Rufiji dam
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 3,800
- 8,781
Kitengo cha Propaganda ni muhimu sana kwenye siasa.
Kama mtakumbuka 2015 CCM ilikuwa na akina January Makamba na Nape waliweza kupangua hoja toka CDM kwa nguvu zote. Lakini yaliyowakuta hao jamaa kila mtu anajua.
2020 yupo Polepole ukweli kashindwa kabisa kumkabili Tundu Lisu ambaye nae kitengo chake cha Propaganda hakina ushawishi.
TAL ni jeshi la mtu mmoja anapiga, anakera anamtibua kabisa Magu kiasi cha kuanza kicheza muziki wake. TAL ni akili kubwa imeweza kuwalazimisha CCM wamjibu kitu ambacho kama CCM wasipoangalia wanaenda kuingia katika hatua ngumu sana kwenye ngwe ya mwisho ya kampeni.
Polepole ajitafakari.
Kama mtakumbuka 2015 CCM ilikuwa na akina January Makamba na Nape waliweza kupangua hoja toka CDM kwa nguvu zote. Lakini yaliyowakuta hao jamaa kila mtu anajua.
2020 yupo Polepole ukweli kashindwa kabisa kumkabili Tundu Lisu ambaye nae kitengo chake cha Propaganda hakina ushawishi.
TAL ni jeshi la mtu mmoja anapiga, anakera anamtibua kabisa Magu kiasi cha kuanza kicheza muziki wake. TAL ni akili kubwa imeweza kuwalazimisha CCM wamjibu kitu ambacho kama CCM wasipoangalia wanaenda kuingia katika hatua ngumu sana kwenye ngwe ya mwisho ya kampeni.
Polepole ajitafakari.