Wana Jf's tokea mwanzo mwa wiki ya jana kumalizika jamii nzima ya watanzania macho na masikio wamekuwa wakijadili kuhusiana na utendaji wa waziri mkuu na mawaziri wake, lakini ninachotaka kuwaambia kuwa CCM ni chama dume kwa hiyo leo waziri mkuu ataahirisha Bunge bila ya waziri yoyote kati ya walituhumiwa na ufisadi kujiudhulu. Hata hoja ya Zotto itawekwa kapuni.... anayebisha aseme