Ccm chama dume chaizalisha cuf mapacha

PhD

JF-Expert Member
Jul 15, 2009
4,599
3,671
kwa jinsi CUF walivyojiingiza mkenge kwa akina seif sharif waroho wa madaraka kuanza kuingizwa uwanja wa Taifa kwa kutumia lexus , sasa naamini CCM imewazalisha CUF mapacha kwanza kwa kukiua chama hicho completely lakini pili kwa kuwalewesha madaraka na kuwaliwaza kwa madaraka yasiokuwapo kikatiba lakini mwisho wa yote ni kuwatumia kwa muda na kisha watawadampo kama condom ukizingatia ukweli kuwa ndani ya miaka hii mitano CUF itakuwa haina nguvu tena na wala haitakuwa kitisho kwa CCM, ama kweli CCM chama dume.
 
kwa jinsi CUF walivyojiingiza mkenge kwa akina seif sharif waroho wa madaraka kuanza kuingizwa uwanja wa Taifa kwa kutumia lexus , sasa naamini CCM imewazalisha CUF mapacha kwanza kwa kukiua chama hicho completely lakini pili kwa kuwalewesha madaraka na kuwaliwaza kwa madaraka yasiokuwapo kikatiba lakini mwisho wa yote ni kuwatumia kwa muda na kisha watawadampo kama condom ukizingatia ukweli kuwa ndani ya miaka hii mitano CUF itakuwa haina nguvu tena na wala haitakuwa kitisho kwa CCM, ama kweli CCM chama dume.
Swali kwa yeyote...... HIVI CUF WANATEKELEZA ILANI YA CHAMA GANI...........???
 
kwa jinsi CUF walivyojiingiza mkenge kwa akina seif sharif waroho wa madaraka kuanza kuingizwa uwanja wa Taifa kwa kutumia lexus , sasa naamini CCM imewazalisha CUF mapacha kwanza kwa kukiua chama hicho completely lakini pili kwa kuwalewesha madaraka na kuwaliwaza kwa madaraka yasiokuwapo kikatiba lakini mwisho wa yote ni kuwatumia kwa muda na kisha watawadampo kama condom ukizingatia ukweli kuwa ndani ya miaka hii mitano CUF itakuwa haina nguvu tena na wala haitakuwa kitisho kwa CCM, ama kweli CCM chama dume.


Hahhaaaa!!!! we jamaa umenipa raha sana. Umenikumbusha rafiki yangu mmoja aliamua kumpa binti wa watu mimba ili asimkimbie

CCM they are so strategic, they can not do anything that doesn't favor them. Forget CUF
 
kwa jinsi CUF walivyojiingiza mkenge kwa akina seif sharif waroho wa madaraka kuanza kuingizwa uwanja wa Taifa kwa kutumia lexus , sasa naamini CCM imewazalisha CUF mapacha kwanza kwa kukiua chama hicho completely lakini pili kwa kuwalewesha madaraka na kuwaliwaza kwa madaraka yasiokuwapo kikatiba lakini mwisho wa yote ni kuwatumia kwa muda na kisha watawadampo kama condom ukizingatia ukweli kuwa ndani ya miaka hii mitano CUF itakuwa haina nguvu tena na wala haitakuwa kitisho kwa CCM, ama kweli CCM chama dume.

CCM na CUF wote warembo.

Wanagombania bwana. Chadema.
 
kwa jinsi CUF walivyojiingiza mkenge kwa akina seif sharif waroho wa madaraka kuanza kuingizwa uwanja wa Taifa kwa kutumia lexus , sasa naamini CCM imewazalisha CUF mapacha kwanza kwa kukiua chama hicho completely lakini pili kwa kuwalewesha madaraka na kuwaliwaza kwa madaraka yasiokuwapo kikatiba lakini mwisho wa yote ni kuwatumia kwa muda na kisha watawadampo kama condom ukizingatia ukweli kuwa ndani ya miaka hii mitano CUF itakuwa haina nguvu tena na wala haitakuwa kitisho kwa CCM, ama kweli CCM chama dume.



Yaku wapi yale maneno ya CUFo mara ohoo tuko ngangari kinomaa mara ohoo nginjee nginjee mpaka baharii, alafu leo hiii mdebwedoo wa kufa mtuu, poleni sanaa wana CUFo

tehee tehee!!!
 
Hahahaaaaa kama vile Ze Ban inanukia hapa, ila kama ni kweli wamewazalisha dah, basi kweli hawa jamaa ni warembo.... na sie si tuwachumbie? nimeuliza tu!!!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom