kwa jinsi CUF walivyojiingiza mkenge kwa akina seif sharif waroho wa madaraka kuanza kuingizwa uwanja wa Taifa kwa kutumia lexus , sasa naamini CCM imewazalisha CUF mapacha kwanza kwa kukiua chama hicho completely lakini pili kwa kuwalewesha madaraka na kuwaliwaza kwa madaraka yasiokuwapo kikatiba lakini mwisho wa yote ni kuwatumia kwa muda na kisha watawadampo kama condom ukizingatia ukweli kuwa ndani ya miaka hii mitano CUF itakuwa haina nguvu tena na wala haitakuwa kitisho kwa CCM, ama kweli CCM chama dume.