio lazima wapokee amri kutoka Moshi!!!!!!!!!!!
Wanahistoria wanaamini 'History is Spiral' yaani historia hujirudia, wala hakuna jambo jipya kabisa juu ya ardhi. Mjadala wa Katiba huu wa sasa si mpya hata kidogo, pengine kizazi kinachoujadili ndicho kipya chenye upofu wa historia. Napenda kuanza kwa kumnukuu Mwalimu Nyerere katika hotuba yake kuhusu Katiba aliyoitoa mwaka 1962
"The point must be made that ultimately the safeguard of a people's right, the people's freedom and those things which they value, ultimately the safeguard is the ethic of the nation. When the nation does not have the ethic which will enable the Goverment to say: ' We cannot do this, that is un- Tanganyikan'. Or the people to say: ' That we cannot tolerate, that is un-Tanganyikan'. If the people do not have that kind of ethic, it does not matter what kind of constitution you frame. They can always be victims of tyranny....... What we must continue to do all the time, is to build an ethic of the nation, which makes the Heads of State whoever he is to say, ' I have the power to do this under the Constitution, but I cannot do it, it is un- Tanganyikan'. Or for the people of Tanganyika, if they have made a mistake and elected an insane individual as their Heads of State, who has the power under the Constitution to do XYZ if he tried to do it, the people of Tanganyika would say, 'We won't have it from anybody, President or President squared, we won't have it'.
I believe, sir, that is the way we ought to look at this constitution. We have got to have a little amount of faith, although I know that some Members have been questioning the idea of faith. But, sir, democracy is a declaration of faith in human nature, the very thing which we are struggling to safeguard here, the very idea of democracy is a declaration of faith in mankind. And every enemy of democracy is some person who somewhere has no faith in human beings. He doubts. He think he is all right, but other human beings are not all right.
28 June 1962 Hansard, 1st Session
Goverment Motion- Proposal for a Republic"
Naamini kwa dhati kabisa kuwa Katiba sio mwarobaini wa matatizo yetu kama taifa kwa sasa. Tunalo tatizo la kimaadili na kiuongozi kuanzia ngazi ya familia, Serikali, Chama Tawala na Vyama vya Upinzani. Tatizo hili tiba yake sio Katiba, bali ni kurudi katika misingi(Soul searching) ya Taifa hili. Tupitie upya na kuboresha yale mambo ya yaliyotuunganisha kama Taifa likiwemo Azimio la Arusha na kuliboresha kuweza kujibu changamoto za sasa. Pale ndipo kwenye agano la Taifa na zindiko la Tafa hili na si Katiba mpya.
Afrika Kusini ni nchi ambayo imepata Katiba mpya katika miaka ya karibuni. Katiba ambayo imesifiwa kuwa ilikuwa na mchakato wa wazi zaidi na ushirikishwaji wa hali ya juu. Katiba ile imeruhusu hadi haki za mashoga kwa mantiki ya kuheshimu haki za binadamu. Lakini maisha ya wazalendo wa Afrika Kusini bado yangali ni magumu na yaliyopoteza matumaini. Afrika Kusini ni nchi yenye mpasuko mkubwa pamoja na kuwa na uchumi imara.
Gharama tunazoingia katika kutafuta kile kinachoitwa Katiba mpya ni kubwa kuliko manufaa au matokeo yake kwa Mtanzania. Tutasimamisha uzalishaji na maendeleo na kuelekeza rasilimali zetu kwenye Katiba. Tutakuwa na Tume ambayo itazunguka na kufanya mikutano kwa miaka 2 na kutumia rasilimali; tutakuwa na Bunge la Katiba, Wabunge wale karibia 600 watalipwa posho na watachukua muda kufikia muafaka katika kujadili na Kamati kubishana sentensi zikaaje. Kisha tutakuwa na kura ya maoni nchi nzima ambayo ni sawa na uchaguzi mkuu, na mwaka mmoja baadae tutakuwa na uchaguzi mkuu. Gharama zote hizi zitabebwa na wananchi kwa gharama ya kuaihirisha utekelezaji wa miradi ya maendeleo.
Mwisho tutakuwa na document inaitwa Katiba mpya! ambayo haitabadilisha hali ya wananchi kwa kuwa tutakuwa hatujapatia jawabu tatizo letu la msingi.
haha...nilikuwa nawaza hivyohivyo.Kale kabastola ndo kanampa confidence
wadau kuna nn kati ya rashid hamad wa cuf na lissu wa chadema?
Kale kabastola ndo kanampa confidence